babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
nadhani kutakuwa na tatizo kubwa katiko kitengo cha kumshauri rais,anguko linalotunyemelea silipatii picha na wanako elekea ipo siku wataropoka wanataka kuondoa hela ya ya chakula ya askari na hapo ndo watakapo jiroga.