Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,505
- 5,715
Kauli tata kivipi mkuu,hebu fafanua tutoe huo utataHahaaa tungo tata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli tata kivipi mkuu,hebu fafanua tutoe huo utataHahaaa tungo tata mkuu
akhaaa!! we si umesema unapenda madaktari,Nigaieeee
Hahaaaa umeona huko kutudekeza hutupa wagonjwa nguvu na kutoa uoga aisee na maumivu hupungua, ila hata nyie madaktari kuna saa huwa mnapitiwa eeeh siunajua kiubinadamu, mi na wapenda ma Dr kwa kazi nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo ni kutupa kazi ya mbili kwa mpigo ya kusaidia bby wako kukudekeza na matibabu ila usijali yote n majukumu yetu treat a patient do way some will ask ua service and care over n over again ua welcome
Matokeo yake hata wa Laboratory mnawaita Madaktari...Hahahaha una wivu wewe
Na wale wa mabakamabaka umewasahau!Ndio tena wa kila sekta magereza FD4CE polisi na trafk
Mi sipo huko japo na nipo kwenye kundi la wasiopendwa hahaaaUsinuneeee siwapendi nyieeee matapeli wa mapenzi
Sasa muda wote huu unakuja kuongelea huku si ungeniambia palepale tuuGeneral kule bima kuna mkaka handsome jaman looh
Hahaaaa umeona huko kutudekeza hutupa wagonjwa nguvu na kutoa uoga aisee na maumivu hupungua, ila hata nyie madaktari kuna saa huwa mnapitiwa eeeh siunajua kiubinadamu, mi na wapenda ma Dr kwa kazi nzuri
Hahaaa exactlyKweli wabaya acha tutengwe
Hahaaa exactlyKweli wabaya acha tutengwe
Hyo ni kweli kabisa yani na sifa ya Dr aliyekamilika ni kuwa strict na kazi yake mda wote nakuwa na huruma. Sasa ukiroka unaanzaje kumtafta labda una kutana huko nje accidentallyBinafsi navutiwa na mtu nje na maeneo yangu ya kazi ila unaponikuta job unanikuta na mipango kazi na kanuni zangu kwa kazi yang pia taayari nishavaa tatizo lako kuwa langu sasa kama ivo hata feelings zinakuwa hazipo sema tu ntakupa maksi kuwa ww unavutia labda ukipona na ukanijuza uko poa na nje ya mazingara ya aiseee mbona ntaflash back appearance yako mamy nikutafute[emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]
Hyo ni kweli kabisa yani na sifa ya Dr aliyekamilika ni kuwa strict na kazi yake mda wote nakuwa na huruma. Sasa ukiroka unaanzaje kumtafta labda una kutana huko nje accidentally
Kumbe yule mtoto mweupe mzuri ndio alikuwa wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo.
Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Jaman jana nilikuwa mitaa ya Mirembe hospital wale wakaka sjui walikuwa kwenye field sijui mitihani yani wotee wazurii khaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Ila madr wanajua kuvaa alafu mbona sura zaoo nzurii sana au macho yangu.
Usiombe ukutane na Mahb madr ndo wametoka kuajiriwa kama mwaka au miaka miwili wanakuwaga wazuri yanii vijana vijana wanavaa vizur yani [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]
Alafu Madr wanapenda kumiliki vitu vizur vizur kuanzia simu,magari na nyumba kwa sababu wana mihelaaa.
Ndo maana nimeamua kuolewa na Mganga kalumanzila maana nawazimia madaktareeee[emoji182][emoji182][emoji182]View attachment 874207
Hyo ni kweli kwa huko nje I do believe ma Dr wengi hutunukiwa huko nje kwa kujali tu wagonjwa hasa kina Dada maana duh, mtu hajawahi treatiwa hivo sasa akikutana huko nje kifuatacho ITV....Huko njee fresh maana unakuwa si mgonjwa tena nikupambana na changamoto ndogo ndogo kama mumewo kama umeolewa ama kaka zako na ndugu zako