Madaktari wa Kenya wafanya upasuaji wa kihistoria Afrika

Madaktari wa Kenya wafanya upasuaji wa kihistoria Afrika

Comments zangu siku zote huwa najibu chuki na majungu yenu, nikileta mada na mjibu bila chuki na majungu tutakwenda vizuri tu. Kuna wengi wenu humu tumejadili nao mada kwa utaalam bila vurugu zenu. Lakini kwa wale waliozaliwa kwa bahati mbaya huwa siwaachi bila kuwakumbushia. Kuna wengine nilishawapuuza siku zote baada ya kuona hawajafikia hadhi ya kujibiwa na mimi.

Nafikiri ukisoma signature yangu utaelelewa hamasa yangu nini.

Ok, naomba tufunge mjadala kuhusu majungu, tuungane kupogenza juhudi na ustadi ulioonyeshwa na madaktari wa Kenya kwenye huo upasuaji. Iwe chachu ya kuibua tafiti zaidi zitakazochangia mafanikio makubwa zaidi kwenye sekta ya afya.
 
Hii ni sehemu ya habari za Kenya, sasa sijuimnatakaj nyie watoto wa mama wa kambo!

Kwa asilia, binadamu tuna roho mbaya na hatufurahii mafanikio ya wengine, ukilitambua hilo, utaishi kwa amani sana.
Ukweli ni kwamba, kufanikiwa kwa hii operation ni hatua ya kupongezwa, naona wenzangu wanaanza kuleta mashindano kana kwamba hilo sio jambo kubwa. After all, Kenya na Tanzania sidhani kama kuna haja ya kuwa na husda za aina hii, inasikitisha sana.

Hii ni habari njema sio tu kwa Afrika mashariki, Afrika nzima kwa ujumla, anaebeza abeze lakini hatabadili ukweli na uhalisia.
 
Ok, naomba tufunge mjadala kuhusu majungu, tuungane kupogenza juhudi na ustadi ulioonyeshwa na madaktari wa Kenya kwenye huo upasuaji. Iwe chachu ya kuibua tafiti zaidi zitakazochangia mafanikio makubwa zaidi kwenye sekta ya afya.

Peace, love and unity...asante.
 
Hongera kenya ,ila si mara ya kwanza kufanyika africa hata TZ MOI wameishafanya operations kama hizo ,,,,,,,,

Bado...Elewa the kind of conjoined twins being separated first....
 
Peace, love and unity...asante.
mkuu MK254 naikumbuka biologia yangu vizuri najua sacral region ni lile la sacral bone kwenye uti wa mgongo. Ikiwa madaktari wanasema ni upasuaji kwenye hiyo eneo la mwili na haijawai fanyika barani, nitawaamini. Hivi vitu sio chekechea
 
Ahsante kaka mkuu!
amina mkuu.

mimi ni mkristo na kupitia imani yangu hiyo nimejifunza vitu vingi sana ikiwa ni pamoja na mizizi ya chuki, madhara ya chuki na namna ya kuepuka.

na pia nimejifunza kupongeza pale panapo hitajika pongezi pasipokuangalia mtu huyo unaempongeza ni adui yako au rafiki, kwani faida zake nazifahamu.

hivyo basii imani yangu imenisaidia sana kwa kunifanya nijue jinsi ya kuiishi na watu wa kila aina kuanzia mtandaoni hadi mitaani.

pamoja sana mkuu naamini na wewe ni mtu wa aina kama yangu.
 
Kama nchi zingine za afrika wange kumbana na issue kama hii, na wao wangejitahidi kuonyesha umahiri wao kwenye kuokowa maisha ya watoto. Tatizo linakuja pale habari ikitokea Kenya, lazima tarumbeta za kujisifia ziungurume pande zote za dunia na kueneza jina la Kenya kwanza kabla ya kitu chochote. Watu wanafanya mambo ya ajabu duniani na kutatangaza bila kukimbilia jina la nchi kwanza. Tanzania tulipata helium gas wala haikuwa issue, Dr. Askwar Hilonga alishinda tunzo ya nano technology, hakuna kuringa wala nini. Lakini ingekuwa kwa jirani zetu, Mm, tusingesikia nwisho wake.
 
Ok, naomba tufunge mjadala kuhusu majungu, tuungane kupogenza juhudi na ustadi ulioonyeshwa na madaktari wa Kenya kwenye huo upasuaji. Iwe chachu ya kuibua tafiti zaidi zitakazochangia mafanikio makubwa zaidi kwenye sekta ya afya.

..tatizo la huyu ndugu yetu ni kutoa taarifa hizi huku akibeza wa-Tz.

..operation ya kwanza hapa Tz ku-separate mapacha(omphalopagus) ilifanywa na Prof.Shija wa Muhimbili. If i am not mistaken it was done in 1994.


..in 2013 Dr.Zainab Boukary amefanya operation ku-separate mapacha (ischiopagus) ktk hospitali ya muhimbili.

..kwa hiyo utaona kwamba wataalamu wa operation kama hizo wapo Tz. Contrary na jinsi ndugu yetu anavyofikiria.

..mimi naamini mapacha(sarcophagus) hao wangekuwa Tz, madaktari wa Muhimbili wangeweza kuwafanyia operation.

Cc Geza Ulole, MK254
 
..tatizo la huyu ndugu yetu ni kutoa taarifa hizi huku akibeza wa-Tz.

..operation ya kwanza hapa Tz ku-separate mapacha(omphalopagus) ilifanywa na Prof.Shija wa Muhimbili. If i am not mistaken it was done in 1994.


..in 2013 Dr.Zainab Boukary amefanya operation ku-separate mapacha (ischiopagus) ktk hospitali ya muhimbili.

..kwa hiyo utaona kwamba wataalamu wa operation kama hizo wapo Tz. Contrary na jinsi ndugu yetu anavyofikiria.

..mimi naamini mapacha(sarcophagus) hao wangekuwa Tz, madaktari wa Muhimbili wangeweza kuwafanyia operation.

Cc Geza Ulole, MK254

Hajataja Tz kwa taarifa yake mkuu. Punguza inferiority complex.
 
Ngoja nikanywe viroba. Nikishalewa nitajiambia mwenyewe uchumi umepanda. Hayo ya Kenya kupasua waliounganika nitayaweza wapi wakati hapa kwetu kila kitu feki, hata takwimu feki! Mfano, Gavana wa Benki Kuu anasema uchumi umepanda, Bulletin ya Economic Quarterly Review inayochapishwa na Benki yake inaandika uchumi umedorora!! Nimechoka. Weita, lete viroba vitano Tafadhali, fasta.
 
Tanzania inapiga hatua kubwa sana kwenye sector ya afya
 
Back
Top Bottom