Mufti naye nimesikia akiitwa dr sijui kusomea wapiSiku Hz hata watu wa dini utasikia Dr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mufti naye nimesikia akiitwa dr sijui kusomea wapiSiku Hz hata watu wa dini utasikia Dr
Hata UDSM wanahonga PhD.SAS ya Samia Ni ya udsm mkuu hzi za kina msukumaa ni za kununua na kudhalilisha elimu huyu mma Samia yey anasahili kwa Kaz zake alizofanya Hadi kufika hapo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wonders shall never ceaseMufti naye nimesikia akiitwa dr sijui kusomea wapi
Thanks for sharing
kale nyama choma na viazi naja lipa kometi zako nyingi zimetuliaKwani hata hizo za kisomo zimesaidia nini nchi hii....
Dunia iliyoendelea haikujengwa na wala haiongozwi na Phds
Mtazamo safi kabisa, wasomi wa nchi ni rubbishKwani hata hizo za kisomo zimesaidia nini nchi hii....
Dunia iliyoendelea haikujengwa na wala haiongozwi na Phds
ungekuwa umefuatilia vizuri spika alichokisema usingeandika haya.Hata waziri wa elimu amesema hata TCU haiwezi kufuatilia uhalali wa degree hizo bila kuwa na matakwa ya kufanya hivyo..Ndio spika akapendekeza kuwa lazima sasa kuwe na utaratibu wa kufuatilia.Spika ana mamlaka gani ya kutotambua hizoDegree au PhD ilihali TCU inazitambua........!
Mengine ni wivu tu usiokuwa na msingi, msukuma kupewa hiyo degree hakumbadilishi akawa msomi kwa lolote Bali ni mtu tu na chuo chake wame appreciate kitu Fulani kutoka kwake na kwa muono wao na si bunge ndo Lina approve......!
Ndo maana Kuna watu Kila siku hawaogezi hata kilo Moja kumbe sababu ni roho mbaya na wivu wa kipumbavu.
Swadakta, watu wengi wanarukia gari kwa mbele, hawajui hoja ni nini. Whether or not hao wasomi wenye PhD za halali hawana mchango wowote kwa taifa, haiwapi uhalali vilaza kutafuta PhD za mchongo.ungekuwa umefuatilia vizuri spika alichokisema usingeandika haya.Hata waziri wa elimu amesema hata TCU haiwezi kufuatilia uhalali wa degree hizo bila kuwa na matakwa ya kufanya hivyo..Ndio spika akapendekeza kuwa lazima sasa kuwe na utaratibu wa kufuatilia.
Which Doctor? Witch Doctor?1. Dr Mwamposa,
2. Dr Harris kapiga,
3. Dr Kimaro,
4. Dr. Taletale,
5. Dr. Msukuma,
6. Dr. Rwakatare (RIP),
7. Dr. Mrema (RIP),
8. Dr. Maganga (RIP),
9.
These are witch doctorsWhich Doctor? Witch Doctor?
Degree wananunua MTANDAONI na Serikali inawaajili saaafi kabisa, degree za mchongo zipo tu ukiondoa hizo PhDhaiwapi uhalali vilaza kutafuta PhD za mchongo.
Hao wote uliowataja ni madaktari wa heshima na sio madkatri wa filisofi (PhD). Na hawaruhusiwi kurumia neno PhD kwenye document zao zozote. So, hamna cha ajabu hapo, na spika wala hakumaanisha hicho1. Dr Mwamposa,
2. Dr Harris kapiga,
3. Dr Kimaro,
4. Dr. Taletale,
5. Dr. Msukuma,
6. Dr. Rwakatare (RIP),
7. Dr. Mrema (RIP),
8. Dr. Maganga (RIP),
9.
Msukuma hana PhD, labda ni udaktari wa heshima tuSpika ana mamlaka gani ya kutotambua hizoDegree au PhD ilihali TCU inazitambua........!
Mengine ni wivu tu usiokuwa na msingi, msukuma kupewa hiyo degree hakumbadilishi akawa msomi kwa lolote Bali ni mtu tu na chuo chake wame appreciate kitu Fulani kutoka kwake na kwa muono wao na si bunge ndo Lina approve......!
Ndo maana Kuna watu Kila siku hawaogezi hata kilo Moja kumbe sababu ni roho mbaya na wivu wa kipumbavu.
Muda mwingne ni vzur kukaa kimya ili kuepuka aibu ndogo ndogo kama hzSiku Hz hata watu wa dini utasikia Dr
Sio PhD tu zipo degree za kununua MTANDAONI na watu wanaombea kazi wanapata kazi freeeesh, karibu bongoMsukuma hana PhD, labda ni udaktari wa heshima tu
Hujui unachoongea boss. Hao wote ni watu maarufu fuatilia wanavyojitambulisha.Hao wote uliowataja ni madaktari wa heshima na sio madkatri wa filisofi (PhD). Na hawaruhusiwi kurumia neno PhD kwenye document zao zozote. So, hamna cha ajabu hapo, na spika wala hakumaanisha hicho