Madaktari wengi ni misukule walio hai

Madaktari wengi ni misukule walio hai

Acha porojo bwana, ungekuwa makini ungeelewa tafsiri niliyoitoa ya neno "DAKTARI".

Hata ukifungua kitabu chochote unakutana na GLOSSARY inayotoa tafsiri ya maneno husika yaliyotumika katika muktadha wa kitabu husika.

Tafsiri ya neno daktari katika muktadha wa andiko langu inajumuisha hizo kada zingine sijui za utafiti na makorokocho mengine unayoyajua sana.

Sasa unijibu swali, kwanini mmegeuka kuwa misukule?
Hueleweki wewe! Nimekuelezea hapo bado unakaza fuvu! Alafu sikia hakuna sehem kuna conclusion kwamba gonjwa fulan halina dawa big no ni hakuna dawa kwa wakat huu lakin tafit zinaendelea na zingine zinaleta matokeo safi lakin zina zimwa na watu fulan wenye nguvu na mslahi kwenye hii industry. Kwaiyo ww tulia hujui lolote tuliza komwe hilo
 
Rudia alichoandika mtoa mada... Halafu ukomenti tena
Umesahau misukule mingine ni mifamasia hii mijamaa,inachajua ni kupanga dawa kwenye shelves na kugawa dawa tu,ukiiambia itengneze dawa hata ya kutibu mafua haiwezi,hovyo kabisa.

Daktari pekee angalau ni yule anayefanya upasuaji wengine wote ni misukule
 
Kuna magonjwa kama Hepatitis B na HIV

Kwanini umestick na cancer tu ?... Dr MJ amejaribu kueleza kwa kina, lugha nyepesi na mifano , binafsi nimemuelewa sana.

Ukifika stage ya acceptance labda utaweza kuelewa. Kwa sasa ni ngumu maana hisia zimezidi fikra.
 
Ndani ya taaluma ya udaktari, kuna specialities nyinginyingi kama dentistry, surgical, orthopedics, ophthalmology, gynaecology na nyingine nyingi tu. Nadhani hizi tuhuma zinawalenga zaidi MD GP (Medical doctors General practitioners) ambao wengi wao wamebaki kuwa prescibers tu wa dawa sio watafutaji wa suluhu ngumu za kiafya.
Ukifuatilia kazi za hawa GP wengi zimerahisishwa sana hata hamna kuumiza kichwa kabisa, kwanza mgonjwa wa OPD anafika, nesi anachukua VITALS zote kisha anamtuma kwa daktari. Daktari anamsikiliza mgonjwa dalili zake kisha wataalam wa maabara/radiology wanatumiwa request ya kumpima huyu mtu. Hapa sasa unaona kazi nyingi na ngumu zimeshafanywa na wengine, daktari Gp ana sehemu ndogo sana ya maamuzi.
 
A very constructive discussion though katika lugha ngumu sana. Kama una kisukari/presha ukisoma lugha anazotumia mleta mada na ni daktari utakata moto mapema. Though kwa akina sie tunajifunza no mara waah!!!

Diskasheni iendereeee.....
 
Divisheni one za shule za kata wala hazimaanishi kwamba kweli mtu ana kipaji au akili.

Hizi ni maksi tu za kitanganyika ambazo ni kinyume na uhalisia.

Ndio maana unamkuta daktari ana divisheni one lakini anakwambia kansa haina dawa kwa sababu beberu hajaleta chanjo.

Usiombe ukutane na mwenye D MBILI halafu kavaa STETHOSCOPE!!! Alooooohhhhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo huna bayaaa
 
Unaongelea madaktari wakata K wanaomuandikia mgonjwa presciption ya dawa kwa ku-google?
Kuna jamaa mmoja alikuwa analazimisha kuwa wife ana mimba kisa kashindwa kujua tatizo lake baada ya vipimo vya maabara. Nilimdharau sana yule mshikaji kwa kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama ulisema Ulifirana na kaka yako wa damu basi sikushangai kuropoka Pumba...MD wa Bongo anaweza kupata kazi hata S.A bila kikwazo Chochoote Mtu anapomaliza MD pale Mhimbili basi Elimu yake haina walakini hata kidogo..kivipi useme ni ya kukariri wakati ndio kozi inayoongoza kwa Vutendo?Yani Mwanafunzi daktari na CO mwaka wa Pili sheria inamlazimu aende wodini kila siku asubuhi kabla ya Kuingia darasani..huko wodini wanaenda kucheza? HAPANA wanaenda kujifunza kwa vitendo

Wewe ni aidha umefeli au uneumwa ugonjwa usio na Tiba kutokana na Tabia zako za kufukuana mitaro hivyo unaona Madaktari wote ni Misukule
POLE SANA
Hujajibu hoja, zaidi umemshambulia wizo wetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Porojo za daktari mwenye D MBILI.

Mimi ni zaidi ya daktari na lenzi yangu inafika umbali ambao wewe hauwezi kuufikia katika maisha yako yote ya sasa na yanayoweza kuwapo baada ya sasa.

Lenzi yangu ni witiri, mbonyeo na mbinuko kwa mpigo, wakati wewe ni msukule unayesubiri maagizo na waraka wa mabeberu ambao hauwajui wala kuwaelewa.

Coming back to the point, you have not advanced any watertight defense so far. Just garbages and cries to cover your failures and inabilities.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya sasa sikiliza nitajaribu kuelezea kwa ligha nyepesi sana ili unielewe..

Cancer ni hali inayotokea wakati cells za mwili zinaanza kukua na kujigawa kwa kasi (Fast meiosis and metosis "lakini kwa lugha ya pamoja tunasema metastasis" ) isiyokuwa ya kawaida.
Cells hubadili Ule Ukuaji wa kawaida na kwenda ukuaji ambao sio wa kawaida na hii hutokana na Mutation (Mabadiliko)..

Kwakuwa umesema unalima ngona nikupe mfano wa kulima..

imagine umepanda Zako Mahindi Shambani yakaota vizuri ila kwenye Kukua ghafla ukaanza kushangaa Siku mbili tu kuna mahindi yashafika kimo cha Mbwa mengine yamekuwa hayaeleweki na mengine badala ya kuwa kama muhindi yamekuwa manene kama Mbuyu na mengine yamekuwa kama maua saa sita N.k..

Sasa huo ndo mfano nilioweza kupata umaweza ukawa hauhusiani sana ila nimekosa cha kutolea mfano zaidi ila kwa kifupi ni Ukichaa wa cells tu kuanza kuwa na tabia mbaya za ukuaji ambayo mwanzo haikuwa nayo
Kumbe cancer ndo inakua hivi? Sasa kwann wataalamu wasitafute suluhisho la hizo cells kukua hovyo au tofauti na mpangilio unaotakiwa?
 
Hizi ni blah blah, umefanya kazi kwa miaka sabini bila kutoa suluhisho la kweli haina maana yoyote. Huu ndio undondocha ninaoupinga.

Umechukua fedha za watu na kulipwa mshahara bila kutoa mchango wa kweli zaidi ya kujitapa wewe ni bingwa wa kupima papuchi.

Nataka uniambie hapa umetibu wagonjwa kadhaa wa kansa na matokeo ni moja mbili.

Huo upimaji na janja janja za hospitali za kuchukua pamba na kudumbukiza kwenye papuchi hata darasa la saba mwenye D MBILI anaweza kufanya.

Tunahitaji MATOKEO CHANYA na sio ngojera za kurukaruka sijui nimefanya kazi miaka sabini.

Kwako DOKTA MAMBO JAMBO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee wizoo una nn lakiniii?
 
Dokta, sayansi yako ya kansa ni danganyifu, ndio maana wagonjwa wako wote wanalamba mchanga futi sita. [emoji16][emoji16]

Sayansi yako ingelikuwa ni ya kweli wagonjwa wa kansa wangepona. Kama umewahi kuponya mgonjwa wa kansa sema SUUUUUUU..... Thubutuu!

Hii inathibitisha hauna ujuzi, ama ujuzi ulionao ni batili, na unalipwa mshahara wa udanganyifu kwa kujua au kwa kutokujua.

Japo mshahara ni mtamu, mimi ningekuwa wewe ningejiuzulu udaktari.

Dhamira yangu ingenisuta sana kiasi cha kuzimia au kufariki kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom