Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nadharia ya kwamaba mwanaume akiwa na pesa anashindana na mashimo mnaitoa wapi? Kuoenda mashimo ni hobby kama hobby zingine....mtu anatakaka kuburudisha nafsi yake basi sio kwamba anashindana na mbususuTafuta pesa uishi vizuri, ukishindana na mashimo ni sawa na kukimbiza upepo.
Yaan kama nakuona ungekua kwenye position ya Mengi. Mbususu zingeliwaje😂Sii mbususu zinajileta zenyewe mwanaume afanye nini
Na ukute ujanani hukuyafaidi kwasababu wenye pesa walikuzidi kete. Uzeeni unanunua tu ma pagala kwa mama ntilie.Hii nadharia ya kwamaba mwanaume akiwa na pesa anashindana na mashimo mnaitoa wapi? Kuoenda mashimo ni hobby kama hobby zingine....mtu anatakaka kuburudisha nafsi yake basi sio kwamba anashindana na mbususu
🤣🤣🤣🤣Unajua ukiwa na hela huna shida ya kutongoza...wanawake wenye ndio wanataka kugeggedwa na wewe....so ya nini uwanyime kile wanachotaka🤣🤣🤣🤣Yaan kama nakuona ungekua kwenye position ya Mengi. Mbususu zingeliwaje😂
Mashost walioishia kunyang'anyana DangaWezi wawili wenye mbinu "mlinganyo sahili"!
Dah! Kweli money 💵💴💶💷💸💰 is everything. Yaani ukiwa na fedha, utakula mema yote ya hapa duniani! Fedha ni sabuni ya roho!Tutafute pesa!
Madame alikataa kumzalia mzee watoto/wajukuu.sasa ikawaje mzee akaluka majivu na kujichomeka kwenye moto wa gesi??
Yaani hela alikuwa anapewa na mzee mengi halafu yeye ndani kamfungia utu na utulivu wakakutana jaji na msanii.Na Aseme pia hakuna aliye wahi kumkuna vizuri kama King...
watoto/wajukuu ndio akina nani dada Sky EclatMadame alikataa kumzalia mzee watoto/wajukuu.
Madam alimpiga mengi tukio la kupigwa katerero na mtu mwingineKwakua mapenzi/upendo ni kitu mtambuka.....
Basi huyu mama asitudanganye, bora aseme tu wazi kwamba hakuna mwanaume aliekua anampa pesa kama marehemu mzee Mengi.
Ukweli ni kwamba pesa ndio hasa iliyo mtuliza Madame kwa mzee Mengi.
Naukweli hata Jacky aliamua kuolewa na mzee Mengi kwasababu mzee alikua anaukwasi wa maana.
Ebu usimuaibishe hayati mzee Mengi.Madam alimpiga mengi tukio la kupigwa katerero na mtu mwingine
Noma sana!
😂😂😂😂 Wewe jamaa umevunja mbavu zanguPamoja na mahaba yote ya mtoton Jacky bado mzee alikua anapasha kiporo,?