sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Si watangaze tukachukue kadi za ki electronic bure bila kupata jabChanjo zimekaribia kumalizika mda wa matumizi! Si wazichome kama zimemaliza mda badala ya kulazimisha watu! Wizara imefeli kuhamasisha watu! Chanjo zishamaliza mda wa matumizi hizo sichanji ng'ooo!
Kwahiyo unashauri nini?Kwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala.
Wewe si uchanjetu basiKwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala.
Hebu tuliza pumbu hizo..Inawezekana walipata maambukizi kabla ya chanjo, ujue chanjo haitibu ila inakupunguzia kiwango cha kuugua.
Kwani kuna aliyekataa kuwa hakuna waliokufa baada ya kuchanja lakini ni asilimia ngapi kulinganisha na waliochanjwa?ni suala la muda tu lakini hii chanjo itakuwa lazima tu.Inasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Umechambua vizuri sana. Congratulation.Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Never ever hii kuwa lazimaKwani kuna aliyekataa kuwa hakuna waliokufa baada ya kuchanja lakini ni asilimia ngapi kulinganisha na waliochanjwa?ni suala la muda tu lakini hii chanjo itakuwa lazima tu.
Hans poppeInasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Hiyo ndiyo akili yenyewe ,,,,kama wanakufa ni ushahidi kuwa chanjo ni kanyanga mama ache ujinga ujinga na michanjo fekiSwali la kujiuliza, madaktari wao wamechanjwa, sasa kama wamechanjwa wanakufaje wakati wamechanjwa na tuliambiwa ukichwanjwa haufi hata ukiugua na wala haulazwi?
Na kama hawajachanja, ina maana na wao hawaamini chanjo hiyo wanayotusisitiza sisi tuchanjwe?
Mbona hatulazimishani kwenda kutibiwa tukiugua, chanjo bure na bado tulazimishane, mbona matibabu mengine hatulazimishani?
Madaktari wanapoamua kutoa ushauri ulio kinyume na ethics/ maadili ya udaktari ujue kilichopo nyuma ya ushauri huu ni rushwa au shinikizo toka ngazi za juu na si vinginevyo!! Kwa mujibu wa maadili ya udaktari mgonjwa hapaswi kulazimishwa kutumia dawa yoyote au tiba yoyote au procedure yoyote kwa lazima!! Kwa vyovyote vile nasita kuamini kama huu ni ushauri wao kweli au wamemezeshwa maneno!! Watanzania tuna akili!!Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Tatizo kubwa ya elimu yetu ya kitaaluma sisi Waafrika, kutoka ile ya awali ya msingi mpaka kufikia kiwango cha udaktari wa falsafa inategemea madesa ya Wazungu. Hawa wataalamu wetu wanapotoa ushauri wao hawana rejea zozote za maana zenye kujikita katika mazingira ya "local context" isipokuwa kuhalalisha hoja zao kutoka katika "body of knowledge" na kisha kujengea hoja.Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Madaktari wanapoamua kutoa ushauri ulio kinyume na ethics/ maadili ya udaktari ujue kilichopo nyuma ya ushauri huu ni rushwa au shinikizo toka ngazi za juu na si vinginevyo!! Kwa mujibu wa maadili ya udaktari mgonjwa hapaswi kulazimishwa kutumia dawa yoyote au tiba yoyote au procedure yoyote kwa lazima!! Kwa vyovyote vile nasita kuamini kama huu ni ushauri wao kweli au wamemezeshwa maneno!! Watanzania tuna akili!!Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
| Australia | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Belgium | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Brazil | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Bulgaria | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Canada | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| China (People's Republic of) | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Cuba | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Denmark | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| France | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Germany | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| India | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Indonesia | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Islamic Republic of Iran | Not producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Italy | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Japan | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Mexico | Not producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Netherlands | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Republic of Korea | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Russian Federation | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Serbia | Not producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Sweden | Producing WHO prequalified vaccine(s) |
| Switzerland |
Tatizo mkwanja wale wao halafu wawashinikize wengine kuchanja!!Kac
Kachanje wacha kiherehere,
Ukishachanja uwezekano wa kufa ni mdogo kwa corona.
Kama marekani watu walipewa dola mia kwani hapa wameshindwa kupat pesa ya msaada ya kuwapa watu hata elfu 20 tu? Wakachanje kwa hiali?