Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo

Madaktari Kenya wasambaza virusi vya Corona kutokana na uzembe na Elimu ndogo waliyonayo

Ila sijaona Mkenya anayefurahia maafa ya Watanzania. Kwa Sasa najua furaha ni bila kifani lakini Kila mbwa na siku yake. Janga Kama hili hutaniona nikimuombea hata adui wangu kamwe.
Ikumbukwe Lamu Port vs Bagamoyo mlikesha humu , Geza Ulole alifungua nyuzi Kila dakika jinsi Lamu itafeli na Bagamoyo kunawiri but Sasa hivi Bagamoyo kwenye kaburi la sahau. Chungeni Sana haya maafa yasiwafikie kwa hiki kiburi chenu.
Tofautisha kuambiwa ukweli na kuchekelea maafa,
Nyie mnachoambiwa humu ni ukweli na kuanikwa kwa ujinga na uwembe wenu,
Huwa mnajisifu mna madaktari haya sasa huu uzembe uliofanyika tuiteje!
Tabia ya kujiona nyie ni bora kuliko waafrika wengine ndio kinacho waponza,
Mnapenda kutumia neno kuchekelea pale mkiona mmebanwa kwa kuambiwa ukweli,
Mnakumbuka mkimtukana rais wetu na mkamuita mkaidi tena hamkuishia hapo mkaenda mbali zaidi kwa kusema Tz inaenda kuwa kama Italy.
 
Tofautisha kuambiwa ukweli na kuchekelea maafa,
Nyie mnachoambiwa humu ni ukweli na kuanikwa kwa ujinga na uwembe wenu,
Huwa mnajisifu mna madaktari haya sasa huu uzembe uliofanyika tuiteje!
Tabia ya kujiona nyie ni bora kuliko waafrika wengine ndio kinacho waponza,
Mnapenda kutumia neno kuchekelea pale mkiona mmebanwa kwa kuambiwa ukweli,
Mnakumbuka mkimtukana rais wetu na mkamuita mkaidi tena hamkuishia hapo mkaenda mbali zaidi kwa kusema Tz inaenda kuwa kama Italy.
Ukweli ndio huu hapa
Kiuhalisia uzembe upo. Kinachosemwa kwa mdomo na manahodha wetu wanaoongoza vita hii ni tofauti kabisa na matendo!!

Hebu cheki hii;

1. MTU anashuka na ndege uwanja wa JNIA - DSM akitokea nje ya nchi, anapita bila shida kwenye check up zote, anaingia mitaani na kusafiri hadi Mwanza kwa barabara. Three days later anafika Mwanza, anapimwa na kugundulika ni COVID-19 positive...!!

Huyu amewapumulia hewa yake yq ndani yenye virusi wangapi on his way?

TAMKO LA SERIKALI LILIKUWA:
Wote wanaoingia nchini toka nje watawekwa quarantine kwa siku 14 na baadaye wakipimwa na kuthibitika ni salama wataruhusiwa kuingia mitaani na kuendelea na shughuli zao

UTEKELEZAJI?
.......Kwa ushahidi wa mtu huyu, kwa hakika ni ZERO na una mashaka makubwa!
.......I am convinced kuwa ndani ya serikali kuna mawakala (AGENTS) waliopewa jukumu maalumu kuhakikisha ugonjwa huu unasambaa kwa Watanzania wore!!

2. Watanzania wa3 kuingia Kenya na walipopimwa wakagundulika kuwa ni COVID-19 positive...

......kama ulivyosema haijulikani wametokea mpaka upi na kisha kuingia Kenya; je, ni Rombo - Kilimanjaro? Sirari - Tarime - Mara? Arusha kule.....??

.....the big question ni hili; hawa watu wa3 wote wakiwa wagonjwa wametokea wapi? Je, ni wale miongoni mwa 25 walio ktk quarantine wametoroka? Ni nini kusudi lao kuingia nchi nyingine wakiwa wagonjwa? Huku walikotoka "wamewapulia" wangapi na kuwaambukiza?

.....all in all, we as a country, tumefunuliwa na wenzetu wa Kenya kuwa lipo Tatizo nchini mwetu ktk kushughulikia tatizo hili!!

IPO shida mahali. Kuna mambo serikali haisemi. Likely situation ni worse than we are told....!!
 
Ila sijaona Mkenya anayefurahia maafa ya Watanzania. Kwa Sasa najua furaha ni bila kifani lakini Kila mbwa na siku yake. Janga Kama hili hutaniona nikimuombea hata adui wangu kamwe.
Ikumbukwe Lamu Port vs Bagamoyo mlikesha humu , Geza Ulole alifungua nyuzi Kila dakika jinsi Lamu itafeli na Bagamoyo kunawiri but Sasa hivi Bagamoyo kwenye kaburi la sahau. Chungeni Sana haya maafa yasiwafikie kwa hiki kiburi chenu.
Hili ndio tatizo lenu la kujiona kwamba ninyi ni watu waungwana, mnavyofanya ninyi ndio sawa lakini watu wengine wote wanayoyafanya sio sawa.

Ukweli ni kwamba, ninyi mnafurahia sana kuona nchi zingine, hasa Tanzania inapata matatizo au kuwa nyuma zaidi yenu, tatizo ni kwamba, hampati maeneo mengi ya kuishambulia Tanzania, kwahiyo mnahisi sisi ndio ambao tunawashambulia ninyi.

Hii ni dalili kwamba, ninyi sio watu wazuri, kiasi kwamba majirani zenu wa Uganda na Tanzania, hawaumizwi sana na majanga yanayowapata, badala ya kulalamika mnapaswa kujiuliza, kwanini Uganda pia wanatuacha ktk kipindi hiki kigumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndio tatizo lenu la kujiona kwamba ninyi ni watu waungwana, mnavyofanya ninyi ndio sawa lakini watu wengine wote wanayoyafanya sio sawa.

Ukweli ni kwamba, ninyi mnafurahia sana kuona nchi zingine, hasa Tanzania inapata matatizo au kuwa nyuma zaidi yenu, tatizo ni kwamba, hampati maeneo mengi ya kuishambulia Tanzania, kwahiyo mnahisi sisi ndio ambao tunawashambulia ninyi.

Hii ni dalili kwamba, ninyi sio watu wazuri, kiasi kwamba majirani zenu wa Uganda na Tanzania, hawaumizwi sana na majanga yanayowapata, badala ya kulalamika mnapaswa kujiuliza, kwanini Uganda pia wanatuacha ktk kipindi hiki kigumu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiuhalisia uzembe upo. Kinachosemwa kwa mdomo na manahodha wetu wanaoongoza vita hii ni tofauti kabisa na matendo!!

Hebu cheki hii;

1. MTU anashuka na ndege uwanja wa JNIA - DSM akitokea nje ya nchi, anapita bila shida kwenye check up zote, anaingia mitaani na kusafiri hadi Mwanza kwa barabara. Three days later anafika Mwanza, anapimwa na kugundulika ni COVID-19 positive...!!

Huyu amewapumulia hewa yake yq ndani yenye virusi wangapi on his way?

TAMKO LA SERIKALI LILIKUWA:
Wote wanaoingia nchini toka nje watawekwa quarantine kwa siku 14 na baadaye wakipimwa na kuthibitika ni salama wataruhusiwa kuingia mitaani na kuendelea na shughuli zao

UTEKELEZAJI?
.......Kwa ushahidi wa mtu huyu, kwa hakika ni ZERO na una mashaka makubwa!
.......I am convinced kuwa ndani ya serikali kuna mawakala (AGENTS) waliopewa jukumu maalumu kuhakikisha ugonjwa huu unasambaa kwa Watanzania wore!!

2. Watanzania wa3 kuingia Kenya na walipopimwa wakagundulika kuwa ni COVID-19 positive...

......kama ulivyosema haijulikani wametokea mpaka upi na kisha kuingia Kenya; je, ni Rombo - Kilimanjaro? Sirari - Tarime - Mara? Arusha kule.....??

.....the big question ni hili; hawa watu wa3 wote wakiwa wagonjwa wametokea wapi? Je, ni wale miongoni mwa 25 walio ktk quarantine wametoroka? Ni nini kusudi lao kuingia nchi nyingine wakiwa wagonjwa? Huku walikotoka "wamewapulia" wangapi na kuwaambukiza?

.....all in all, we as a country, tumefunuliwa na wenzetu wa Kenya kuwa lipo Tatizo nchini mwetu ktk kushughulikia tatizo hili!!

IPO shida mahali. Kuna mambo serikali haisemi. Likely situation ni worse than we are told....!!

Kitaturu
 
Ukweli ndio huu hapa
Ukweli gani huo zaidi ya danadana!
Hiyo thread uliyocopy mbona haiendani,
Au umecopy ili upate usaidizi!
Wakenya wengi najua mlitegemea Tz itapata wagonjwa wengi lakini hadi sasa bet zenu zimeungua,
Mmekimbilia kuiga mabwana zenu ili muwaridhishe ona sasa kinachowakuta,
Mnakazana kupima badala ya kuzuia maambukizi,
Mkakurupuka kufunga mipaka kumbe mmefunga mipaka ya nyau,
Wakenya wengi wanatoroka na kuja Tz.
 
Hili ndio tatizo lenu la kujiona kwamba ninyi ni watu waungwana, mnavyofanya ninyi ndio sawa lakini watu wengine wote wanayoyafanya sio sawa.

Ukweli ni kwamba, ninyi mnafurahia sana kuona nchi zingine, hasa Tanzania inapata matatizo au kuwa nyuma zaidi yenu(Tz iko nyuma yetu hiyo sio Siri), tatizo ni kwamba, hampati maeneo mengi ya kuishambulia Tanzania(Tz haina la kushambuliwa na Kenya si umekiru mko nyuma yet), kwahiyo mnahisi sisi ndio ambao tunawashambulia ninyi(Leo unafungua Uzi mwingine wa Corona Kenya?).

Hii ni dalili kwamba, ninyi sio watu wazuri, kiasi kwamba majirani zenu wa Uganda na Tanzania, hawaumizwi sana na majanga yanayowapata, badala ya kulalamika mnapaswa kujiuliza, kwanini Uganda pia wanatuacha ktk kipindi hiki kigumu?(Ulikuwa unatarajia waganda na Watanzania watusaidie kwa lipi Hadi Sasa wameshindwa kutusaidia?)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli gani huo zaidi ya danadana!
Hiyo thread uliyocopy mbona haiendani,
Au umecopy ili upate usaidizi!
Wakenya wengi najua mlitegemea Tz itapata wagonjwa wengi lakini hadi sasa bet zenu zimeungua,
Mmekimbilia kuiga mabwana zenu ili muwaridhishe ona sasa kinachowakuta,
Mnakazana kupima badala ya kuzuia maambukizi,
Mkakurupuka kufunga mipaka kumbe mmefunga mipaka ya nyau,
Wakenya wengi wanatoroka na kuja Tz.
Kwa hiyo wanakosea wanavyopima? Sisi tunapatia tusivyopima?
Sometimes Ni aibu TU kuitwa mtanzania kutokana na ujinga wa watanzania wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli gani huo zaidi ya danadana!
Hiyo thread uliyocopy mbona haiendani,
Au umecopy ili upate usaidizi!
Wakenya wengi najua mlitegemea Tz itapata wagonjwa wengi lakini hadi sasa bet zenu zimeungua,
Mmekimbilia kuiga mabwana zenu ili muwaridhishe ona sasa kinachowakuta,
Mnakazana kupima badala ya kuzuia maambukizi,
Mkakurupuka kufunga mipaka kumbe mmefunga mipaka ya nyau,
Wakenya wengi wanatoroka na kuja Tz.
Mkenya katokea Tz na Corona, vipi waliotangamana nayeye? Wamepatikana? Kama hawajapatikana then there is something wrong with your system.
 
Kiuhalisia uzembe upo. Kinachosemwa kwa mdomo na manahodha wetu wanaoongoza vita hii ni tofauti kabisa na matendo!!

Hebu cheki hii;

1. MTU anashuka na ndege uwanja wa JNIA - DSM akitokea nje ya nchi, anapita bila shida kwenye check up zote, anaingia mitaani na kusafiri hadi Mwanza kwa barabara. Three days later anafika Mwanza, anapimwa na kugundulika ni COVID-19 positive...!!

Huyu amewapumulia hewa yake yq ndani yenye virusi wangapi on his way?

TAMKO LA SERIKALI LILIKUWA:
Wote wanaoingia nchini toka nje watawekwa quarantine kwa siku 14 na baadaye wakipimwa na kuthibitika ni salama wataruhusiwa kuingia mitaani na kuendelea na shughuli zao

UTEKELEZAJI?
.......Kwa ushahidi wa mtu huyu, kwa hakika ni ZERO na una mashaka makubwa!
.......I am convinced kuwa ndani ya serikali kuna mawakala (AGENTS) waliopewa jukumu maalumu kuhakikisha ugonjwa huu unasambaa kwa Watanzania wore!!

2. Watanzania wa3 kuingia Kenya na walipopimwa wakagundulika kuwa ni COVID-19 positive...

......kama ulivyosema haijulikani wametokea mpaka upi na kisha kuingia Kenya; je, ni Rombo - Kilimanjaro? Sirari - Tarime - Mara? Arusha kule.....??

.....the big question ni hili; hawa watu wa3 wote wakiwa wagonjwa wametokea wapi? Je, ni wale miongoni mwa 25 walio ktk quarantine wametoroka? Ni nini kusudi lao kuingia nchi nyingine wakiwa wagonjwa? Huku walikotoka "wamewapulia" wangapi na kuwaambukiza?

.....all in all, we as a country, tumefunuliwa na wenzetu wa Kenya kuwa lipo Tatizo nchini mwetu ktk kushughulikia tatizo hili!!

IPO shida mahali. Kuna mambo serikali haisemi. Likely situation ni worse than we are told....!!

Kitaturu
Hili jambo, waziri wa Afya alilitolea Maelezo vizuri sana, ila kwasababu kuna watu wajinga duniani, lazima maneno kama haya yataendelea kuwepo.

Huyu jamaa alitoka Dubai 24/3, wakati huo serikali ilikua imesema ni wasafiri wenye kutoka nchi zilizokua na maambukizi mengi zaidi, ndio lazima wakifika nchini wawekwe karantini ya siku 14, Dubai haikuwepo katika kundi la nchi zilizokua na wagonjwa wengi waliokua na maambukizi, ndio sababu hakuwekwa karantini.

Tabia yenu hii ya kujaribu kulingabisha na Tanzania nchi ambayo hadi sasa inafanya vizuri sana katika kuzuia maambukizi, ndio sababu tunawacheka.

Inawezekana vipi mgonjwa yupo Hospitalini, mikononi mwa madaktari, lakini wanashindwa kujua kama ana maambukizi ya corona, wagonjwa wangapi na madaktari wangapi atakua amewaambukiza hapo Hospitalini, je Hospitali za Kenya ni mahali salama au ndio chanzo cha maambukizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No one is celebrating calamities za hapo Kenya ila ni ukweli ndio mnapashwa,
Yaani mna tabia uzembe wenu ukianikwa humu jukwaani mnatumia silaha ya kuwa eti tuna celebrate calamities zenu,
Mlimtukana rais wetu mkamuita mkaidi mkasema mnatupa wiki Tz itakuwa kama Italy au tayari mmeshasahau maana kusahau mapema ni jadi yenu.

we will overcome...we have not asked for your help
 
Mkenya katokea Tz na Corona, vipi waliotangamana nayeye? Wamepatikana? Kama hawajapatikana then there is something wrong with your system.
Hahahaha, kwani watu wote waliotangamana na hao wagonjwa mliowapata hadi sasa 184 wamepatikana?, ukichukulia hesabu za kila mtu mmoja anayegundulika kuwa na maambukizi, tayari atakua ameambukiza watu 5, hii maana yake Kenya ina wagonjwa 942 na Tanzania wagonjwa 125.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkenya katokea Tz na Corona, vipi waliotangamana nayeye? Wamepatikana? Kama hawajapatikana then there is something wrong with your system.
Katokea Tanzania ya wapi?
Si mlitangaza kufunga mipaka!
Serikalini yenu imefeli kwenye hili janga kwa kuona ni sifa kuwaiga mabwana zenu.
 
we will overcome...we have not asked for your help
Labda mkipata akili na mkipunguza kutumia makwapa kufikiri na mkiacha kukurupuka ovyo bila kusahau kuacha kuiga iga kila kitu kutoka kwa mabwana zenu ili muonane mpo bora kuliko waafrika wengine,
Nje na hapo mtaishia kusema tunachekelea matatizo yenu.
 
Katokea Tanzania ya wapi?
Si mlitangaza kufunga mipaka!
Serikalini yenu imefeli kwenye hili janga kwa kuona ni sifa kuwaiga mabwana zenu.
Kazi ya Serikali yenu na viombo vya dola ni kuchunguza alitokea Tz pande gani? Kutengamana na nani na wapi? Serikali ya Tz haina jibu?
 
Hahahaha, kwani watu wote waliotangamana na hao wagonjwa mliowapata hadi sasa 184 wamepatikana?, ukichukulia hesabu za kila mtu mmoja anayegundulika kuwa na maambukizi, tayari atakua ameambukiza watu 5, hii maana yake Kenya ina wagonjwa 942 na Tanzania wagonjwa 125.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajapatikana wote walioko hapa Kenya.
Yule wa Mwanza kwa siku tatu alikuwa Yuko safarini akiwapumulia abiria ndani ya daladala, je waliotangamana naye wamepatikana?
Kuna Yule alitoroka kwarantin na hajapatikana kwa Sasa Yuko wapi?
 
Back
Top Bottom