Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ni kweli ,ila kumbuka Kuna wale wanaoanzia cheti huku chini mpk huko kwenye udaktari, wengi tu, na walifel tu hata waoUkipata Division 3 hupaswi somea udaktari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli ,ila kumbuka Kuna wale wanaoanzia cheti huku chini mpk huko kwenye udaktari, wengi tu, na walifel tu hata waoUkipata Division 3 hupaswi somea udaktari.
Huyu atakua amesomea St. FRancis IfakaraNaandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
Nakushauri kaka endelea kumpima hispitali nzuri zaidi walau utapata ufumbuzi licha ya kuwa utapata garama kubwa,Mimi wa kwangu nilipata ufumbuzi yupo salamaMwanangu juzi kapewa midonge ya vidonda vya tumbo.. nimeitupa hukooo...
Hao wanalazimishaNi kweli ,ila kumbuka Kuna wale wanaoanzia cheti huku chini mpk huko kwenye udaktari, wengi tu, na walifel tu hata wao
Trust me unakunywa dawa ambazo huugui ugonjwa wake kama uko karibu na Dar sogea Medwell Kibaha hapo hawafeki kituHii ndiyo hali ninayo sasa.
Mbavu zinabana na kuachia, kichwa, mwili na viungo vinauma uma tuu.. Muda wote mwili una uchovu.
Na hapa nimeshamaliza Dozi ya UTI na Typhoid zaidi ya Wiki sasa ila sijaona mabadiliko yoyote.
Huenda hii kitu ipo kweli mtaani huku..
Vyuo vya udaktari vya angalau uwe na D tatu vimekuwa vingi Sana....
DuhNilikua Bukoba na kundi la wageni. Tumeenda hospitali, mmoja alikua ana homa. Vipimo vikaonyesha hana shida. Cha ajabu daktari akamuandikia lundo la dawa. Yule mzungu alishangaa sana na kutukana matusi mengi ya kuonyesha kwamba watu weusi hatuna akili. Aliniuliza, hivi ndivyo mambo yanafanyika? Na, je Dar ni hivihivi? Sikuvunga nikamchana ukweli. Akasikitika sana.
Well said mkuu....serekali iangalie vizuri sera ya elimu na ifanye reform panapotakiwaSwala siyo D tatu, D tatu A-level enzi hizo haikuwa mchezo..........ila kwa sasa kuna kuporomoka kwa kiwango cha elimu inayotolewa tokea msingi hadi huku juu. Kinachangaliwa sasa ni statistics, walioandikishwa shule ni wangapi, waliomaliza ni wangapi......kujua kwamba hawa wahitimu wamepata nini kichwani siyo la msingi tena.
Una bahati nzuri wewe ugonjwa uliisha, I mean ulipona kutokana na kilichotokea.Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this?
Kwa hiyo sisi tunawazidi elimu hizo nchi ulizosema kisa wanapokea division foo?Bila kuwekeza na kuweka vigezo vikubwa kwa udaktari lazima tutapoteza watu wengi kwa uzembe.
Leo mtu ana Division 4/0 anaenda India, China, Uturuki anarudi na Degree
Kabisa au yule anajiita carlos mtu mda wote anawaza ngono tuUnakutana na nesi wa kiume kama rikiboy , lazima ukufe haraka sana.
Muda wote anawaza papuchi na kudinya.
Duh! kuna mmoja alinishona kidole uzi sita hadi anamaliza sina hamu,sindano ya gazi inaingizwa hadi inatokea upande mwingine kama anashona nguo...
Huyu Carlos The JackalKabisa au yule anajiita carlos mtu mda wote anawaza ngono tu