Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Hongera mkuu wa Kaya kwa maamuzi sahihi,hawa madaktari wanafunzi wanapewa fedha zisizo na idadi na wanazifuja kwa wanawake na starehe zisizo na tija kwa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mburura Wewe unafikiri kusoma medicine ni kama kusoma human resource , lazima serikali iweke motivation watu wasome hizo kozi nakuhakikishia watu watasoma na madegree yao watakaa na vyeti Gheto alaff watafte ajira mbadalaHongera mkuu wa Kaya kwa maamuzi sahihi,hawa madaktari wanafunzi wanapewa fedha zisizo na idadi na wanazifuja kwa wanawake na starehe zisizo na tija kwa taifa
Napendekeza Rais ateuwe wakinga kwenye wizara ya fedha.Kuna kabila ni maarufu kwa ubahiri. Mtu hulala na njaa ukimsachi ana fedha kibao. Unabana matumizi ili hizo hela ufanyie nn. Mie nilidhani matumizi yenyewe ndio hayo
Wengine wanasema eti 'entertainment ' ....!Mahitaji ni chakula na mahali pa kulala?
Rais amesema anachagua watu kumsaidia kutengeneza Tanzania anayoitaka yeye .......... probably haitakuwa ile tunayoitaka sisi!! Kwa hiyo pale unapofikiri amekosea inawezekama kabisa hakukosea!!Mimi siamini kama anajua kuwa Kuna Mkurugenzi kateuliwa akiwa amefukuzwa chuo cha TIA kwa sababu ya uzembe na kukosa maadili. Huyo Bwana aligombea ubunge Kwa Kangi Lugora na amepangiwa kuwa mkurugenzi Wa Wilaya ya Hai.
Pia kuna wakurugenzi wa zamani ambao wamebakizwa ambao utendaji wao ni wa mashaka kuliko hata baadhi ya walioachwa.
Labda wataalisha chakula cha wagonjwa...au watawaruhusu wawe wanaomba CCDSijaelewa,watakuwa wanapikiwa au? Kwa hiyo wao watakula chakula cha Hospitalini. Hahahhaa!
Kwani hizo posho zilikuwa za kazi gani kama siyo kwa ajili ya chakula na gharama zingine zikiwepo kulipia kodi kwa kipindi wawapo internship?
Lazima mtu anywe uji wa mgonjwa hapo...
watanzania wana miliki viwanda vya kutengeneza uongo- JkKuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.
Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!
Ikitokea amenyimwa kibali atapangiwa hospital au kituo cha afya kwa kadili ya mapengo yaliyopo au ataendelea kubaki alipo.Demand ya mamedical personels mtaani ni kubwa sasa huo utaratibu wa kupitia kwa katibu mkuu huoni utachelewesha watu kuanza kazi na vp mtu akinyimwa hivyo vibali?
MUNGU AFANYE WEPESI TUEPUKANE NA UTAWALA HUU INSHAALLAH.Hao madaktari hawana nyumba,labda waseme interns watakaa kwenye ward za wagonjwa.
Hao madakitari watapata wapi dawa ya mswaki, sabuni na usafiri wa dart?Kuna tetesi kuwa serikali imekusudia kufuta posho za madaktari wa mazoezi (Interns) kuanzia madaktari wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu. Katika utaratibu huo mpya madaktari wa mazoezi watapewa nyumba na chakula katika hospitali watakazoenda kufanyia kazi (Internship) lakini hawatakua na posho yoyote ya kujikimu.
Taarifa kutoka chanzo ndani ya serikali inasema lengo ni kubana matumizi, na kuokoa fedha nyingi ambazo zimekuwa zikitumika kuwalipa madaktari hao, ambazo hazilipiwi kodi.!