Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

akhaaa!! we si umesema unapenda madaktari,

njoo moro kama vipi[emoji482] [emoji485] [emoji485] weekend iende murua! kazi na dawa!
Moro kiwanja gan mbn mm mwenyeji sanaaa
 
Hahaaaa umeona huko kutudekeza hutupa wagonjwa nguvu na kutoa uoga aisee na maumivu hupungua, ila hata nyie madaktari kuna saa huwa mnapitiwa eeeh siunajua kiubinadamu, mi na wapenda ma Dr kwa kazi nzuri
Sana alafu nawaonea huruma na kero za wagonjwaaa
 
Back
Top Bottom