DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

DOKEZO Madaktari wa kizazi hiki mnatia aibu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pole daktari. Kimsingi wabongo, tuna shughuli nzito utamaduni unatuathiri.

Mbaya zaidi wakati mwingine unaweza kukuta chuoni unafundishwa vizuri, intern safii lakini ukifika kazini kuanza kutekeleza unaonekana unachelewesha muda.

Ni sawa na mtu anayejua mgonjwa mwenye magonjwa mengine anatakiwa kuzungumza nini na mfamasia, ikiwamo historia ya madawa na dawa nyingine anazotumia.

Akimkuta mfamasia, akampatia tu dawa halafu akaja kulalamika, yule mfamasia hakuniuliza hata nina dawa gani nyingine, kukiwa na interaction je? Lakini hapohapo mwingine akiulizwa anasema wewe bwana nipatie dawa maswali mengi ya nn kila siku mi dawa natumia😾. Sadly hawa wa pili ndio wengi sasa.

Ukifuatilia unaweza kukuta mwanzo alifuata hizo taratibu, baadae akajifunza zinapoteza muda akaacha. Kwa hiyo chuoni kapikwa, intern kapikika ila baadaye kakata kamba utamlaumu nani?.

Na wengine tusiwaseme madaktari tu tukasahau proffesional nyingine utamaduni mbovu ni janga sana;
Shoe shine anaweza anza tu kutia kiwi bila kufuta na maji, procedure
Taratibu za matumizi ya vifaa zinabakwa tu
Fundi gari/pikipiki anaweza kuanza kufungurunyua bila hata kutest chombo labda ndo procedure.
Mpenzi mke au mme kukurukia tu bila hata foreplay 😉🤣🤣
Yote hayo ni utamaduni wa kutofata taratibu tunazofundishwa.
, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).
 
Pole daktari. Kimsingi wabongo, tuna shughuli nzito utamaduni unatuathiri.

Mbaya zaidi wakati mwingine unaweza kukuta chuoni unafundishwa vizuri, intern safii lakini ukifika kazini kuanza kutekeleza unaonekana unachelewesha muda.

Ni sawa na mtu anayejua mgonjwa mwenye magonjwa mengine anatakiwa kuzungumza nini na mfamasia, ikiwamo historia ya madawa na dawa nyingine anazotumia.

Akimkuta mfamasia, akampatia tu dawa halafu akaja kulalamika, yule mfamasia hakuniuliza hata nina dawa gani nyingine, kukiwa na interaction je? Lakini hapohapo mwingine akiulizwa anasema wewe bwana nipatie dawa maswali mengi ya nn kila siku mi dawa natumia😾. Sadly hawa wa pili ndio wengi sasa.

Ukifuatilia unaweza kukuta mwanzo alifuata hizo taratibu, baadae akajifunza zinapoteza muda akaacha. Kwa hiyo chuoni kapikwa, intern kapikika ila baadaye kakata kamba utamlaumu nani?.

Na wengine tusiwaseme madaktari tu tukasahau proffesional nyingine utamaduni mbovu ni janga sana;
Shoe shine anaweza anza tu kutia kiwi bila kufuta na maji, procedure
Taratibu za matumizi ya vifaa zinabakwa tu
Fundi gari/pikipiki anaweza kuanza kufungurunyua bila hata kutest chombo labda ndo procedure.
Mpenzi mke au mme kukurukia tu bila hata foreplay 😉🤣🤣
Yote hayo ni utamaduni wa kutofata taratibu tunazofundishwa.
Nakubaliana na wewe hapo kwenye utamaduni mbovu kwetu Watanzania, you are 100% spot on.
 
Swala sio mganga hajigangi.

Swala ni kuwa unaweza jua tatizo kwa kuhisi tu maana tayari wewe ni daktari unajua kabisa kuwa hapa tatizo ni hili na lile na sio swala la kuona pulse rate au kutumia steto kusikiliza mapigo ya moyo na sauti.

Mi si daktari ila huwa naweza fanya diagnosis ya mwenyewe.

Kama matatizo ya moyo unayo maana yake utakuwa na dawa ndani.
Mkuu yeye alikuwa anaumwa!Sasa hapo anajigangeje na Yuko hoi?
 
Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.

Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.

Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.

Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.

Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.

Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!

Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).

Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.

Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.

Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.

I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?

We are doomed.
We mwenyewe daktari na hujui unaumwa nini ila unataka dakitari mwenzako akwambie unaumwa nini, na anapokwambia unaumwannini bado hukubali, na humkubali.

M naona nyie wote ndio walewale
 
Duuuuhhh!! Aisee, hatari sana.
Pole sana mkuu.
Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.

Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.

Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.

Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.

Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.

Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!

Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).

Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.

Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.

Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.

I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?

We are doomed.
Hayo ndiyo yanayotusibu huku wenzenu huku uraiani.
 
We mwenyewe daktari na hujui unaumwa nini ila unataka dakitari mwenzako akwambie unaumwa nini, na anapokwambia unaumwannini bado hukubali, na humkubali.

M naona nyie wote ndio walewale
Kwa hiyo kama nilikua najua naumwa nini ndo ningenunua tu dawa pharmacy, ninywe, halafu nilale?
Ukiwa daktari ukiumwa moyo ukiwa unaenda mbio, inabidi ujisikilize mapigo yako ya moyo mwenyewe, usikilize kama hewa inaingia kwenye mapafu, usikilize pulse rate yako inaendaje kisha ujue shida inayokusumbua, uingie pharmacy, uchukue dawa,, umeze uendelee na maisha yako? Ndo udaktari huo au sio?
Usipoweza kujifanyia hivyo wewe mwenyewe udaktari wako una shida?
 
Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa.

Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa sita za usiku. Nilianza kujisikia hali ya ganzi upande wa kushoto wa kifua, na mapigo ya moyo kwenda mbio hasa.

Nikapambana na kujitahidi huku nikimuomba Mungu anifikishe tu asubuhi salama, kisha niwahi hospitali asubuhi hiyo. Lakini, kwa bahati mbaya hali ilizidi kuwa tete kadri muda unavyosonga. Basi, hadi kufika mida ya saa tisa hali bado ilikua ngumu, sasa nikaanza kusikia hali ya kifua kuwa kizito na kama hali ya kukosa hewa hivi.

Nikasema hapa sina namna, la sivyo wenyeji wanaweza kukuta mwili tu asubuhi hapa, maana nilikua peke yangu. Nikampigia simu mwenyeji wangu bahati nzuri akapokea nikamwambia naona hali yangu si nzuri, akaja fasta na gari, akashauri kuwa kwa vile ni usiku sana anipeleke tu health center ya binafsi ambayo si mbali sana kutoka hapo, kisha kama wataona umuhimu wa kutoa rufaa kwenda hospitali ya juu zaidi ndo twende, nikasema, sawa haina shida.

Aka drive hadi hapo health center, nikashuka nikaingia mapokezi nikaandikisha jina vizuri, nikaingia kwa daktari.

Kufika kwa daktari, akaniuliza shida nikampa historia yangu vizuri kabisa, sasa cha kushangaza yaani yule daktari hata kunifanyia physical examination hakutaka!! Yaani nampa dalili za moyo kwenda mbio, kifua kubana ila yeye hata kusema asikilize mapigo ya moyo, asikilize kifua (mapafu) kama hewa inaingia vizuri, asikilize pulse rate na rythym, wala!! Alichofanya tu alimuita nurse, akamwambia anipime presha, nikapimwa presha kwa automatic blood pressure machine. Karudia pale kama mara tatu, anapata readings tofauti tu hadi kachanganyikiwa achukue reading ipi. Yaani hata ugonjwa uliisha ghafla nikawa nawaza what is this? Ila ikabidi niwe mpole tu, maana sikutaka kujitambulisha kama daktari wala kujimwambafai. Baada ya nesi kuondoka, nikajua atanifanyia physical examination sasa asikilize hata kifua na mapigo ya moyo.Walaaaahhh hakuwaza kabisa!

Basi, akaandika vipimo vya lab pale, nikasubiri kidogo nikaja kutolewa damu,zikapelekwa maabara. Majibu yamerudi, nikaitwa tena kwa daktari, akaniambia majibu yangu na kuniandikia dawa za uongo na kweli. Nimetoka pale, hata pharmacy sikwenda, nikatoka nikamshtua jamaa yangu nikamwambia twende zetu, I was so disappointed hasa kwa sababu wakati yule daktari anajaza fomu yangu ya bima, niligundua kuwa kumbe ni MD kabisa (kwa maana ya kwamba ana shahada ya udaktari), yaani ndo nilichoka kabisa, maana mwanzoni nilidhani ana diploma tu (CO).

Tumetoka pale tayari saa kumi na moja alfajiri, jamaa akanirudisha tu home ila niliwaza sana aisee, kama MD ndo anakua hivyo, nikasema tuna shida kubwa sana nchini.

Ndio maana kila siku naona nyuzi humu madaktari tunatukanwa, aisee kumbe we deserve it kama madaktari wenyewe ndo sampuli ile niliyokuta pale. Waalimu mliopo vyuo vya udaktari mnawaandaaje hawa vijana huko vyuoni aisee? Daktari gani, a whole MD unakua hovyo hivyo?
We are doomed kwa kweli.

Ilibidi tu kulipokucha nicheki na jamaa yangu cardiologist yupo hospitali fulani ya rufaa ya zonal nikaenda pale kutibiwa, naendelea fresh now.

I am not saying kuwa I expected pale nifanyiwe vipimo vya hali ya juu vya moyo labda, no..!! ila daktari unapata mtu ana complain moyo unaenda mbio na kifua kizito, hata kumsikiliza moyo haumsikilizi, hausikilizi sauti za kwenye mapafu, hau palpate hata pulse..?? A whole MD?

We are doomed.
Shida yetu ni kwamba elimu yetu tumeichezea vya kutosha..
 
Sio vijana tu hadi madaktari wazee nao hamna kitu ni vihiyo.
Kikubwa ninachomshukuru Mungu CO nilisoma tanzania ila MD nimesoma Sweden,vyuo vyote tanzania ni uozo .
Tumepoteza ndugu zetu wengi kwa uzembe wa Dr
Huu ni uongo unaofana na ukweli labda ungesema kuna mahali kuna shida ila sio kuwa Vyuo vyetu vyote uozo hawa Proff wetu waliojaa vyuoni kwetu ndio hawahawa wamesoma Sijui Calgarly mara KUMAMOTO, sijui Zhengjeng na ndio hufundisha na kuandaa mitaala huku vyuoni inamaana nawenyewe ni UOZO japo wamesoma hukohuko Nje ambako wewe unaona wako vizuri

Mara kadhaa nimekuwa naona Gynacologist sijui Cardiologist(toka nje) wanakuja fanya kambi katika vituo ambavyo nakuwepo pia mbona wengi wamekuwa wakiwakubali sana baadhi ya wataalam wetu wandani wako vizuri!??
 
Back
Top Bottom