Aisee nimekumbuka!ile video ya hili sakata bado haijakamilika kutengenezwa?hebu ilete jamvini tuwekane sawa!
huyu mara amerekodi mara ataleta mgojwa yani anachanganya!huyu ni wale relatives wanaokuwa na dharau kwa sababu ya vijisenti!anatia kinyaa anapokiri walitoa rushwa for what?anachefua anaposema hakuongea na dr kwa sababu angetengeneza mazingira ya rushwa!ina maana wewe unazo sana au dk ana njaa sana?mara ngapi wagonjwa tunawanunulia dawa chakula na nauli za kurudi kwao?au kwa vile umeamua kuongelea uuaji wetu ambao umetupandikizia?hakuna mwanadamu mkamilifu ila huwa nasema MUNGU anaona yote na ndie hakimu mwaminifu!