Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Madaktari wa kiume ni mahandsome sana!!

Kumbe yule mtoto mweupe mzuri ndio alikuwa wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilkuwa mm si unaona nilivyokuwa nawacheki[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hyo ni kweli kwa huko nje I do believe ma Dr wengi hutunukiwa huko nje kwa kujali tu wagonjwa hasa kina Dada maana duh, mtu hajawahi treatiwa hivo sasa akikutana huko nje kifuatacho ITV....
Kabisaaa wala hujakoseaaaa
 
Unajua haya mambo huwa yanategemeana. Mwanaume hawezi kuwa malaya bila uwepo wenu wanawake.

Sasa hapa inabidi muwe mnakaza.

Kuna jambo nilitaka niongezee hapa,ila navuta subira kidogo.
Naimani umeashaongezeaaa
 
Unajua mimi ni mtu mwema sana,nilivyokuwa O' Level nilikuwa natamani sana nije kuwa daktari lakini nikawaza suala la kuwatafuna watoto wa watu,nikasema ngoja nishirikishe halmashauri ya akili yangu.

Tokeo la O Level kwenda A Level lilinikuta nimeshakuwa sio yule wa mawazo ya udaktari maana nilikuwa na mawazo ya Zinaa ni deni na mimi sipendi kulipa madeni yenye kuambatana na maumivu. Nikaamua kuanza kuwaza masomo ambayo hayatakuwa na muongiliano na watoto wa kike kila mara.

Ila ole wenu,ningekuwa dr ................!
Ungewalaaaa
 
Back
Top Bottom