Alafu leo wakina babalevel mwijakWazee wengi wana asili ya uchawi, hawataki kada zao ziwe na watu wengi ili waendelee kujiona special. Kada zinazoumia zaidi kwa wazee wachawi ni hizi
1.) Architecture (kada yangu) - Miaka mitano degree
2.) Udaktari - Miaka mitano degree
3.) Sheria - Miaka mitano hadi Law school
Mna hoja msikilizwe, watu wakiwa na leseni ni rahisi hata kutafuta maali per kujiegesha, mtu amesoma miaka mitano jumlisha mwaka mmoja wa mazoezi kwa vitendo ,why akose leseni ,uhuniMheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Sifa stahiki za mtu kuwa Daktari ni.Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Mwisho:Sifa stahiki za mtu kuwa Daktari ni.
1. Ni kufaulu ngazi zote za elimu kuanzia Primary, O lever, A Lever na chuo. Hapo niliapishwa kuwa daktari. Pia ili Daktari aweze kutibu anatakiwa afauku vizuri internship, mazoezi kwa vitenda kwa kila idara atakayo pita katika hospital ya rufaa yenye kutoa ujuzi huo kutoka kwa madaktari bingwa wa kila idara. Daktari asipo weze kufaulu katika idara basi analazimia kurudia mafunzo hayo mpaka pale atakapo fahamu kutibu. Daktari baada ya kumaliza mafunzo kwa vitenda anatunukiwa cheti na kutoka kwa madaktari bingwa hivyo madaktari bingwa ndio wanaomthibitisha Daktari kuwa amakuwa na sifa za kutibu na wakati wote aliokuwa hospitali alikuwa akitibu.
2. Mimi ni Daktari kwa sababu sijafeli chuo wala internship ambako nilitoa huduma ya kutibu wagonjwa wengi na kupata cheti kizuri kutoka kwa madaktari bingwa.
3. Mimi ni Daktari bora kwa sababu ya ufanisi wangu katika kazi, kwa sababu ya kuokoa maisha ya watu waliokuwa katika maradhi na sina historia yeyote mbaya iliyopelekea mgonjwa hata mmoja afe kwa sababu ya uzembe au kutokujua kutibu.
4. Mimi ni Daktari bora, MCT ni Baraza lenye kuhujumu madaktari kupitia mtihani wake wa maswali 200 usio na uwazi na usiojulikana marks sahihi za mtu kufaulu mtihani wao.
Hao wasipoteze muda, wawahi nafasi za masomo VETA.Tusilete huruma, siasa, mzaha kwenye afya za watu.
Sheria ifuatwe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Sio swala la huruma, Kuna hujuma madaktari wanahujumiwaTusilete huruma, siasa, mzaha kwenye afya za watu.
Sheria ifuatwe
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwanini hao wengine wamefaulu nyie mmefeli?Sio swala la huruma, Kuna hujuma madaktari wanahujumiwa
Na Hawa Madaktari ndio wanaofanya kazi kubwa Sana ma hospitalini.Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Hawa ni pashe nao sijui niseme nini? Unaandikaje habari kama hii bila kumuuliza Dr Mlopokaji huo uwezo mdogo wa darasani ni katika darasa lipi? Madaktari siku hizi ni waalimu? Je Madaktari ni wanafunzi? Siku hizi mgonjwa anapona kwa notice za darasani au? Je hawa madaktari walipokuwa wakitibu katika mahospitali ya rufaa ni mgonjwa yupi aliekufa wa kutokujua kwao kutibu? Kuna kesi mahakamani? Je mbona madaktari bingwa zaidi ya 50 wamemthibitisha Daktari mmoja mmoja katika hospitali zao kuwa anaweza kutibu na anafaa kufanya kazi ya kutibu na cheti wakapewa cha ufaulu wa A? Dr Mzava wewe ni zaidi ya madaktari bingwa 50 au zaidi ya 50 waliomthibitisha Daktari kuwa mtu mwenye uwezo wa kutibu?
Hujui unachosema, tafuta Daktari hata mmoja muathirika wa hujuma hizi akueleze.MCT washikilie hapohapo.wakikubali kuingiza siasa tutakuwa na madaktari wa mchongo kama wanasheria wamchongo waliopo serikalini wanaotetea mkataba wa kihuni kati ya Tanganyika na dp world.
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Madaktari hawalalamiki eti waifanye mtihani, hakuna Daktari anaeuogopa huoa mtihani, Daktari ameishi chuoni miaka miatano akifanya mitihani hawezi kuogopa mtihani na daktari hapingi uwepo wa mtihani. Elewa hivi tafadhari, elewa Ili ulisaidie taifa. 1. Mtihani wa MCT hauzingatii nyakati au muda, mtu unamaliza internship mwezi wa 3 harau unakaa nyumbani ukifanua ujasiriamali wa kuuza move, dagaa, mihogo na nk huku ukisubiri mtihani mwezi wa kwanza mwakani, Je huo mtihani ukija utajibu mihogo au dagaa. Nchi nyingine ukianza na Uganda,Kenya hizi za jirani ukimaliza pale pale mtu unafanya mtihani. Sasa wewe unakaa miezi zaidi ya 9 unatafuta riziki harafu unaletewa mtihani Ili hali walifanya makusudi kuiua taaluma Yako ukiwa unatafuta kula na kulipa vikoba utaweza vipi kufaulu? Hoja za Madaktari mtihani utolewe kwa wakati, Tena utolewa kabla mtu hajakuwaa dakatari, utolewe baada tu ya kumaliza chuo na utolewe kwa muundo wa vyuo sio huo wa bahati nasibu. Aisee ninataka nikueleze mengi hapa. Ngoja nikueleze. Hivi unajua mtihani wa leseni wa hapa tz ni sawa na mtu amalize la 7 harafu aende form 1 na akimaliza form 1 ndio arudi afanye mtihani wa taifa wa la 7? Umalize form 4, uende 5 na kabla hujaingia 6 urudi ufanye mtihani wa taifa wa form 4 wewe utafaulu? Hivi kwa mtazamo wako mtu kufaulu mtihani wa multiple choice wa maswali 200 ndani ya masaa 3 au 6 hicho ndio kigezo cha daktari akutibu wewe? Utakufa, tusadie kupaza sauti Ili serikali ifanye mageuzi MCTKwani hayo maswali 200 yanatoka nje ya medicine? Nchi nyingi duniani madaktari wanafanya pepa za leseni, acheni kulalamika
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizo nchi unazoziongelea na sisi hapa tz, hapa kuna hila katika mtihani. Kuna mambo hata sio ya kundika hapa, intern mtu anafanya kazi masaa 20 kwa siku, sijui kama unalijua hili. Harafu akiwa anakomaa kuokoa maisha ya ndugu zako na ya watanzania kwa mwaka mzima kwa kupractice, pasipo hata kuwa na muda wa kujisomea kwa mwaka mzima ila kutibu, ukimaliza internship tu unaletewa mtihani wa theory Ili hali wewe ulikuwa ukifanya practicol na hukuwa na muda wa kujisomea, unalazimishwa ufanye mtihani kwa kile ambacho hukuwa unajisomea, Sasa waeleze madaktari katika uwanja huu Je wakiwa hospitali wajikite kujisomea Ili wafaulu huo mtihani na wagonjwa wafe au wajikite kutibu ili kuokoa roho za watu? Nikueleze tu sifa za Daktari ni kutibu sio kufaulu kijipepa, ubora wa Daktari unapatika kwa kushirikiana na madaktari kukutana na wagonjwa, ukweli ni kwamba ukikutana na mtu kafaulu mtihani wa MCT baada tu ya intern basi ujue huyo hakujitia ipasavyo wakati wa internship na hakuwa busy sana kutafuta kujifunza na kujua mambo ya Clinical/Plactice. Mtu ukijituma kupractice ambako ndiko kunamfanya Daktari awe Bora hawezi kutoka internship na akafaulu mtihani labda kama alipata muda wa kujisomea au baada ya kumaliza alikuwa na miezi miwili ya kujiandaa na mtihani. Tatizo TZ mtihani ukitoka unalazimika ukajaribu bahati Yako kwenye multiples choice maana usipofanya hivyo unaweza ukaa miezi kumi ukiuza bamia ukiwa unasubiri mtihani, mtihani ukija tayari unahasara za bamia na madeni ya vikoba. MCT utatibu wa mtihani wao ni kuhujumu taaluma ya udaktari tadhari tuelewe mtusadie kumfikishia ujumbe WETU Rais wetuMadaktari hawalalamiki eti waifanye mtihani, hakuna Daktari anaeuogopa huoa mtihani, Daktari ameishi chuoni miaka miatano akifanya mitihani hawezi kuogopa mtihani na daktari hapingi uwepo wa mtihani. Elewa hivi tafadhari, elewa Ili ulisaidie taifa. 1. Mtihani wa MCT hauzingatii nyakati au muda, mtu unamaliza internship mwezi wa 3 harau unakaa nyumbani ukifanua ujasiriamali wa kuuza move, dagaa, mihogo na nk huku ukisubiri mtihani mwezi wa kwanza mwakani, Je huo mtihani ukija utajibu mihogo au dagaa. Nchi nyingine ukianza na Uganda,Kenya hizi za jirani ukimaliza pale pale mtu unafanya mtihani. Sasa wewe unakaa miezi zaidi ya 9 unatafuta riziki harafu unaletewa mtihani Ili hali walifanya makusudi kuiua taaluma Yako ukiwa unatafuta kula na kulipa vikoba utaweza vipi kufaulu? Hoja za Madaktari mtihani utolewe kwa wakati, Tena utolewa kabla mtu hajakuwaa dakatari, utolewe baada tu ya kumaliza chuo na utolewe kwa muundo wa vyuo sio huo wa bahati nasibu. Aisee ninataka nikueleze mengi hapa. Ngoja nikueleze. Hivi unajua mtihani wa leseni wa hapa tz ni sawa na mtu amalize la 7 harafu aende form 1 na akimaliza form 1 ndio arudi afanye mtihani wa taifa wa la 7? Umalize form 4, uende 5 na kabla hujaingia 6 urudi ufanye mtihani wa taifa wa form 4 wewe utafaulu? Hivi kwa mtazamo wako mtu kufaulu mtihani wa multiple choice wa maswali 200 ndani ya masaa 3 au 6 hicho ndio kigezo cha daktari akutibu wewe? Utakufa, tusadie kupaza sauti Ili serikali ifanye mageuzi MCT
Hakuna anaetaka mtihani ufutwe, mtihani uendelee kuwepo lakini uwepo kwa wakati sahihi, mwanafunzi kabla hajawa Daktari apatiwe mtihani huo baada tu ya kamaliza chuo. Apewe mtihani na akifauku ndio aapishwe kuwa daktari hii itafanya wanafunzi wahakikishe wanajiandaa vizuri kuwa madaktari. Na mtu akiwa amesomea nje ya nchi basi Ili aweze kufanya internship ni mpaka awe amefanya mtihani utakaompa sifa ya kuwa daktari kwa kufaulu na kuapa.Kwanza poleni kwa chanhamoto.
Pili siungi mkono kwenye wazo lako la kufuta huo mtihani kabisa kama ulivyodai , maana ninavyofahamu medical student yoyote ni lifelong learner ndio maana kunakuwepo na CPD.
Ushauri wangu ni uwepo utaratibu mzuri kuanzia setters , moderators , markers , final verifiers kila ngazi wawepo watu tofauti mtu asijirudie kwa huo mtihani kuondoa hizo rafu ambazo kweli zinaweza kuwa za kibinadamu au kwa makusudi.
Mitihani iko kwa kada zote za medical duniani wakishindwa waje wajifunze kwa wenzetu huku wa USMLE ambao una step 1 hadi 3 ambayo iko vizuri na ukipass umepass kweli na inafanyika online katika centers zinazotambulika.
SI Madaktari kuwa na viwango hafifu katika utoaji tiba, jamani Daktari hawezi kumtibu mgonjwa pasipo kujua amsaidie vipi, kama Kuna changamoto kwa Daktari juu ya kutibu Daktari huyo huwaarifi madaktari wengine Ili kupata ilimu kupitia kwa na hivyo madaktari bingwa ndio wanao shirikishwa, ni vyema muelewe huyo Daktari bingwa huo ubingwa wake haujapimwa na mtihani wa hujuma. Dakati hawezi mtibu mtu Ili amuue Daktari anatibu Ili kuokoa maisha ya mgonjwa na kama changamoto ya mgonjwa haijui hushirikisha wengine.Swali chonganishi: Ni nini hasa kilichoisukuma wizara au MCT kuanzisha mtihani huo? Kuna kitu walikihisi kuwa hakipo sawa katka fani hiyo?
Maana Magu alivifungia vyuo vingi ikiwa ni pamoja baadhi vya Udaktari kwa kuwa na viwango hafifu. Pengine Mama hataki kuvifungia ila mkajipime wenyewe kabla ya kuingia kazini.
Swali la pili chonganishi: Kati ya hao waliofeli MUHAS ni wangapi?
Pakua hiziMheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Hao waliofaulu pepa walikuwa wanakaa 8hrs hospital? Pepa za leseni nmepitia vzr most of questions ni vile vitu unavyopractice ukiwa internship.Kuna tofauti kubwa sana kati ya hizo nchi unazoziongelea na sisi hapa tz, hapa kuna hila katika mtihani. Kuna mambo hata sio ya kundika hapa, intern mtu anafanya kazi masaa 20 kwa siku, sijui kama unalijua hili. Harafu akiwa anakomaa kuokoa maisha ya ndugu zako na ya watanzania kwa mwaka mzima kwa kupractice, pasipo hata kuwa na muda wa kujisomea kwa mwaka mzima ila kutibu, ukimaliza internship tu unaletewa mtihani wa theory Ili hali wewe ulikuwa ukifanya practicol na hukuwa na muda wa kujisomea, unalazimishwa ufanye mtihani kwa kile ambacho hukuwa unajisomea, Sasa waeleze madaktari katika uwanja huu Je wakiwa hospitali wajikite kujisomea Ili wafaulu huo mtihani na wagonjwa wafe au wajikite kutibu ili kuokoa roho za watu? Nikueleze tu sifa za Daktari ni kutibu sio kufaulu kijipepa, ubora wa Daktari unapatika kwa kushirikiana na madaktari kukutana na wagonjwa, ukweli ni kwamba ukikutana na mtu kafaulu mtihani wa MCT baada tu ya intern basi ujue huyo hakujitia ipasavyo wakati wa internship na hakuwa busy sana kutafuta kujifunza na kujua mambo ya Clinical/Plactice. Mtu ukijituma kupractice ambako ndiko kunamfanya Daktari awe Bora hawezi kutoka internship na akafaulu mtihani labda kama alipata muda wa kujisomea au baada ya kumaliza alikuwa na miezi miwili ya kujiandaa na mtihani. Tatizo TZ mtihani ukitoka unalazimika ukajaribu bahati Yako kwenye multiples choice maana usipofanya hivyo unaweza ukaa miezi kumi ukiuza bamia ukiwa unasubiri mtihani, mtihani ukija tayari unahasara za bamia na madeni ya vikoba. MCT utatibu wa mtihani wao ni kuhujumu taaluma ya udaktari tadhari tuelewe mtusadie kumfikishia ujumbe WETU Rais wetu
Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.
Mkarudie mitihani na msome ,kama wanafaulu 300 kwenye 600 nawashauri wakaze zaidi hiyo idadi ni kubwa ,Law school wanafaulu 30,Afya zetu ni muhimu wakaze kweli kweli.Mheshimiwa Rais,
Amani iwe nawe daima.
Mheshimiwa Rais, Awali ya yote tunakupa pole kwa kazi zako za kila siku za kuhudumia Watanzania, huku tukiamini Mwenyezi Mungu anaendelea kukujalia afya tele na tunatambua pia una majukumu mengi kwa ajili ya ustawi wa Taifa letu.
Mheshimiwa Rais, hii ni sauti ya Umoja wa Madaktari wahitimu watarajali ambao tunaleta kwako waraka huu kwa lengo la kukufikishia ujumbe kutokana na vikwazo vinavyotukabili ambavyo vimetufanya kugeuka ombaomba mtaani licha kwamba sisi ni wasomi madaktari ambao tumeshindwa kujiajiri, kuajirika kutokana na kizingiti kinachoitwa leseni.
Mheshimiwa Rais, tumeamua kuleta waraka huu kwako baada ya juhudi zetu za kupeleka changamoto zetu na hata kuonana na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Afya kugonga mwamba.
Mheshimiwa Rais, Tumekuwa kwenye mazoezi ya vitendo (internship) katika hospitali kubwa za rufaa nchini, huko kazi zote na za aina zote tumekuwa tukizifanya sisi na kusimamiwa na madaktari bingwa nchini.Huko tumeokoa maisha ya Watanzania wenzetu wengi, tumejipatia umahiri wa kuhudumia wagonjwa kwa uwezo wa elimu tuliyonayo.
Mheshimiwa Rais, Sisi madaktari wa utarajali tunashangazwa na kuumizwa na utaratibu wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) pamoja na Wizara ya Afya, kwa kadhia kubwa wanayotusababishia.
Sisi madaktari watarajali tunaamini Serikali ilikuwa na nia njema ilipoamua kutunga Sheria No.11 ya Mwaka 2017 ambayo ilipitishwa na Bunge letu Tukufu ikitaka kila Mhitimu wa fani ya Udaktari sharti apewe leseni baada ya kufanya mtihani wa MCT.
Mbali na nia hiyo njema ya Serikali, bahati mbaya chombo hiki hakijaweza kujua kifanye kazi ipi na kwa wakati upi ili kiweze kulisaidia taifa lipate madaktari bora na sio bora madaktari.
Mheshimiwa Rais, hatuipingi sheria hiyo isipokuwa utaratibu au kanuni zinazotumika, hususan kuanzishwa kwa mtihani wa ‘pre na post internship. Baraza hili (MCT) limekuwa likiendesha mitihani hiyo kwa hasara, uonevu, ukatili na hujuma kwa madaktari watarajali.
Ikumbukwe kwamba sisi madaktari Watarajali hatupingi kuwapo kwa mitihani hiyo ikizingatiwa tumemaliza vyuo pamoja na kufanya mazoezi kwa vitendo (internship) na kupata ufaulu usiotiliwa shaka.
Tunachokipinga na ambacho kimetufanya kuandika waraka huu kwako Mheshimwa Rais ni haya yafuatayo:
1. Mtihani wa baada ya utarajali (post internship) uliofanyika 22/03/2023 kumekuwa na massive failure kiasi ambacho hadi imesababisha Baraza kutokutoa takwim za waliofeli na waliofaulu ingawa mpaka sasa tupo madaktari zaidi ya 300 ambao matokeo hayakutoka vizuri hivyo kushindwa kupatiwa leseni, hivyo tunaomba mtihani huu usahihishwe upya na matokeo yafanyiwe standardization, na usahihishwe na wasimamizi wa nje ya MCT (external examiners) ili kuondoa hii massive failure kama ilivyotokea matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 mitihani ilisahihishwa upya na ufaulu ukapatikana
2. MCT kutokuzingatia uhalisia wa namna ya kumpata daktari bora
3. MCT kutumia mtihani kwa lengo la kuondosha changamoto za ulevi uliopitiliza kwa baadhi ya madaktari, kuchelewa kazini au kutokufika kazini pamoja na uzembe kazini
4.MCT kutokuzingatia muda wa daktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kwenda kufanya kazi ili kulihudumia taifa.
5. MCT kutokuzingatia namna sahihi ya kumpima daktari kulingana na huduma zinazotolewa katika hospitali tunazofanyia internship
6. MCT kutokujali na kuheshimu muda jambo linalopelekea daktari kutaka hatari ya kupoteza taaluma yake kwa kusubiri mtihani kwa muda mrefu wakati mwingine kwa miezi takribani 10.
7. MCT kutokuwa wawazi juu ya alama (marks) za ufaulu na uendeshaji mzima wa mtihani na matokeo utakaomfanya mtu ajue amefeli idara ipi hata baada ya kukata rufaa.
8. MCT kutokuheshimu na kuzingatia muda tunaopaswa kumaliza taaluma ya udaktari.
Ushauri na mapendekezo yetu.
1. Yafanyike marekebishio ya sheria ili iweze kuakisi upatiakanaji wa madaktari bora.
2. Wizara ifuatilie mapungufu yaliyopo MCT na itumie dhamana yake kuwawezesha madaktari wapate leseni ili washiriki ujenzi wa taifa lao.
3. Wizara itoe leseni baada ya madaktari kumaliza mazoezi kwa vitendo (internship) na kufaulu vizuri kwa kuzingatia taarifa ya hospitali ambayo daktari amefanya mazoezi kwa vitendo (internship).
4. Tunashauri kusiwepo na mtihani wa leseni, kuwepo na mtihani wa kumpima mwanafunzi kama ana uwezo wa kuwa daktari bora baada ya kumaliza mitihani ya chuo na kabla ya kuapa au kwenda mazoezi kwa vitendo (internship). Hii itapelekea ufaulu mzuri kwa sababu ya mtu kuwa na muda wa kutosha kujiandaa na watakaotakiwa kurudia mtihani warudie kila baada ya miezi miwili katika kituo kimoja ili kuepuka gharama kubwa. Hii itapelekea milango ya hujuma, rushwa, uzalilishaji na uonevu anaoupata daktari wakati wa kusubiri mtihani kutoweka.
5. Mtihani wa kumpima mwanafunzi ili aweze kuwa daktari utungwe kama inavyofanyika vyuoni, mtihami wa kuchagua (multiple choice) wa maswali 100 au 200 pekee hauwezi kuwa kielelezo cha kumpata daktari bora kama ilivyo sasa.
6. Kuwepo na muda rafiki wa kukata rufaa walau kuanzia mwezi mmoja.
7. Kwakuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi wanachama wa Afrika Mashariki (EAC), hivyo tunapendekeza itumie mifumo inayotumiwa pia na nchi wanachama ambapo wahitimu wa udaktari wanapewa mtihani online na kwa muda wowote. Nchi zote wanachama wa EAC zenye utaratibu wa kufanya mitihani ya leseni, mtihani na alama (marks) zake zinajulikana na zipo kwenye website zao isipokuwa Tanzania tu ndiyo alama za ufaulu hazijulikani.
Mheshimiwa Rais, sisi madaktari watarajali tumesoma kuanzia elimu ya msingi hadi vyuo vikuu na kumalizia mwaka mmoja wa mafunzo ya vitendo (internship) na tumefaulu vizuri sana hadi kufikia ngazi ya utabibu, ni nani leo anaweza kusema sisi sio wasomi? Ni nani anayeweza kusema kuwa sisi sio madaktari ili hali tumetibu wagonjwa mwaka mzima na kutunukiwa vyeti vya ufaulu wa alama A ?
Mheshimiwa Rais, ni ukweli kwamba Taifa letu linahitaji madaktari bora, lakini je madaktari bora wanaweza kupatika kupitia maswali 200 ya mtihani wa kuchagua kwa muda wa saa tatu mpaka sita pekee?
Mheshimiwa Rais, kutokana na kadhia ya namna hii huenda Wizara yenye dhamana na afya haiviamini vyuo vyake vilivyopo nchini, hivyo wanaona suluhisho pekee la kupata madaktari bora ni huo mtihani wa saa 3 mpaka sita ambao utaratibu wake umekuwa kikwazo kwa daktari ambaye tayari alikwisha kula kiapo kujiajiri au kuajiriwa katika sekta zote, yaani umma na binafsi.
Mheshimiwa Rais, swali la kujiuliza na lipo kwa Watanzania wengi kama ambavyo walivyoaminishwa na MCT ni hili, Je ni kweli sisi madaktari ni waoga wa mtihani na hatutaki kufanya mtihani wa kujipima wa MCT? Jibu ni hapana!
MCT wanapaswa watoe leseni kwa kila daktari aliyefaulu mazoezi kwa vitendo kwakuwa moja kwa moja ana sifa za kuwa na leseni kwa sababu amekutana na wagonjwa, amewatibu, wamepona na amefanikiwa kuokoa maisha ya watu.
Mheshimiwa Rais, tunasisitiza hatupingi mtihani wa kupata leseni, tunashauri uwepo isipokuwa uende sambamba na mitihani ya kumaliza vyuo na si unaompima daktari baada ya mazoezi kwa vitendo. Utaratibu wa sasa ujulikane ni batili, hivo tunaomba standardization ifanyike na tupatiwe leseni
Mheshimiwa Rais, tunashauri Serikali ipitie upya Sheria ya mitihani ya mwaka 2017 ili kuwepo na utaratibu mzuri usio na malalamiko mengi na kuwepo uwazi wa kutosha.
Aidha tunashauri vyuo vya udakitari viwe chini ya Wizara ya Afya na sio Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) ili waweze kuvisimamia vizuri viweze kutoa wataalam wazuri wa afya.
Tunakushukuru sana.
Kupitia kwako ni matumaini yetu maombi yetu yatapata ufumbuzi wako wewe Rais wetu na Mama yetu mpendwa.