joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
I was expecting your decent comment on thisMkono mtupu haurambwi
Mengi angebaki na huyu angekuwa hai mpaka leo, Tunashukuru kumuenzi Baba kwa kumsifia Aikamae!Madam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.
Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.
Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.
Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.
AiseeeMadam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.
Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.
Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.
Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.
🤣🤣🤣Pamoja na mahaba yote ya mtoton Jacky bado mzee alikua anapasha kiporo,?
NA TUKIZIPATA TUNATUMIA SIO KWA MWANAMKE MMOJA, WANAWAKETutafute pesa!
Usome na usikie 🤣 Saint Anne🤣🤣🤣🤣Unajua ukiwa na hela huna shida ya kutongoza...wanawake wenye ndio wanataka kugeggedwa na wewe....so ya nini uwanyime kile wanachotaka🤣🤣🤣🤣
Acha kabisa...mwanamke umpeleke maldives umempamdisha first class emirates asipo tuoa mbususu huyo basi sio binadamu ni malaikaUsome na usikie 🤣 Saint Anne
Mdogo wetu bado Kuna kitu nakudaiUsome na usikie 🤣 Saint Anne
Nakuja kulipa🤣🤣🤣Mdogo wetu bado Kuna kitu nakudai
Ile comment imeupiga mwingiNakuja kulipa🤣🤣🤣
Ila zingatia ile comment
Angepata naye mtoto ingekuwa poa sanaMadam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.
Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.
Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.
Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.
SwadaktaTafuta pesa uishi vizuri, ukishindana na mashimo ni sawa na kukimbiza upepo.
SafiiiMadam Rita kupitia kipindi Cha Salama Na amafunguka mahusiano yake na Mzee Reginald Mengi.
Akimuelezea Mzee Mengi Madam Rita amesema hakuna aliyewahi kumpenda na kumuonesha upendo kama Reginald Mengi.
Madam Rita amesema kuwa alikuwa na mahusiano na Mzee Mengi Kwa muda wa miaka 15 na kwamba walimwengu ndiyo waliowaachanisha.
Kwa mujibu wa Madam Rita mpaka Mzee Mengi anafariki walikuwa Bado wanapendana japo hawakuwa pamoja.