Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Ok shukranVits unaweza kupata nzuri, ila IST kwa hiyo bei si rahisi.
Fanyahivyo namba ile pale juuMkuu ngoja nikitafutie yenye hali nzuri
Hiyo pesa inatosha kununua IST nzuri kabisa.Vits unaweza kupata nzuri, ila IST kwa hiyo bei si rahisi.
Umemaindi kichizi kummmkMadalali hua wanapigwa miti tu.
WanakupasuaKama Pale Mlimani City Kumejaa Utitiri wa Hawa Watu Ujanja Ujanja Tu.
Funny Thing Almost Wote Wamejenga....Hahaha Ukiwaona Wanavyo Vimba Showroom za Watu Huwezi Amini Ni Madalali. Hahaha
Hata siku moja hawazungushi kwa mitaji yao...wao wanakuuzia picha ya kwamba wao ni car dealership kumbe vivuli tu...ukikaa vibaya unajaa
Wanakupasua
Wote wavimbaji pale! Gari ya million 15! Ataropoka 18[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kuna wastaarabu
Pole sana mkuu utakuwa umeingizwa cha kike na hao watuMadalali hua wanapigwa miti tu.
Wote wavimbaji pale! Gari ya million 15! Ataropoka 18
Sasa utafanyaje kupataa muhusikaaaKama Pale Mlimani City Kumejaa Utitiri wa Hawa Watu Ujanja Ujanja Tu.
Funny Thing Almost Wote Wamejenga....Hahaha Ukiwaona Wanavyo Vimba Showroom za Watu Huwezi Amini Ni Madalali. Hahaha
Hata siku moja hawazungushi kwa mitaji yao...wao wanakuuzia picha ya kwamba wao ni car dealership kumbe vivuli tu...ukikaa vibaya unajaa