macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Haki sawa ya mgonjwa kumchagua daktari anayemtaka. BTW Mwanamke na mwanamme hawako sawa kimaumbile hivyo wataendelea kuwa tofauti tu na tofauti zao zitaendelea mpaka kwenye maisha tunayoishi kila siku. Mimi ni watu ambao naamini kuwa mwanamke hatakaa awe sawa na mwanamme kwa baadhi ya mambo.Wanaogopa nini wakati wanasema HAKI sawa.au hii haki sawa nikwenye pesa na vyeo vyakisiasa tu uko kwingine wanataka kujitenga.
Sheria za kuficha mwili sio?Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Mke ana UTI au PID ndio maana bado analeta ubishoo.....Ukiumwa hutaleta ubishoo
Ni kweliKwamba macho au Kope zako ziliganda na ulishindwa kufumba macho au kuangalia pembeni ?
Kuna kitu kinaitwa professionalism na thank God any nurse worth his / her salt anatambua hilo..., na kama mtu mgonjwa hizo habari za kwamba huyu ni binti au anaweza akawa mtoto wangu nadhani zinakuwa sio kipaumbele kwa wakati huo....
Kwahio inategemea kama kuna luxury ya wauguzi wa kila jinsia na kila umri basi hilo litafanyika..., bali hatuwezi kuwapoteza ndugu zetu kwa kukosa huduma sababu eti hatuna category ya muhudumu kwa mgonjwa husika (umri, jinsia na labda hata Imani)
Sasa hapa ulitaka kueleza nini? Mbona kama ni hadithi isiyo na suluhisho?Nilioomaliza chuo nilipatwa na changamoto ya kiafya ikanibidi nilazwe hosii, jirani yangu alikuwa ni baba kabisa Kwa makamu yake na miaka yangu anqeza kunizaa.
Yule baba alikuwa na changamoto katika njia ya mkojo yani mkojo ulikuwa hautoki njia ilikuwa imeziba.
Kaka nurse mmoja asee akaanza kuishika mashine ya yule baba na nurse Kwa umri wake ni mtoto wa yule baba nilipatwa na aibu mimi pamoja na kuwa nilikuwa hoi lakin ile hali ilinihuzunisha sana.
Nurse alikuwa anaishika mara aipigepige mara aipikichepikiche yani ilikuwa ni balaa.
Kuna vile vipazia alikuwa kavitandaza kuziba watu wasione lakin kwa angle nilikuwa nimelazwa mimi kulikuwa hakuna kipingamizi niliona kila kilichoendlea
Kwa hapa Tanzania sasa hivi Madaktari vihiyo ni wengi mno tena kwa sasa wamerudi kwa kasi, wapo kila hospitali. Wengi wakishapekua sehemu za siri za wake zetu wanaenda vijiweni kusimulia jinsi nyeti za wake zetu zilivyo na wanapenda kuvaa chupi za aina gani huku kijiwe kikichangamka kwa vicheko. Utashangaa mwisho wa siku mtaa wako umejaa vijana ama watu wasio na kazi wanapita kuzingira nyumba yako ili mradi tu naye apate kumuona mkeo.Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Upo sahihi maana daktari mwanaume kumfanyia uchunguzi mwanamke inamuathiri sana mwanamke kisaikolojia sijui kwanini serikali inashindwa kulitungia sheria jambo hili.Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Hivi tuna madaktari wa kike wakutosha nchi nzima kweli? Kama mama akihujumiwa na dkt wa kiume uko utaratibu wa kutoa taarifa na hatua kuchukuliwa.kumbuka hawa madaktari wamezoea kuona viungo vya wagonjwa kiasi cha kukosa mawazo maovuKama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Nope, too lateKama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Na kama Kuna upungufu wa madaktari wanawake mahali hapo inakuwaje!!Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Kama unaona madaktari wanafaidi nenda na wewe ukasomee udaktari.Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.
Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!
Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!
Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo itabaki kuwa siri ya daktari na mteja wake,akiongezeka hapo mtu wa tatu mambo yanaharibika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akishasema achia miguu....nayo inainuka.
Mungu awapiganie kwa kweli kazi yao ni ngumu sana