Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri

Eti tunaruhusiwa kufuga na zile nywele zilizoko mferejini?
 
Huyo daktari ashajitambulisha kuwa na msitu, Duh. Hiyo noma. Wapigaji deki je, si watapata taabu sana? 😂 😂 😂
 
Arsenal inamfunga chelsea we uko busy kupost comedy
😂😂😂Huu uchokozi sasa,
Mbaya zaidi Na Arsenal under 18 kampiga Chelsea at the same time.

Anyway hii taarifa niliiona Katika pita pita zangu, kwakua siku ikubali nikaipita, nashanga imekua uzi humu.
IMG-20210512-WA0019.jpg
 
Hahahahahaha kali kiti sasa kuna nyingine utadhani ni singa utasikia KE anasema natamani hizi zingekuwa kichwani kwangu ziko lainiiiii
😜😜😜
Aaasubutuuuu,. wengine wana vuzi la kalikiti+stiliwaya full kuchomwa chomwa jomonii mpaka huelewi,.ziwepo tuu za stimulation kwa mbaaali na sio kama zile za yohana mbatizaji,. lol
 
Huyo Daktari wenu amewapotosha, hivi utaishije na uchafu! Muuza chipsi anaingiza mkono na kuyashikashika alafu anaendelea na ukataji chipsi, vipi apo?
Mbona baadhi ya Mikate tunayokula inatengenezwa ( inaandaliwa ) kwa Ngano kupondwapondwa kwa Miguu huku Majasho na Makamasi yanapengewa humo humo na bado tunainywea Chai mpaka Kushiba?
 
Back
Top Bottom