Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiyo ni kutupa kazi ya mbili kwa mpigo ya kusaidia bby wako kukudekeza na matibabu ila usijali yote n majukumu yetu treat a patient do way some will ask ua service and care over n over again ua welcome
Hahaaaa umeona huko kutudekeza hutupa wagonjwa nguvu na kutoa uoga aisee na maumivu hupungua, ila hata nyie madaktari kuna saa huwa mnapitiwa eeeh siunajua kiubinadamu, mi na wapenda ma Dr kwa kazi nzuri
 
Binafsi navutiwa na mtu nje na maeneo yangu ya kazi ila unaponikuta job unanikuta na mipango kazi na kanuni zangu kwa kazi yang pia taayari nishavaa tatizo lako kuwa langu sasa kama ivo hata feelings zinakuwa hazipo sema tu ntakupa maksi kuwa ww unavutia labda ukipona na ukanijuza uko poa na nje ya mazingara ya aiseee mbona ntaflash back appearance yako mamy nikutafute[emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]
Hahaaaa umeona huko kutudekeza hutupa wagonjwa nguvu na kutoa uoga aisee na maumivu hupungua, ila hata nyie madaktari kuna saa huwa mnapitiwa eeeh siunajua kiubinadamu, mi na wapenda ma Dr kwa kazi nzuri
 
Binafsi navutiwa na mtu nje na maeneo yangu ya kazi ila unaponikuta job unanikuta na mipango kazi na kanuni zangu kwa kazi yang pia taayari nishavaa tatizo lako kuwa langu sasa kama ivo hata feelings zinakuwa hazipo sema tu ntakupa maksi kuwa ww unavutia labda ukipona na ukanijuza uko poa na nje ya mazingara ya aiseee mbona ntaflash back appearance yako mamy nikutafute[emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji11][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9]
Hyo ni kweli kabisa yani na sifa ya Dr aliyekamilika ni kuwa strict na kazi yake mda wote nakuwa na huruma. Sasa ukiroka unaanzaje kumtafta labda una kutana huko nje accidentally
 
Huko njee fresh maana unakuwa si mgonjwa tena nikupambana na changamoto ndogo ndogo kama mumewo kama umeolewa ama kaka zako na ndugu zako
Hyo ni kweli kabisa yani na sifa ya Dr aliyekamilika ni kuwa strict na kazi yake mda wote nakuwa na huruma. Sasa ukiroka unaanzaje kumtafta labda una kutana huko nje accidentally
 
Yani kila hospital ninayopita sijawahi kutana na Dr asiye na mvutooo.
Duuuh wanajua kuvaa hasa suruali za kadeti mashati yamenyooshwa vizur yani mahandsome[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Jaman jana nilikuwa mitaa ya Mirembe hospital wale wakaka sjui walikuwa kwenye field sijui mitihani yani wotee wazurii khaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Ila madr wanajua kuvaa alafu mbona sura zaoo nzurii sana au macho yangu.

Usiombe ukutane na Mahb madr ndo wametoka kuajiriwa kama mwaka au miaka miwili wanakuwaga wazuri yanii vijana vijana wanavaa vizur yani [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]

Alafu Madr wanapenda kumiliki vitu vizur vizur kuanzia simu,magari na nyumba kwa sababu wana mihelaaa.

Ndo maana nimeamua kuolewa na Mganga kalumanzila maana nawazimia madaktareeee[emoji182][emoji182][emoji182]View attachment 874207
Kumbe yule mtoto mweupe mzuri ndio alikuwa wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huko njee fresh maana unakuwa si mgonjwa tena nikupambana na changamoto ndogo ndogo kama mumewo kama umeolewa ama kaka zako na ndugu zako
Hyo ni kweli kwa huko nje I do believe ma Dr wengi hutunukiwa huko nje kwa kujali tu wagonjwa hasa kina Dada maana duh, mtu hajawahi treatiwa hivo sasa akikutana huko nje kifuatacho ITV....
 
Back
Top Bottom