Madaktari kuchati kazini: Ongezeko la machekibobu

Madaktari kuchati kazini: Ongezeko la machekibobu

Kuna Mmoja kaniambia niende x ray nikarudi na CD ya picha sijui kitaalam wanaitaje akaweka ila kaganda hasemi lolote mara akatoa cm kabonyeza bonyeza Kisha akapiga picha Yale majibu ya x ray akatoka nje akarudi akatoka Tena nasimu akarudi mwisho akaniandikia citrizen 😂😂😂
Nikaondka tu zile movement ningemuuliza swali angetoka asingerudi😂😂
 
Japo madaktari wote ni makasuku wanaomeza madesa ya shule na kuyakariri jinsi yalivyo, lakini mnyonge mnyongeni, nchi hii walikuwepo madaktari bwana!

Kuna madaktari ukiwaambia naumwa kichwa anakimbilia kukudunga chanjo ya FANSIDA, sijui ni kukariri ama ndivyo walivyofundishwa huko mashuleni?

Mimi mzee wangu alikuwa daktari, tena daktari nguli aliyeheshimika haswa kutokana na huduma zake. Hawa ni wale madaktari wa zamani ambao akikuhudumia unasema kweli hapa nimehudumiwa na DOKTA HASWA!

Madaktari wa enzi hizo ukiwafuata hadi unahisi raha kuhudumiwa. Utakaguliwa, utabonyezwa bonyezwa vimashavu vyako, unaachama mdomo unamulikwa koromelo na kitochi, yaani hadi raha!!!

Baadaye unawekewa la kupimia moyo, huku daktari anakuhoji kitaalamu na kwa ufanisi.

Lakini siku hizi kumezuka wimbi la MACHEKIBOBU wanaojiita madaktari. Hawawezi kukuhudumia wana mapepe na mawenge muda wote.

Unashtukia daktari amerukia kipima moyo, mara amekitupa mezani, anakurupuka nduki anawahi kuchungulia meseji ya Instagram. Akikuhurumia sana anakudunga chanjo la KOVIDI.

Akikuhoji wala hakuangalii usoni, kaweka EARPHONES anasikiliza singeli ati! Ni mwendo wa Unasemaaaa!!!??? Eeeeh, unasemajeee!!??? Eeeeeeeh?? sijasikia umesemaaa??? Eeeh nasemajeeee!

MY TAKE: Hili nalo mkalitizame.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanachonikera mimi ni tabia yao mpya ya kupenda kupima watu ukimwi

Kuna siku nimeumwa kichwa nikaenda kupima Malaria, baada ya kipimo akasema malaria yangu ni ndogo kiasi kwamba sihitaji kutumia dawa bali nitumie muda mwingi kupumzika na kunywa maji

Cha ajabu akashauri eti unaonaje tukupime na ukimwi? Nikamwambia acha ufala, mimi nimekuja kupima malaria siyo ukimwi, nikaondoka
hahahaaaa
 
Siwakubali wahindi kwakukujazia midawa mingi ila wale watu wapo makini sana na taaluma ya afya!
 
Shida wagonjwa wa siku hizi mmekuamadaktari
Mtu anakuja na list ya vitu anavyotaka kupimwa
Kwa ufupi ujuaji mwingi
Hasa wagonjwa wa Kisukari wajuaji sana kila kitu wanajua wao

Madaktari pia wasifikiri bado tupo miaka 1947, sasa wagonjwa wengi huwezi kuwapeleka peleka kama unavyotaka wewe
 
Japo madaktari wote ni makasuku wanaomeza madesa ya shule na kuyakariri jinsi yalivyo, lakini mnyonge mnyongeni, nchi hii walikuwepo madaktari bwana!

Kuna madaktari ukiwaambia naumwa kichwa anakimbilia kukudunga chanjo ya FANSIDA, sijui ni kukariri ama ndivyo walivyofundishwa huko mashuleni?

Mimi mzee wangu alikuwa daktari, tena daktari nguli aliyeheshimika haswa kutokana na huduma zake. Hawa ni wale madaktari wa zamani ambao akikuhudumia unasema kweli hapa nimehudumiwa na DOKTA HASWA!

Madaktari wa enzi hizo ukiwafuata hadi unahisi raha kuhudumiwa. Utakaguliwa, utabonyezwa bonyezwa vimashavu vyako, unaachama mdomo unamulikwa koromelo na kitochi, yaani hadi raha!!!

Baadaye unawekewa la kupimia moyo, huku daktari anakuhoji kitaalamu na kwa ufanisi.

Lakini siku hizi kumezuka wimbi la MACHEKIBOBU wanaojiita madaktari. Hawawezi kukuhudumia wana mapepe na mawenge muda wote.

Unashtukia daktari amerukia kipima moyo, mara amekitupa mezani, anakurupuka nduki anawahi kuchungulia meseji ya Instagram. Akikuhurumia sana anakudunga chanjo la KOVIDI.

Akikuhoji wala hakuangalii usoni, kaweka EARPHONES anasikiliza singeli ati! Ni mwendo wa Unasemaaaa!!!??? Eeeeh, unasemajeee!!??? Eeeeeeeh?? sijasikia umesemaaa??? Eeeh nasemajeeee!

MY TAKE: Hili nalo mkalitizame.
Ficha ujinga wako
 
Siku hizi mimi nawaita waganga wa kienyeji
Yaani kabla hujamaliza sentence yeye ameishaandika na anakuambia kachukue dawa
Hawa makanjanja sijui wanafundishwa nini maana hata nidhamu hawana na manesi wafuata mkumbo wao ndio serial killers waliojificha nyuma ya nguo hizo nyeupe
Wanauwa kama nini
Kwa kweli
 
Ukiwapitia kwa makini na kwa akina madaktari Hawa Peter c.Gotzsche & Ben Goldacre;

;Kisha ukafanya utafiti Mdogo katika hospital zetu hapa Tanzania au "Dunia ya Tatu",Utapata picha kubwa na yakuogofya kuhusu sekta ya Afya,:

Madaktari Wengi wa Tanzania/Tanganyika Uwezo Mdogo Sana na Incompetent!

PETER C. GOTZSCHE- Daktari/Physician, Medical Researcher!

Book : DEADLY MEDICINE'S & ORGANIZED CRIME "How big pharma has corrupted Healthcare".

BEN GOLDACRE- British Physician, Academic na Science Writer.

Book:Bad science.

Book: BAD PHARMA "How Drug Companies Mislead doctors and Harm Patient s"
 
Wanachonikera mimi ni tabia yao mpya ya kupenda kupima watu ukimwi

Kuna siku nimeumwa kichwa nikaenda kupima Malaria, baada ya kipimo akasema malaria yangu ni ndogo kiasi kwamba sihitaji kutumia dawa bali nitumie muda mwingi kupumzika na kunywa maji

Cha ajabu akashauri eti unaonaje tukupime na ukimwi? Nikamwambia acha ufala, mimi nimekuja kupima malaria siyo ukimwi, nikaondoka
Hata Mimi niliwahi kukutana na kadaktari sijui kalikuwa kanafanya utafiti, naumwa ugonjwa mwingine ananiambia nipime ukimwi nikashangaa hajaniandaa hawajaniandaa kisaikolojia.
 
Cover's
 

Attachments

  • 9780007498086.jpg (JPEG Image, 317 × 500 pixels)_1706716943064_073207.jpeg
    9780007498086.jpg (JPEG Image, 317 × 500 pixels)_1706716943064_073207.jpeg
    17 KB · Views: 4
  • 71nZLU7wksL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg (JPEG Image, 667 × 1000 pixels)_1706717042481_073206.jpeg
    71nZLU7wksL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg (JPEG Image, 667 × 1000 pixels)_1706717042481_073206.jpeg
    72.5 KB · Views: 3
  • Bad_Pharma.jpg (JPEG Image, 222 × 355 pixels)_1706716876480_073204.jpeg
    Bad_Pharma.jpg (JPEG Image, 222 × 355 pixels)_1706716876480_073204.jpeg
    10.7 KB · Views: 4
Ukiwapitia kwa makini na kwa akina madaktari Hawa Peter c.Gotzsche & Ben Goldacre;

;Kisha ukafanya utafiti Mdogo katika hospital zetu hapa Tanzania au "Dunia ya Tatu",Utapata picha kubwa na yakuogofya kuhusu sekta ya Afya,:

Madaktari Wengi wa Tanzania/Tanganyika Uwezo Mdogo Sana na Incompetent!

PETER C. GOTZSCHE- Daktari/Physician, Medical Researcher!

Book : DEADLY MEDICINE'S & ORGANIZED CRIME "How big pharma has corrupted Healthcare".

BEN GOLDACRE- British Physician, Academic na Science Writer.

Book:Bad science.

Book: BAD PHARMA "How Drug Companies Mislead doctors and Harm Patient s"
Doctors are taught to claim and not to ask WHY.

Sema hii kada (hii sekta) ni nyeti sana huwezi kuishambulia hadharani na ukabaki salama, wapo tayari hata kukuua Ila siyo wakuangalie tu ukiwakosoa
 
Back
Top Bottom