Tetesi: Madaktari walio Internship Kutolipwa Posho kuanzia Mwaka Huu

Tetesi: Madaktari walio Internship Kutolipwa Posho kuanzia Mwaka Huu

Ficha upumbavu wako,yani mtu asome miaka mi5 bado umpangie sehem ya kufanya kazi? Tumia akil yako kufikiri.
Hapo ndiyo nimetumia akili yangu na nimeuficha kkwelikweli upumbavu wangu. Tuna uhaba sana was madaktari inabidi waende hadi ngazi za chini hhuko.
Ukiangalia aina ya Nazi wazifanyazo kwenye hizo NGOs mpaka unajiuliza hivi ndiyo hawa wanaolalamika kuwa mahospitalini hakuna vitendea kazi!!
 
Hii taharifa haujawa official.. kila mwaka hua kuna zengwe la kulipana hizi pesa lkn mwisho wa siku wanazitoa tu.. Hostel za ma hospitali haziwez kukidhi idadi ya interns..

Wana sema hiyo pesa haina kodi...interns wanalipwa 80% ya mshahara kamili.. Hizo 20% zina enda wapi??

Mtazamo: lengo la serikali ni kuongeza kipato yaan makusanyo ya serikali.. Naona wana lengo la kutaka kusema hiyo hela iwe kama mkopo baadae uilipe au wapunguze kias cha posho ya kulipwa ma interns.. Kumbuka saiv idadi ya interns ni kubwa hadi inafikia hatua ya kuingia internship kwa hawamu..
 
Kuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.

Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!
Nilikuwa na mpango wa kurudi ili kusaidia kupiga hatua katika sekta ya afya....kwa yanayoendelea nimekatishwa sana tamaa, wacha tuendelee kupambana katika nchi za watu.
 
Nimeona hii tena ila sina uhakika nayo sana
1468439891470.jpg
 
Hongera mkuu wa Kaya kwa maamuzi sahihi,hawa madaktari wanafunzi wanapewa fedha zisizo na idadi na wanazifuja kwa wanawake na starehe zisizo na tija kwa taifa
Unajua kazi wanazo fanya lakn! au umejikuta umeropoka tu?
 
Ati watapewa nyumba Mbona nyumba ziliuzwa kitambo? Labda watalala wodini au vyumba vya wagonjwa gredi one
 
Mimi siamini kama anajua kuwa Kuna Mkurugenzi kateuliwa akiwa amefukuzwa chuo cha TIA kwa sababu ya uzembe na kukosa maadili. Huyo Bwana aligombea ubunge Kwa Kangi Lugora na amepangiwa kuwa mkurugenzi Wa Wilaya ya Hai.
Pia kuna wakurugenzi wa zamani ambao wamebakizwa ambao utendaji wao ni wa mashaka kuliko hata baadhi ya walioachwa.
Mkurugenzi wa hai hakusoma TIA, huyu aligombea kwa Lazaro Nyalandu....rejea vizuri mkuu unakopi wrong!
 
Back
Top Bottom