Tetesi: Madaktari walio Internship Kutolipwa Posho kuanzia Mwaka Huu

Tetesi: Madaktari walio Internship Kutolipwa Posho kuanzia Mwaka Huu

What's wrong with that...so long as an accommodation and meal are of standard order I second the government move!
Kwanini walikuwa wanapewa boom walipokuwa Muhas il-hali kulikuwa na hostels? Mahitaji ya mtu mzima si accomodation na chakula tu. Madaktari interns wa kike hospitali zitakuwa zinawapa pedi na pesa za kusuka nywele?
 
Wengine wanasema eti 'entertainment ' ....!

Watanzania tuanze kuamini katika kujitegemea...kujitegemea hakuwezi kuja kirahisi. Lazima tubane matumizi...na ukiona unaumia kwa kubana matumizi ujue wewe ni mtu muhimu katika nchi hii maana unaitengeneza Tanzania ya kwako, ya watoto wako na vizazi vijavyo ambayo itakuwa inajitegemea kiuchumi na kijamii. Hatutahitaji tena misaada yenye masharti ya kutudhalilisha na kututaka tufanye ushetani.

Watanzania tumuunge mkono rais kwa kila hatua anayoifanya kuelekea kutengeneza Tanzania imara, inayojitegemea kiuchumi na kijamii. Tunaweza tusikatishwe tamaa.
mkuu hatuna sheria za kulinda haya, leo hii tuna sacrifice anakuja mwengine kesho anaanza mengine upya.
 
Interns Dr Plays a big role in medical services delivery,,,,,,the govt must reverse its decision for the benefit of the citizens particulary patients
 
5yrs, then wali maharage and hostel/ward chakavu stay, only in tz, serikali inatakiwa ikumbuke moja ya matumizi ya pesa wanayokusanya ni kulipa posho ya interns drs, kukwepa hili ni kuua professional ya dr
 
Kuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.

Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!

Mwaka huu wanajilipia,maana waliambiwa serikali haina pesa mwenye kutaka kwenda Internship ajilipie.Wengi wanajilipia kwa kulipiwa na wazazi wao.
 
Wengine wanasema eti 'entertainment ' ....!

Watanzania tuanze kuamini katika kujitegemea...kujitegemea hakuwezi kuja kirahisi. Lazima tubane matumizi...na ukiona unaumia kwa kubana matumizi ujue wewe ni mtu muhimu katika nchi hii maana unaitengeneza Tanzania ya kwako, ya watoto wako na vizazi vijavyo ambayo itakuwa inajitegemea kiuchumi na kijamii. Hatutahitaji tena misaada yenye masharti ya kutudhalilisha na kututaka tufanye ushetani.

Watanzania tumuunge mkono rais kwa kila hatua anayoifanya kuelekea kutengeneza Tanzania imara, inayojitegemea kiuchumi na kijamii. Tunaweza tusikatishwe tamaa.
Sikujua km kujitegemea ni kuwaumiza watu wa hali ya chini kwa kuwanyima mahitaj yao ya msingi huku wengine wakiendelea kuogelea kweny ukwasi. Wakuu wa wilaya wamekuw retained licha ya kuonekan ni vyeo visivyo na umuhim mkubwa kwa maendeleo ya nchi. Wanatembelea ma vx v8 kwa kodi hiyo hiyo tunayosema tunataka kubana matumizi. Unataka kumnyang'anya intern anayefanya kazi kama punda kile kidogo anachokipata kwa kisingizio cha kubana matumizi ili kumtengenezea msongo wa mawazo anyway nyinyi na familia zenu mkiugua hamtibiwi hospital za umma ndio maana unaongea ukitawaliwa na wivu.
 
Kwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.

Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
 
Hili Jambo kama ni kweli basi hii serikali inawabidi wajiulize tena, huyo raia wa kawaida wanayempigania awe na maisha mazuri ni nani, kama sio huyu daktari anayetoka chuo na kufanya mafunzo ya vitendo...
Maisha ya intern ni sehem ngumu sanA mtu anafanya kazi hata muda wa kupumzika inakuwa shida.. Sio kila mtu ni jipu nchi hii ,huu utamaduni sioni maana yake kabisa.. Maana maisha yanakuwa mgumu kila siku na kazi ya kuuza magazeti inanawili
 
Kuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.

Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!
WACHA ZIENDELEE KUWA TETESI TU
 
Kwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.

Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
Acha kufkiria kwa makalio wewe tumia kichwa, tunaongelea intern hapa hatujaongelea field, kwani ulisikia daktari analipwa mshahara akiwa field.? kwanza kumbuka intern doctor sio mwanafunzi ni mhitimu wa chuo mwenye cheti chake kabisa

Kwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.

Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
 
Kwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.

Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
Kwani nani aliyekukataza kusoma udaktari? Kwa taarifa yako ukienda hospitali kubwa kama Muhimbili au Bugando daktari wako ni intern ambapo kama wewe hujui chochote kuhusu medicine huwezi jua kama ni intern doctor. Kinacho kusumbua wewe ni wivu tu. Ushindwe na ulegee
 
What's wrong with that...so long as an accommodation and meal are of standard order I second the government move!
Acha ujinga wewe ndorobo.hivi huyu intern doc anayefanyia mafunzo mbeya wakati yeye ni wa kigoma akimaliza mafunzo arudije kwao???akiugua na si madawa yote yanapatikana hosp za serikali nani atanunua hzo dawa,na pesa ya vocha ya kuwasiliana na seniors wake pindi ahitajipo msaada wa kiutendaji nani ampe acha kutumia kiuno kufikiria kaka
 
Ticket ya vijana kukimbilia Namibia na Botswana hiyo,ngoja nianzishe kampuni ya ku clear and forward madaktari wa TZ
 
Kwani walimu wanafunzi wakiwa field huwa wanalipwa 80% ya mshahara? If no why to doctors? Ifike mahala pasitokee watu kujifanya wao ni peculiar kuliko wengine.

Posho zote Magufuli afute hata za Maaskari kuondoa matabaka na minong'ono kwa watumishi wengine wa umma,
Field za walimu ni tofauti internship, hiyo field ni sehemu ya masomo ya chuo na hata wanafunzi wa udaktari wanazo, internship ni nje ya madomo ya chuo na wanakuwa governed na wizara sio chuo tena.
 
Kama ni kweli I pray "God do ur miracles this dude tortures ur servants without without mercy show him ur the only one who decides what living creatures have to live by each word from ur mouth but not his head"- amen![emoji120]
 
povu la nini idara nyingine wakiwa field wanalipwa?? tena bora mmepewa chakula na malazi
 
Back
Top Bottom