Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Arsenal inamfunga chelsea we uko busy kupost comedy
Aliyekuambia hii ni Comedy nani? Kwahiyo Chombo cha Habari Kinachoheshimika nchini Tanzania cha Mwananchi kilete Taarifa ya Kikomedi kama hii niliyoileta hapa Kwenu?
 
😂😂😂Huu uchokozi sasa,
Mbaya zaidi Na Arsenal under 18 kampiga Chelsea at the same time.

Anyway hii taarifa niliiona Katika pita pita zangu, kwakua siku ikubali nikaipita, nashanga imekua uzi humu.View attachment 1782647
Kuna Watu ni Wapumbavu sana sasa unashangaa nini kwa Taarifa hii kuwa Uzi hapa? Ina shida gani labda ili pengine isijadiliwe? Ungeileta Wewe usingeshangaa kwa kuileta Kwako Kwetu na kuifanya iwe Uzi? Mnafiki mkubwa Wewe!!
 
Kuna vile vivuzi laini kama zile ndevu za mahindi na kuna zile vuzi kama steel wire.

Hizi laini unazipata kama Una fanya wax haswa nazungumzia kwa wanawake ukifanya wax Yaani baadae zinaota lainii..
Wax kiboko ya unyoaji wote kwanza inakuacha soft kama mtoto na hupati weusi wala mapele
 
Hizi laini unazipata kama Una fanya wax haswa nazungumzia kwa wanawake ukifanya wax Yaani baadae zinaota lainii..
Wax kiboko ya unyoaji wote kwanza inakuacha soft kama mtoto na hupati weusi wala mapele

Waheshimiwa viongozi wetu washauriwe ili wawe nazo laini
 
Hizi laini unazipata kama Una fanya wax haswa nazungumzia kwa wanawake ukifanya wax Yaani baadae zinaota lainii..
Wax kiboko ya unyoaji wote kwanza inakuacha soft kama mtoto na hupati weusi wala mapele
Unafanyaga nyumbani au saloon?
 
Pumbavu aliyekuambia hii ni Comedy nani? Kwahiyo Chombo cha Habari Kinachoheshimika nchini Tanzania cha Mwananchi kilete Taarifa ya Kikomedi kama hii niliyoileta hapa Kwenu?
Toka hapa shabiki wa Sheffield wewe
 
Back
Top Bottom