Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Tafiti hupingwa kwa tafiti😂😂😂😂tafiti nyingine bhana zinatia ukakasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafiti hupingwa kwa tafiti😂😂😂😂tafiti nyingine bhana zinatia ukakasi
Ana msituKwaiyo uyo doctor uwa hanyoi
Kwasababu unakua umeishika shika sana Papuchi wakati wa kukata hiyo mizizi.Hizi nywele nikizinyoa huwa napata hamu sana ya kufanya tendo la ndoa. Wataalam nisaidieni kuna uhusiano wowote kati ya hivi vitu viwili au ni mimi tu na matatizo yangu?[emoji848]
I like it cleanMI mfugaji wa manywele lakini sio za Huko kwa chini mazee
Duhh.....Kwenye kupembua vuzi sasa mpaka iingie si unaishia kumwaga nje!!!???!
😂😂😂Huu uchokozi sasa,Arsenal inamfunga chelsea we uko busy kupost comedy
Aaasubutuuuu,. wengine wana vuzi la kalikiti+stiliwaya full kuchomwa chomwa jomonii mpaka huelewi,.ziwepo tuu za stimulation kwa mbaaali na sio kama zile za yohana mbatizaji,. lol
Raha ya chumvini kusiwe na nywele.Duuh mtafiti anataka kufuga wadudu gani sehemu za siri?
Mbona baadhi ya Mikate tunayokula inatengenezwa ( inaandaliwa ) kwa Ngano kupondwapondwa kwa Miguu huku Majasho na Makamasi yanapengewa humo humo na bado tunainywea Chai mpaka Kushiba?Huyo Daktari wenu amewapotosha, hivi utaishije na uchafu! Muuza chipsi anaingiza mkono na kuyashikashika alafu anaendelea na ukataji chipsi, vipi apo?