Madam Rita: Hakuna aliyewahi kunipenda kama Reginald Mengi, nilidate naye Kwa miaka 15

Madam Rita: Hakuna aliyewahi kunipenda kama Reginald Mengi, nilidate naye Kwa miaka 15

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.

Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.

Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.

Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.

 
Kwakua mapenzi/upendo ni kitu mtambuka.

Basi huyu mama asitudanganye, bora aseme tu wazi kwamba hakuna mwanaume aliekua anampa pesa kama marehemu mzee Mengi.

Ukweli ni kwamba pesa ndio hasa iliyo mtuliza Madame kwa mzee Mengi.

Naukweli hata Jacky aliamua kuolewa na mzee Mengi kwasababu mzee alikua anaukwasi wa maana.
 
1-AE48-A04-2541-405-E-B579-97-CE5434-FFFA.gif

Aisee kumbe ilikuwa kweli!?
 
Mzee Mengi alikuwa na mke wakati anatembea na Rita,siku hizi watu hawaogopi kabisa kusema kuwa alikuwa anatembea na mume wa mtu.
Shame on her ..! Lakini katika umri wa 20 tayari alikuwa keshapigwa 2 bila..

Akaamua kuchagua udangaji.. Malengo makubwa but no capital akatafuta pa kujiegesha penye kivuli kizuri
 
Kwakua mapenzi/upendo ni kitu mtambuka.....
Basi huyu mama asitudanganye, bora aseme tu wazi kwamba hakuna mwanaume aliekua anampa pesa kama marehemu mzee Mengi.
Ukweli ni kwamba pesa ndio hasa iliyo mtuliza Madame kwa mzee Mengi.
Naukweli hata Jacky aliamua kuolewa na mzee Mengi kwasababu mzee alikua anaukwasi wa maana.
Mkono mtupu haurambwi
 
Back
Top Bottom