Madaktari wengi ni misukule walio hai

A very constructive discussion though katika lugha ngumu sana. Kama una kisukari/presha ukisoma lugha anazotumia mleta mada na ni daktari utakata moto mapema. Though kwa akina sie tunajifunza no mara waah!!!

Diskasheni iendereeee.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe cancer ndo inakua hivi? Sasa kwann wataalamu wasitafute suluhisho la hizo cells kukua hovyo au tofauti na mpangilio unaotakiwa?
Jitihada zimefanyika nyingi ikiwemo Dawa za Chemotherapy na hata Radiotherapy kuua hizo cells maana autoimune na Apoptosis mara nyingi zinakuwa Inhibited kwahyo inabidi External mechanism itumike Kuua hizo cells zilizokwisho kuharibika..
 
ukiumwa uendag hosptal unaenda kwa wich dr? oya pombe so sigara uzi uliandika umekunywa robot za kutosha mayb
 

Una pointi, lakini kabla ya kurusha haya malalamiko sina uhakika kama umefanya ufuatiliaji wowote.

Nakubali kutokufanya vyema kwa sekta ya afya, matatizo ni mtambuka.

Mtaalamu wa afya yoyote, hawezi kutumia utaalamu aliougundua pekee. Bali atatumia na waliyoyagundua wenzie na yakapitishwa kitaalamu kwa kukidhi vigezo.
Si kosa kutumia ugunduzi wa sehemu nyingine kwenye kupata suluhusho la tatizo la msingi katika nyanja yoyote.

Kuhusu utafiti wa dawa au vifaa tiba:

1: Hii ni kazi ya msingi ya Taasisi za tafiti. Hata kama wazo likipatikana kwenye utendaji kazi wa mtaalamu wa afya, wazo husika hutakiwa kusajiriwa kwenye tasisi husika na kuendelezwa chini ya usimamizi mahsusi. Kuna ngazi ikifikiwa ndo kilichovumbuliwa huweza kuja kwenye viwango vya hospitali tena na kundelezwa au kutumika.

Ugunduzi wa molecule/s mpaka kupata dawa ni wastani wa miaka 10-18. Hapo ni pesa inafanya kazi. Kwenye pipeline kuna mawazo mengi, na si yote hufanikiwa kulingana na vigezo mbalimbali.

Kama ungefika kwenye hizi taasisi na kukuta hakuna mawazo ya wataalamu basi tungesema hii shida ni ya wataalamu:

1: National Institute of Medical Research(NIMR) na matawi yake pamoja na kitengo cha tiba asili.

2: Ifakara Health Institute(IHI) na matawi yake.

3: Kilimanjaro Clinical Research Institute(KCRI).

Kutaja kwa chache, kuna makabrasha huko watu wanasubiri pesa na kwa kiasi kikubwa toka kule usikotaka kusikia.

Sisi tumeamua kuwaacha viongizi wetu watembee wamekalia shilingi milioni 250,000-400,000/=, wakati wanaitupatia hela za tafiti wanatembea wamekalia milioni 50,000-100,000/=.
Bado tumeandika policy hizi juu ya thamani ya magari ya viongozi wetu.

Kupanga ni kuchagua, soma kipande hiki kinahusu mabepari wenyewe, je kwetu? πŸ‘‡

Modern drug discovery is thus usually a capital-intensive process that involves large investments by pharmaceutical industry corporations as well as national governments (who provide grants and loan guarantees).

Despite advances in technology and understanding of biological systems, drug discovery is still a lengthy, "expensive, difficult, and inefficient process" with low rate of new therapeutic discovery.[6]

In 2010, the research and development cost of each new molecular entity was about US$1.8 billion.[7]

In the 21st century, basic discovery research is funded primarily by governments and by philanthropic organizations, while late-stage development is funded primarily by pharmaceutical companies or venture capitalists.[8]

To be allowed to come to market, drugs must undergo several successful phases of clinical trials, and pass through a new drug approval process, called the New Drug Application in the United States.
 
Tatizo letu sisi Watanzania hatunatafiti zetu wenyewe karibia nyanja zote zakitaalamu tunatumia tu tafiti za wengine labda tunatafiti zetu binafsi kwenye siasa majitaka tu.

Kizazi Cha 40,50,60 na hata Cha miaka ya 70 Cha tz nimeyeyusho tukiwalinganisha na kiza hichohicho Cha Cha Asia(India,China, Singapore n.k).

Mkituhadithia mnasema mlianza harakati zenu za viwanda na tafiti mkiwa na ufanano mkubwa lakini Sasa hivi HAKUNA SHUGHULI yani sisi ndo tunatumia vitu vya Wachina, engineers wakichina na matibabu ya Kihindi. Sisi KIKUBWA tua yamenteini maisha yaende sawa na Dunia inavyoenda ila atuna nyongeza tunayo ongeza katika maisha yetu.

Basi ata tuone kuajaribu na kukosea kwenu katika nyanja hizo za kitafiti hakuna Bali tunawaona katika siasa tu,Sasa hapo mnaacha msingi wa ainagani .Au kuendeleza fikra za kitafiti inahitaji kafara nzito alafu nyie ni walokole hamuwezi kufanya hivyo
 
Umenifurahisha sana ase leo mkuu ingawa siamini hizo mambo za misukule na roho ......ila ulichongelea kimeeleweka sana na ndio ukweli kama wanabisha wabishe tu.

Nawakibisha tunawaacha.
 
Jitihada zimefanyika nyingi ikiwemo Dawa za Chemotherapy na hata Radiotherapy kuua hizo cells maana autoimune na Apoptosis mara nyingi zinakuwa Inhibited kwahyo inabidi External mechanism itumike Kuua hizo cells zilizokwisho kuharibika..
Hapana dokta!

Chemotherapy ni hatari sana.
 
Umewahi kuugua ukatibiwa na daktari kisha ukapona? Tuanzie hapo,maana huenda wewe ni marehemu uliyetunukiwa hicho cheo kwa uzembe wa daktari akiwa anatimiza wajibu wake.
 
Chuki hizi,ungepiga kitabu acha kulialia,au ulinyang'anywa demu nn
 
Spot on! Nimecheka mpaka daladala nzima wameshituka, "anko madevu umepatwa na nini"?
 
Jitihada zimefanyika nyingi ikiwemo Dawa za Chemotherapy na hata Radiotherapy kuua hizo cells maana autoimune na Apoptosis mara nyingi zinakuwa Inhibited kwahyo inabidi External mechanism itumike Kuua hizo cells zilizokwisho kuharibika..
Sasa mbona wanasema cancer haina tiba, na wee hapa umeeleza hivi? Hebu nieleweshee tafadhari.
 
Sasa mbona wanasema cancer haina tiba, na wee hapa umeeleza hivi? Hebu nieleweshee tafadhari.
Tiba Means cure..Kitu ambacho Advance Cancer haina....

Cancer inaweza kupata Suluhisho la kutibika ikiwa kwenye Early Diagnosis, sana sana in cancer in situ na early first stage...

Magonjwa mengi Hambayo hayana Cure huwa yanatibiwa kwa Paliative care tu...

Na chemotherapy na Radiotherapy ni kwa ajili ya kuzuia Athari ya cancer isiwe kubwa sana
 

Wanatibu kwa kufuata miongozo ya mabeberu,hakuna daktari bongo mwenye dawa yake au anatibu kufuata miongozo yake hayupo,bora hata waganga wakienyeji kuliko hawa misukule ya mabeberu.
 

Madktari wanamchango mkubwa kwenye uvumbuzi wa magonjwa na tiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…