Madaktari wa kiume wasijihusishe na uchunguzi wa sehemu za Siri za wanawake, sera itungwe upya daktari wa kike ahudumie wanawake!

Madaktari wa kiume wasijihusishe na uchunguzi wa sehemu za Siri za wanawake, sera itungwe upya daktari wa kike ahudumie wanawake!

Wanaogopa nini wakati wanasema HAKI sawa.au hii haki sawa nikwenye pesa na vyeo vyakisiasa tu uko kwingine wanataka kujitenga.
Haki sawa ya mgonjwa kumchagua daktari anayemtaka. BTW Mwanamke na mwanamme hawako sawa kimaumbile hivyo wataendelea kuwa tofauti tu na tofauti zao zitaendelea mpaka kwenye maisha tunayoishi kila siku. Mimi ni watu ambao naamini kuwa mwanamke hatakaa awe sawa na mwanamme kwa baadhi ya mambo.
 
haki zako peleka private huko, ukija serikali fedheha nizakufikia tu
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Sheria za kuficha mwili sio?
Ushasikia neno Super specialist wa Kina mama?
Ushajiuliza kwenye Hospital moja wanaweza wakawa wangapi?

We unadhani kuumwa ni PID tu?

Siku vinawashika vya maana hata hiyo ujinga unaleta hapa na wanao kusapoti utaona ni wajinga wenzio..

Kazi ya Matibabu usichanganye na ujuaji, makosa ya kimaadili yapo kwenye kila sekta..

Ila ukiona mkeo ni muhim sana fanya kumpeleka private na chagua daktari kwa gharama zako...

TBH watz wengi bado ni malimbukeni sana....

Samahan kama hii lugha ni mbaya sana ... Ila mnaudhi saana na hoja za kijinga
 
Kwamba macho au Kope zako ziliganda na ulishindwa kufumba macho au kuangalia pembeni ?

Kuna kitu kinaitwa professionalism na thank God any nurse worth his / her salt anatambua hilo..., na kama mtu mgonjwa hizo habari za kwamba huyu ni binti au anaweza akawa mtoto wangu nadhani zinakuwa sio kipaumbele kwa wakati huo....

Kwahio inategemea kama kuna luxury ya wauguzi wa kila jinsia na kila umri basi hilo litafanyika..., bali hatuwezi kuwapoteza ndugu zetu kwa kukosa huduma sababu eti hatuna category ya muhudumu kwa mgonjwa husika (umri, jinsia na labda hata Imani)
Ni kweli
 
Nilioomaliza chuo nilipatwa na changamoto ya kiafya ikanibidi nilazwe hosii, jirani yangu alikuwa ni baba kabisa Kwa makamu yake na miaka yangu anqeza kunizaa.
Yule baba alikuwa na changamoto katika njia ya mkojo yani mkojo ulikuwa hautoki njia ilikuwa imeziba.

Kaka nurse mmoja asee akaanza kuishika mashine ya yule baba na nurse Kwa umri wake ni mtoto wa yule baba nilipatwa na aibu mimi pamoja na kuwa nilikuwa hoi lakin ile hali ilinihuzunisha sana.

Nurse alikuwa anaishika mara aipigepige mara aipikichepikiche yani ilikuwa ni balaa.

Kuna vile vipazia alikuwa kavitandaza kuziba watu wasione lakin kwa angle nilikuwa nimelazwa mimi kulikuwa hakuna kipingamizi niliona kila kilichoendlea
Sasa hapa ulitaka kueleza nini? Mbona kama ni hadithi isiyo na suluhisho?

Pazia ziliwekwa za kusitiri si ndiyo!?

Kazi ya kugeuza, kupigapiga au kupikichapikicha pengine ndiyo namna ya mwanzo wa matibabu.
Hapo siyo umri wa nurse; angalia taaluma au kazi yake. Ndiye alikuwa nurse wa zamu bila kujali umri wake.
Baada ya hapo kilitokea nini kwa mgonjwa?

Madaktari na wauguzi wanakula kiapo cha kazi zao.
Hakuna kutoa Siri za mgonjwa na hata ugonjwa wake kwa mtu mwingine ila kwa ridhaa ya mhusika/wahusika.
Kama wapo wanaofanya hivyo ni kinyume na maadili ya taaluma zao. Tena wakijulikana hatua za kinidhamu zinachukuliwa ikiwamo hata kufukuzwa kazi.
 
Na kwa Ta
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Kwa hapa Tanzania sasa hivi Madaktari vihiyo ni wengi mno tena kwa sasa wamerudi kwa kasi, wapo kila hospitali. Wengi wakishapekua sehemu za siri za wake zetu wanaenda vijiweni kusimulia jinsi nyeti za wake zetu zilivyo na wanapenda kuvaa chupi za aina gani huku kijiwe kikichangamka kwa vicheko. Utashangaa mwisho wa siku mtaa wako umejaa vijana ama watu wasio na kazi wanapita kuzingira nyumba yako ili mradi tu naye apate kumuona mkeo.
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Upo sahihi maana daktari mwanaume kumfanyia uchunguzi mwanamke inamuathiri sana mwanamke kisaikolojia sijui kwanini serikali inashindwa kulitungia sheria jambo hili.

Sio kwamba mwanamke anapenda ahudumiwe na daktari au muuguzi wa kiume lahasha bali ni sera mbovu tu za serikali zinamlazimu mtu mtu kujivua utu wake wakati inawezekana kabisa madaktari wa kike wakashughulikia wagonjwa wa kike.
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Hivi tuna madaktari wa kike wakutosha nchi nzima kweli? Kama mama akihujumiwa na dkt wa kiume uko utaratibu wa kutoa taarifa na hatua kuchukuliwa.kumbuka hawa madaktari wamezoea kuona viungo vya wagonjwa kiasi cha kukosa mawazo maovu
 
Mtoa mada atakuwa ndo yule aliyesema "NIKIFA KE WANGU ASIOLEWE"
 
Hakuna watu wanafaidi kama hao madaktari wa Wanawake,

anamwambia hebu panua miguu, na Mkeo hawezi kataa, jamaa anaingiza vidole atakavyo.....nawewe upo hapohapo chumba cha pili au nje.....SHIT
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Nope, too late
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Na kama Kuna upungufu wa madaktari wanawake mahali hapo inakuwaje!!
 
Bro wangu nikikaa nae kitambo alipata ajali Mara mbili,alikaa Sana hosp,ila baada ya kutoka wale manesi waliokuwa wanamtoa mkojo kwa mpira,maana alikua hainuki kalala tu...wakawa mademu zake wanakuja home
 
Ukiwa na mentality za kingono ngono hakuna kitu mwanamke atafanya hutahusisha na ngono.
 
Kama ilivyo polisi wanapoenda kumkamata mhalifu wa kike askari anayehusika na ukamataji ni askari wa kike, hata magereza ya kike huwa inahudumiwa na askari wanawake.

Upande wa afya mambo ni tofauti, vijana wa kisasa waliojipata kuwa madaktari na wauguzi wanafanya michezo ya kishetani kwa mama zetu ,dada zetu na wake zetu !hata ugonjwa usio wa kuchunguza sehemu za siri daktari anamuamuru mgonjwa avue nguo alale kitandani amuingize vidole ati anaangalia kama Ute uko safi!

Sera ibadike kama Kuna uchunguzi ufanywe mbele ya mume wake au mmoja wa ndugu na si mgonjwa peke yake, ama daktari wa kike ahudumie wagonjwa wa kike ikiwa amehitajika kuchunguzwa sehemu za Siri. Wake zetu asilimia tisini wakivukiwa nguo huko kwenye vyumba vya madaktari hawatoki salama kabisa!

Na kwa Hali ilivyo sasa madaktari wengi ni wagonjwa na wanaleta athari kubwa kijamii waziri wa afya jitahidi kuondoa kero hii,
Kama unaona madaktari wanafaidi nenda na wewe ukasomee udaktari.

Kitu usichokijua kulingana na medical ethics daktari wa kiume anamuhudumia mgonjwa wa kike mbele ya nesi wa kike kama shahidi.

Lakini je kama nesi hayupo na daktari yupo peke yake amuache mgonjwa afe kisa kuzingatia medical ethics?


Kingine usichokijua wanawake wanapenda zaidi kuhudumiwa na daktari wa kiume kuliko daktari wa kike.
 
Back
Top Bottom