Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo usawa unaoongelea haupo.. Mbona haujalalamika utofauti wa ufaulu wa hao madaktari na walimu ili wadahiriwe kwenye hizo degree.. Fikiria kabla ya kuandikaKwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.
Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
What's wrong with that...so long as an accommodation and meal are of standard order I second the government move!
Hii ni taarifa ngumu kwa jamii ya Tanzania wengi wana kumbuka maafa yanayotokana na madai ya stahiki za hawa jamaa!
Labda mtoa mada ulete source ya habari hii tusije kutokwa na povu la mdomo kumbe ni tetesi tu!
KodiKuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.
Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!
HahahaahahahaaaaaaaNimetukana kimoyomoyo, ungese huu
Umenikumbusha muvi ya Samson na delila jamaa alikuwa anakusanya kodi hadi sadakaKuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.
Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!
Unajifanya umewasahau wakinga auKuna kabila ni maarufu kwa ubahiri. Mtu hulala na njaa ukimsachi ana fedha kibao. Unabana matumizi ili hizo hela ufanyie nn. Mie nilidhani matumizi yenyewe ndio hayo
Nacheka mkuu. Afu baadae tunashushuliwa na rais!Wekeni chanzo cha taarifa basi. tusikurupuke kama tulivyokurupuka kwa kuambiwa kua mfanyakazi wa hotel sinza kateuliwa DED
Bora wewe. No nasoma, namaliza, nafuta, naanza upya kusoma.Dahhhhh.....Namba tunaendelea kuzisoma kwa kasi isiyo ya kawaida