HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ukiangalia hapo pote haifiki LAKI ila unakuwa na uhakika.Haya yote nakubaliana na wewe asilimia 100.
Usiende checkup kwenye hospital za binafsi, kwa mambo ya Moyo nenda JKCI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiangalia hapo pote haifiki LAKI ila unakuwa na uhakika.Haya yote nakubaliana na wewe asilimia 100.
Barikiwa sana kwa kuiheshimu taaluma yako, shida ni kwamba hata kelele ipigwe kiasi gani wakujibu na kulipa kipaumbele tatizo la wana taaluma hayupo maana wote ni wateuliwa wasio ithamini na kuipenda taaluma ya udakatari.Kuhisi sawa.
Ila hadi kufikia hatua ya kujitibu mwenyewe, hapana. Sijawahi kuwa na tatizo la moyo kabla.
Nilishahisi shida ni moyo, ila nilitaka mtu mwingine ani examine na kufikia conclusion na kunishauri cha kufanya. Huwa hakuna kitu sipendi kama kujitibu mwenyewe, unless labda kama sina option kabisa. Tena ugonjwa wa kuhusu moyo, siwezi hata kujaribu kujitibu.
Natamani nimpe hiyo benefit of doubt, ila wala hatukukuta watu pale kituoni, palikua almost empty yaani. I was the only patient.Kwa mda ulioenda haukutakiwa kulaumu mtu almost ni asubuhi Kwa vituo vyetu mtoa huduma ni uyo tangu saa 9 mchana
Lakini kuficha identity pia sio swala zuri unajua kitu share ili kuboroesha huduma
True.Ukiangalia hapo pote haifiki LAKI ila unakuwa na uhakika.
Usiende checkup kwenye hospital za binafsi, kwa mambo ya Moyo nenda JKCI
Kuhusu ishu ya kuficha identity, sikutaka kujitambulisha kama daktari kwa sababu ingeweza kumfanya asiwe huru au ajisikie inferior au atetemeke na kushindwa kunihudumia vizuri. Naelewa sana presha za hivyo, I was once in those shoes, akija mgonjwa akisema tu yeye ni daktari kuna power fulani una lose na kuwa na wasiwasi fulani. I did not want that.Kwa mda ulioenda haukutakiwa kulaumu mtu almost ni asubuhi Kwa vituo vyetu mtoa huduma ni uyo tangu saa 9 mchana
Lakini kuficha identity pia sio swala zuri unajua kitu share ili kuboroesha huduma
Basi ni hatari sana.Aliniambia binti yangu ambaye ni daktari, '' Baba usiende kwa madaktari vijana, hawa walisoma ili wapate vyeti sio kuelewa''. Na mimi nakubaliana nae kabisa. Bora nitibiwe na nurse mtu mzima kuliko kutibiwa na daktari kijana.
Na moyo wa kithamini hiyo taaluma ya kuokoa maisha ya watu ndio hawana kabisaa. Last week nilikuwa mkoa fulani nilikwenda hospitalini kupata huduma ya afya madaktari vijana wapo nnje wanaishangaa gari la mwenzao LANDROVER DISCAVAREY imefika mpya Mtumba sasa ndani foleni kubwa wao wanapiga story nnje tena na makoti yao ya kitaaluma, aisee ujana bahna majia moto kweli.Aliniambia binti yangu ambaye ni daktari, '' Baba usiende kwa madaktari vijana, hawa walisoma ili wapate vyeti sio kuelewa''. Na mimi nakubaliana nae kabisa. Bora nitibiwe na nurse mtu mzima kuliko kutibiwa na daktari kijana.
Kupiga bia sio ishu sana. Kuna madaktari wengi wanapiga kilaji ila wako competent sana kwa kazi wanayoifanya.Jana nilikutana na classmate wangu mmoja MD pale Kinyerezi Park anakula bia kama hana akili, totoz ndo usiseme.
kila mtu ashinde mechi zake.
Duuuuhhh!! Hatari.Na moyo wa kithamini hiyo taaluma ya kuokoa maisha ya watu ndio hawana kabisaa. Last week nilikuwa mkoa fulani nilikwenda hospitalini kupata huduma ya afya madaktari vijana wapo nnje wanaishangaa gari la mwenzao LANDROVER DISCAVAREY imefika mpya Mtumba sasa ndani foleni kubwa wao wanapiga story nnje tena na makoti yao ya kitaaluma, aisee ujana bahna majia moto kweli.
Hakuna Madaktari siku hizi. Hapo hujakutana na physician akushangaze.. Yaani ni hatari sana. Ninawafahamu madaktari kadhaa ambao ilitokea wameunga unga wakaangukia Udaktari, wakalipiwa na mwajiri kwenda MMED. Lkn tunaowafahamu ni hawana passion kabisa na hiyo kazi.Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza
We are doomed.
Ni wakati Sasa kupitia forum ya wanataaluma wenzio muhamasishane kuipenda kazi yenuNaandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
Basi tumekwisha kama nchi!!Hakuna Madaktari siku hizi. Hapo hujakutana na physician akushangaze.. Yaani ni hatari sana. Ninawafahamu madaktari kadhaa ambao ilitokea wameunga unga wakaangukia Udaktari, wakalipiwa na mwajiri kwenda MMED. Lkn tunaowafahamu ni hawana passion kabisa na hiyo kazi.
Juzi kuna daktari alimtesa sana mwananguNaandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.
Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.
Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.
Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.
Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.
Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!
Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.
Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.
Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.
I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?
We are doomed.
Pole sana mkuu. Nakubali kuhusu kukosekana kwa weledi kwenye vituo vingi vya binafsi. Wanaangalia faida zaidi, kwa hiyo wana concetrate kwenye vipimo na dawa za kuwapa hela, ila sio kutoa tiba kwa weledi.Ni wakati Sasa kupitia forum ya wanataaluma wenzio muhamasishane kuipenda kazi yenu
Wiki iliyopita manusura nimpoteze mwanangu kwa uzembe wa daktari aliyemu attend mwanza
Mtoto alikuwa na mafua, kikohozi lakini kila akijaribu kula alikuwa anatapika
Kwa hali hiyo nikampeleka hizi mnazoita polyclinic
Cha kushangaza, naelezea history ya mgonjwa aliposikia mafua na kikohozi hakuona haja hata ya kumchukua vipimo. Alichofanya ni kuandika dawa za centrizen, ya kikohozi na Panadol tu
Dawa hizo hazikumpa ahueni yoyote mwanangu
Baada ya siku mbili baada ya kuona hawezi kula chochote nikaona nirudi tena pale pale wanapofahamu history ya mgonjwa
Nikajaribu kuforce angalua apimwe damu, choo na mkojo (hii ni baada ya Dr kusema mtoto shida.ni mafua tu)
Vipimo vya lab vikaje negative vyote
Siku iliyofuata mchana mtoto akakakamaa, hajiwezi kwa.lolote
Kwenda hospital ya rufaa, waliompokea.emegency ilibidi waanze na sindano ya.kurudisha uhai (feno)
Vipimo vya awali vikaonyesha alikuwa na homa kali ambayo endapo tunge delay matokoea yasingekuwa mazuri
Hapo ndo nilipochoka.na.kujiuliza.kwanini hii homa haikuonekana.siku zote wakati nilieleza.mtoto kila akila.ana tapika kiasi cha Dr aliyenipokea.kusema tumezembea kumpeleka mtoto hospital mapema
Kuna madktari wanafanya kazi bila.kujali weledi wa kazi yao hasa hasa hivi vituo binafsi ambavyo Zamani tuliviamini
Najitahidi sana kuhamasisha vijana madaktari kupitia forums zetu za kitaaluma. Hata hili tukio nimelitolea taarifa kwenyr forum yetu fulani ya kitaaluma.Ni wakati Sasa kupitia forum ya wanataaluma wenzio muhamasishane kuipenda kazi yenu
Wiki iliyopita manusura nimpoteze mwanangu kwa uzembe wa daktari aliyemu attend mwanza
Mtoto alikuwa na mafua, kikohozi lakini kila akijaribu kula alikuwa anatapika
Kwa hali hiyo nikampeleka hizi mnazoita polyclinic
Cha kushangaza, naelezea history ya mgonjwa aliposikia mafua na kikohozi hakuona haja hata ya kumchukua vipimo. Alichofanya ni kuandika dawa za centrizen, ya kikohozi na Panadol tu
Dawa hizo hazikumpa ahueni yoyote mwanangu
Baada ya siku mbili baada ya kuona hawezi kula chochote nikaona nirudi tena pale pale wanapofahamu history ya mgonjwa
Nikajaribu kuforce angalua apimwe damu, choo na mkojo (hii ni baada ya Dr kusema mtoto shida.ni mafua tu)
Vipimo vya lab vikaje negative vyote
Siku iliyofuata mchana mtoto akakakamaa, hajiwezi kwa.lolote
Kwenda hospital ya rufaa, waliompokea.emegency ilibidi waanze na sindano ya.kurudisha uhai (feno)
Vipimo vya awali vikaonyesha alikuwa na homa kali ambayo endapo tunge delay matokoea yasingekuwa mazuri
Hapo ndo nilipochoka.na.kujiuliza.kwanini hii homa haikuonekana.siku zote wakati nilieleza.mtoto kila akila.ana tapika kiasi cha Dr aliyenipokea.kusema tumezembea kumpeleka mtoto hospital mapema
Kuna madktari wanafanya kazi bila.kujali weledi wa kazi yao hasa hasa hivi vituo binafsi ambavyo Zamani tuliviamini