Madam Rita: Hakuna aliyewahi kunipenda kama Reginald Mengi, nilidate naye Kwa miaka 15

Madam Rita: Hakuna aliyewahi kunipenda kama Reginald Mengi, nilidate naye Kwa miaka 15

Kiba insmaana hakua anampenda kama inavyosemekana?
 
Madam kwa jinsi anavyoonekana alikuwa pisi Kali sana.

Mzee machache Sina ugomvi nae pale.
 
Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.

Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.

Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.

Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.


Hiyo miaka 15 ni kabla ya Mkewe Marehemu? Baada ya divorce na Mrs Mengi au kipindi cha ndoa? 😮
 
Back
Top Bottom