Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Pole daktari. Kimsingi wabongo, tuna shughuli nzito utamaduni unatuathiri.
Mbaya zaidi wakati mwingine unaweza kukuta chuoni unafundishwa vizuri, intern safii lakini ukifika kazini kuanza kutekeleza unaonekana unachelewesha muda.
Ni sawa na mtu anayejua mgonjwa mwenye magonjwa mengine anatakiwa kuzungumza nini na mfamasia, ikiwamo historia ya madawa na dawa nyingine anazotumia.
Akimkuta mfamasia, akampatia tu dawa halafu akaja kulalamika, yule mfamasia hakuniuliza hata nina dawa gani nyingine, kukiwa na interaction je? Lakini hapohapo mwingine akiulizwa anasema wewe bwana nipatie dawa maswali mengi ya nn kila siku mi dawa natumia😾. Sadly hawa wa pili ndio wengi sasa.
Ukifuatilia unaweza kukuta mwanzo alifuata hizo taratibu, baadae akajifunza zinapoteza muda akaacha. Kwa hiyo chuoni kapikwa, intern kapikika ila baadaye kakata kamba utamlaumu nani?.
Na wengine tusiwaseme madaktari tu tukasahau proffesional nyingine utamaduni mbovu ni janga sana;
Shoe shine anaweza anza tu kutia kiwi bila kufuta na maji, procedure
Taratibu za matumizi ya vifaa zinabakwa tu
Fundi gari/pikipiki anaweza kuanza kufungurunyua bila hata kutest chombo labda ndo procedure.
Mpenzi mke au mme kukurukia tu bila hata foreplay 😉🤣🤣
Yote hayo ni utamaduni wa kutofata taratibu tunazofundishwa.
Mbaya zaidi wakati mwingine unaweza kukuta chuoni unafundishwa vizuri, intern safii lakini ukifika kazini kuanza kutekeleza unaonekana unachelewesha muda.
Ni sawa na mtu anayejua mgonjwa mwenye magonjwa mengine anatakiwa kuzungumza nini na mfamasia, ikiwamo historia ya madawa na dawa nyingine anazotumia.
Akimkuta mfamasia, akampatia tu dawa halafu akaja kulalamika, yule mfamasia hakuniuliza hata nina dawa gani nyingine, kukiwa na interaction je? Lakini hapohapo mwingine akiulizwa anasema wewe bwana nipatie dawa maswali mengi ya nn kila siku mi dawa natumia😾. Sadly hawa wa pili ndio wengi sasa.
Ukifuatilia unaweza kukuta mwanzo alifuata hizo taratibu, baadae akajifunza zinapoteza muda akaacha. Kwa hiyo chuoni kapikwa, intern kapikika ila baadaye kakata kamba utamlaumu nani?.
Na wengine tusiwaseme madaktari tu tukasahau proffesional nyingine utamaduni mbovu ni janga sana;
Shoe shine anaweza anza tu kutia kiwi bila kufuta na maji, procedure
Taratibu za matumizi ya vifaa zinabakwa tu
Fundi gari/pikipiki anaweza kuanza kufungurunyua bila hata kutest chombo labda ndo procedure.
Mpenzi mke au mme kukurukia tu bila hata foreplay 😉🤣🤣
Yote hayo ni utamaduni wa kutofata taratibu tunazofundishwa.
, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).