DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyu atakua amesomea St. FRancis Ifakara
 
Mwanangu juzi kapewa midonge ya vidonda vya tumbo.. nimeitupa hukooo...
Nakushauri kaka endelea kumpima hispitali nzuri zaidi walau utapata ufumbuzi licha ya kuwa utapata garama kubwa,Mimi wa kwangu nilipata ufumbuzi yupo salama
 
Vyuo vya kibiashara ndiyo matokeo yake. Na bado, huko tuendako hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Ni kweli baadhi yao ni 'bogus' ... hawaaminiki kabisa. Kuna vifo vingi vimesababishwa na uzembe wao.. Inasikitisha sana
 
Wanakuaga wakali hao ukiwaambia ukweli
 
Aisee ukilinganisha graduates wa miaka ya nyuma na hawa wa siku hizi utaona tofauti kubwa sana, kwa sasa elimu siyo hovyo tu kuanzia ngazi za kule chini bali imezidi ku reflect huku juu kwa wahitimu ambao ni hopeless kabisa. Tukiendelea kufanya siasa kwenye mambo ya msingi kama elimu tutarajie zaidi ya hili.​
 
Trust me unakunywa dawa ambazo huugui ugonjwa wake kama uko karibu na Dar sogea Medwell Kibaha hapo hawafeki kitu
 
Bila kuwekeza na kuweka vigezo vikubwa kwa udaktari lazima tutapoteza watu wengi kwa uzembe.

Leo mtu ana Division 4/0 anaenda India, China, Uturuki anarudi na Degree
 
Vyuo vya udaktari vya angalau uwe na D tatu vimekuwa vingi Sana....
Swala siyo D tatu, D tatu A-level enzi hizo haikuwa mchezo..........ila kwa sasa kuna kuporomoka kwa kiwango cha elimu inayotolewa tokea msingi hadi huku juu. Kinachangaliwa sasa ni statistics, walioandikishwa shule ni wangapi, waliomaliza ni wangapi......kujua kwamba hawa wahitimu wamepata nini kichwani siyo la msingi tena.​
 
Duh
 
Well said mkuu....serekali iangalie vizuri sera ya elimu na ifanye reform panapotakiwa
 
Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this?
Una bahati nzuri wewe ugonjwa uliisha, I mean ulipona kutokana na kilichotokea.

Sasa kuna wale ambao badala ya ugonjwa kuisha ghafla kama wewe, wao ugonjwa unaongezeka ghafla.

Mungu atusaidie sana.
 
Sa nyingine sio lazima afanye hayo anatumia na uzoefu ukimwelezea tu anajua hili litakua ni tatizo Fulani naongea kama Doctor Car apa
 
Duh! kuna mmoja alinishona kidole uzi sita hadi anamaliza sina hamu,sindano ya gazi inaingizwa hadi inatokea upande mwingine kama anashona nguo...

[emoji38][emoji38][emoji38]
Pole sana mkuu, na kama ilkua ni hospital ya serikali ndio mambo yao.
 
Reactions: Sax
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…