Madaktari tumshauri huyu mshkaji anaugua gonjwa la ajabu....

Madaktari tumshauri huyu mshkaji anaugua gonjwa la ajabu....

Barikiwa kwa darasa mkuu
Hilo tatizo lilitupata sisi wengine tulipokuwa kidato cha pili ingawa sio kwa ukubwa huo
Tuliambia tutumie dawa za kupaka na kumeza kwa wakati mmoja
Lakini pia tuliambiwa tusitumie boxer za mpila (tutumie boxer za pamba 100% )
Lakini pia tuliambiwa tuwe na boxer nyingi angalau 4 ili tuweze kubadili kwa wakati
..boxer zinapaswa kufuliw na kuanikwa kwenye jua..ukiwa na pasi inapendeza kwani baada ya kuzikausha unazipiga na moto wa pasi..
Swala la kujikausha vizuri baada ya kuoga ni muhimu.
Kwa ujumla dawa na usafi wa mwili vinaweza kumsaidia
 
Mkuu hizo funguz zimekomaa angalia huko juu nimetoa maelezo marefu sana kuusiana na hizo fungus inatakiwa jamaa aende kwa daktari hili amwandikie dawa za kumeza
Mara ya kwanza alitumia hzo za kumeza akapata nafuu, zmerudi tena kwa kasi
 
Nimeona na nishafowadi ujumbe ule mkuu
Mkuu hizo funguz zimekomaa angalia huko juu nimetoa maelezo marefu sana kuusiana na hizo fungus inatakiwa jamaa aende kwa daktari hili amwandikie dawa za kumeza
 
Ujumbe utamfikia thanx
Kama ana akili atagundua kuwa huu ushauri na utibabu wa mitaani ndiyo umemfikisha hapa alipo. Hizo gharama zote na muda aliopoteza kununua dawa na kujitibu mwenyewe angeweza kwenda hospital. Waendesha bodaboda wengi ni wachafu na wanalala kwenye mazingira machafu sana. Sijui huyo jamaa yako kama yuko tofauti ila mwambie afanye juu chini akope ili akatibiwe.
 
Ujumbe utamfikia harka sana mkuu
Kama ana akili atagundua kuwa huu ushauri na utibabu wa mitaani ndiyo umemfikisha hapa alipo. Hizo gharama zote na muda aliopoteza kununua dawa na kujitibu mwenyewe angeweza kwenda hospital. Waendesha bodaboda wengi ni wachafu na wanalala kwenye mazingira machafu sana. Sijui huyo jamaa yako kama yuko tofauti ila mwambie afanye juu chini akope ili akatibiwe.
 
Ujumbe nitaufikisha asante
Mungu amfanyiye wepesi kabisa... Ahakikishe baada yakutumia dawa nguo zake azisafishe kwa Detol na maji ya moto. Na ajiepushe kuvaa nguo mbichi.
 
Maisha mzee yupo stressed sana... Bodaboda yake hata 600000 haiuziki nispana mkononi tu... Akiuza inamaana anaanza na moja[emoji16][emoji16][emoji16] anaweweseka kweli anaogopa itakatwa
itabidi aanze na moja maana jinsia inakua hakuna tena
 
Niaje....

Juzi katika mizunguko yangu ya hapa na pale nikajikuta navutika kwenda kumsalimia mwana mmoja kitaa cha zamani maana nilishahama hiko siku nyingi....

Nikamkuta mshakaji kava msuli anacheki movie ya Darfur baada ya story mbili tatu akaniambia anaumwa.....

Miezi 3 iliyopita alianza kuwashwa pumbu (anyway sina neno mbadala) akapuuza maana fangasi za hapa na pale sio issue kabisa.

Akasema wiki ya pili pumbu zikababuka ngozi wengi tunaita pumbu errosion, sema jamaa ni bodaboda so akawa bize tu kasema pumbu erosion huja na kujponea yenyewe... So akapuuza

Mambo yakawa sivyo dyudyu la yuyu nalo likaanza kubabuka ngozi jamaa akastuka, akakimbilia famasi (pharmarcy) akanunua Gentrisone cream akaanza kupaka shida ikaja wilki nzima ya kupaka gentrisone 70/100 ya dyudyu la yuyu ikawa ishababuka ngozi yaan ile unashika ngozi unaibandua tu, haiumi ila ngozi ya ndani ni laini sana so inauma dizaini....

Akaniambia akaenda famasi akanunua cream ingne inaitwa skirderm maana abiria hamna na hela hamna ye hakuweza kwenda hospital..

Akapakaa ila akasema mambo yakawa ndivyo sivyo 90% ya dyudyu la yuyu jekunduuu kama vile mtu umeungua baada ya kuja maji ukatumbua ukatoa ngozi ya nje... Kchwa cha dyudyu kikatoka mabaka meusi....vikaota vidonda kuanzia shinani kwenda juu vidnda sita!

Nkamwambia mbna una utani jamaa ilibid ukimbie kwa daktariii akacheka akasema bdaboda hiyo hapo nimepaki tatzo hela... Si ampe mtu... Kagoma kasema uaminifu hakna siku hizi...

Basi akamfata mshkaj kitaa ni daktari, mshkaji akatoa hofu akamwambja fangasi zmekomaa nakpa tiba konkiiii.... Akamwambia akanunue fluconazole tablet 1/14 na dawa ya kukausha vidnda ya kumeza...

Siku 14 tu zilitosha dyudyu la yuyu likapona, lakin ngozi ilibaki kuwa si imara, inakauka inapauka kisha inatoka.. Inabaki ngozi si imara kisha inakauka inarudia kupauka n kutoka... Kumchek jamaa akamwambia kawaidaaa ikikomaa itardi hali yake ya kawaida.... Mshkaiji akarudi kijiweni....

Zimepita wiki 2 hivi kasema vidonda vimeanza kurudi tena pia nozi ni dhaifu akishika na vidole anaumia kama kapaka pilipili vidoleni, kichwa cha abdalah kichwa wazi kinatoka vimagamba vyeusi.. Ndomana kavaa msuli[emoji16]

Hospitali kasema ye hana hela bali anasubiria kwa mtu na hajui atampa lini... Wataalamu wa ngozi ni kitu gani hiki?????

Nikaskitika mfukoni nina buku 8 tu nikamwachia buku tano maana kastop kazi bodaboda kampa deiwaka anapata huku buku za kula...
Mimi mwenyewe wiki zilizopita niliugua fangasi sugu vidoleni.
Zikatengeneza vidonda kabisa,nikatumia hizo fluconazole na dawa ya kukausha vidonda ya maji lkn zikadunda hadi nikahisi vidole vinataka kukatika.
Baada ya hapo nikaenda kwa jamaa mmoja ana pharmacy yake ila sijajua ni daktari au mfamasia.
Jamaa akanihoji historia ilivyoanza akaniambia kwamba nimechelewa sana kuzitibu na akaniambia ningeendelea kutumia fluconazole hata mwaka mzima nisingepona.
Akanipa dawa fulani ya kupaka na vidonge nilivyotumia baada ya wiki tu nikapona.
Huyo jamaa yako anapatikana wapi ili watu wajue jinsi ya kumsaidia.
Unajua siyo fair kabisa mtu aathirike na kuwa hatarini kiasi hicho kwa sababu ya kukosa elfu 20 au 30 tu ya tiba.
 
Niaje....

Juzi katika mizunguko yangu ya hapa na pale nikajikuta navutika kwenda kumsalimia mwana mmoja kitaa cha zamani maana nilishahama hiko siku nyingi....

Nikamkuta mshakaji kava msuli anacheki movie ya Darfur baada ya story mbili tatu akaniambia anaumwa.....

Miezi 3 iliyopita alianza kuwashwa pumbu (anyway sina neno mbadala) akapuuza maana fangasi za hapa na pale sio issue kabisa.

Akasema wiki ya pili pumbu zikababuka ngozi wengi tunaita pumbu errosion, sema jamaa ni bodaboda so akawa bize tu kasema pumbu erosion huja na kujponea yenyewe... So akapuuza

Mambo yakawa sivyo dyudyu la yuyu nalo likaanza kubabuka ngozi jamaa akastuka, akakimbilia famasi (pharmarcy) akanunua Gentrisone cream akaanza kupaka shida ikaja wilki nzima ya kupaka gentrisone 70/100 ya dyudyu la yuyu ikawa ishababuka ngozi yaan ile unashika ngozi unaibandua tu, haiumi ila ngozi ya ndani ni laini sana so inauma dizaini....

Akaniambia akaenda famasi akanunua cream ingne inaitwa skirderm maana abiria hamna na hela hamna ye hakuweza kwenda hospital..

Akapakaa ila akasema mambo yakawa ndivyo sivyo 90% ya dyudyu la yuyu jekunduuu kama vile mtu umeungua baada ya kuja maji ukatumbua ukatoa ngozi ya nje... Kchwa cha dyudyu kikatoka mabaka meusi....vikaota vidonda kuanzia shinani kwenda juu vidnda sita!

Nkamwambia mbna una utani jamaa ilibid ukimbie kwa daktariii akacheka akasema bdaboda hiyo hapo nimepaki tatzo hela... Si ampe mtu... Kagoma kasema uaminifu hakna siku hizi...

Basi akamfata mshkaj kitaa ni daktari, mshkaji akatoa hofu akamwambja fangasi zmekomaa nakpa tiba konkiiii.... Akamwambia akanunue fluconazole tablet 1/14 na dawa ya kukausha vidnda ya kumeza...

Siku 14 tu zilitosha dyudyu la yuyu likapona, lakin ngozi ilibaki kuwa si imara, inakauka inapauka kisha inatoka.. Inabaki ngozi si imara kisha inakauka inarudia kupauka n kutoka... Kumchek jamaa akamwambia kawaidaaa ikikomaa itardi hali yake ya kawaida.... Mshkaiji akarudi kijiweni....

Zimepita wiki 2 hivi kasema vidonda vimeanza kurudi tena pia nozi ni dhaifu akishika na vidole anaumia kama kapaka pilipili vidoleni, kichwa cha abdalah kichwa wazi kinatoka vimagamba vyeusi.. Ndomana kavaa msuli[emoji16]

Hospitali kasema ye hana hela bali anasubiria kwa mtu na hajui atampa lini... Wataalamu wa ngozi ni kitu gani hiki?????

Nikaskitika mfukoni nina buku 8 tu nikamwachia buku tano maana kastop kazi bodaboda kampa deiwaka anapata huku buku za kula...
...mmmmm, ana hakika hajatembea na mke wa mtu, ambaye ni Sumu....?
 
Daaaaah jamaa hawezi mudu hakika hawezi mudu nilimpa buku 5 nkabaki na buku tatu hiyo hela nilitegemea inivushe wiki nzima mzee kumsaidia kwa haliyake ningemsaidia haraka sana
Kwa hyo hali iliyofikia hatakiwi kuficha ugonjwa.
Kwa nini hakuwashirikisha ndugu zake na majirani wamchangie pesa apate tiba ya haraka.
 
Hili lianiumiza sana namhurumia jamaa angu hivi siku ikioza ikakatwa ataweza kuishi maisha ya kawaida kweli?

Yupo Mtwara mjini mkuu
Mimi mwenyewe wiki zilizopita niliugua fangasi sugu vidoleni.
Zikatengeneza vidonda kabisa,nikatumia hizo fluconazole na dawa ya kukausha vidonda ya maji lkn zikadunda hadi nikahisi vidole vinataka kukatika.
Baada ya hapo nikaenda kwa jamaa mmoja ana pharmacy yake ila sijajua ni daktari au mfamasia.
Jamaa akanihoji historia ilivyoanza akaniambia kwamba nimechelewa sana kuzitibu na akaniambia ningeendelea kutumia fluconazole hata mwaka mzima nisingepona.
Akanipa dawa fulani ya kupaka na vidonge nilivyotumia baada ya wiki tu nikapona.
Huyo jamaa yako anapatikana wapi ili watu wajue jinsi ya kumsaidia.
Unajua siyo fair kabisa mtu aathirike na kuwa hatarini kiasi hicho kwa sababu ya kukosa elfu 20 au 30 tu ya tiba.
 
Hata kama angekua katembea na mke wa mtu angesema kwa hatua aliyofikia kwa sasa, hana mahusiano mwaka sasa ndio maana anaamini ni fangasi
...mmmmm, ana hakika hajatembea na mke wa mtu, ambaye ni Sumu....?
 
Njia zote zilizo ndani ya uwezo wake zilifeli... Ndugu ndio anasubiri dadaake amtumie licha ya kumsisitizia hali halisi ni mwez sasa dadamtu hajafanya chochote...

Kwa hyo hali iliyofikia hatakiwi kuficha ugonjwa.
Kwa nini hakuwashirikisha ndugu zake na majirani wamchangie pesa apate tiba ya haraka.
 
Back
Top Bottom