Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shoga tulia **** wwUnawashwa wewe... naweza wanunua wewe na mama yako mkaish kwangu your life time.
Kuwa na adabu
Madhehebu yapi? kama unaongelea Anglican, Lutheran, au Catholic, hao wao wana PhD za darasani na nyingi ni za Theology.Siku Hz hata watu wa dini utasikia Dr
Hapo ndipo kuna shida, mtu kama Reginald Mengi alikuwa anadeserve kwa mchango wake kwa jamii. Kwa sasa vyuo vimeifanya hiyo honorary Doctorate kuwa kitu very cha kawaida sana.Tale kaingia bungemi juzi leo eti katunukiwa udokta wa heshima jamani kwa lipi! Hii nchi hivi vyuo waache uroho wa pesa.
Ila hakuna tofauti kati ya waliosoma e.g. madilu na wasiosoma e.g. msukuma. Kwa hiyo watu waendelee kununua tu hizo PhD za mchongoWasalaam
Madam Speaker ameshauri watu wakasome, wasinunue PhD nitaweka video.
Nchi hii ina vitu ya ajabu sana wanataka kuchezea mpaka taaluma bila haya.
Wakasome, narudia, wakasome
Mkuu, babu tale na hao wenzake hawana PhD(udaktari wa filosofi), ni madaktari wa heshima tu. Na hautaona sehemu yoyote akatumia hilo neno PhD, na hawaruhusiwi kabisa. Usichanganye hivyo vitu viwili kabisa.I agree,they should go back to school,mwenyewe ilikuwa inaniuma watu type za kina babutale ati nao ni madokta wa PhD,what a kind of s.h.t is this?
Una uhakika na ukisemacho kuwa TCU inazitambua? Kasome hakuna Degree za dezoSpika ana mamlaka gani ya kutotambua hizoDegree au PhD ilihali TCU inazitambua........!
Mengine ni wivu tu usiokuwa na msingi, msukuma kupewa hiyo degree hakumbadilishi akawa msomi kwa lolote Bali ni mtu tu na chuo chake wame appreciate kitu Fulani kutoka kwake na kwa muono wao na si bunge ndo Lina approve......!
Ndo maana Kuna watu Kila siku hawaogezi hata kilo Moja kumbe sababu ni roho mbaya na wivu wa kipumbavu.
Ni makosa kama watatumia neno PhD baada ya majina yao, ila wanaruhusiwa kutumia neno Dr. kabla ya majina yao. Kwa nchi zingine wanatakiwa kuandika neno Dr.hc kuwatofautisha na Daktari wa filosofi (PhD). Ninajua ninachoakiandika mkuu, naomba ninikuu hili neno "Honorary degrees acknowledge individuals for outstanding achievements and contributions to society." Tatizo hapa kwetu anapewa mtu yeyote tu.Hujui unachoongea boss. Hao wote ni watu maarufu fuatilia wanavyojitambulisha.
Ungepita tu ingekufichia upumbavu wako. Ukiondoa dakitari wa bonadamu na mifugo, ili uitwe dakitari lazima uwe na PhD. Kuna PhD ya kusomea na PhD ya heshima na wenye nazo wanaruhusiwa kutumia neno Dr. Kama kishangilio na PhD kama sifa.Mkuu, babu tale na hao wenzake hawana PhD(udaktari wa filosofi), ni madaktari wa heshima tu. Na hautaona sehemu yoyote akatumia hilo neno PhD, na hawaruhusiwi kabisa. Usichanganye hivyo vitu viwili kabisa.
Hawaruhusiwi kutumia neno PhD baada ya majina yao, na hili hata TCU walihalitolea ufafanuzi, waweza kuwa mpumbavu wa first order. Wanachoruhusiwa ni kutumia neno Dr. kabla ya majina yao, kwenye nyaraka zozotewatakazotumia.Ungepita tu ingekufichia upumbavu wako. Ukiondoa dakitari wa bonadamu na mifugo, ili uitwe dakitari lazima uwe na PhD. Kuna PhD ya kusomea na PhD ya heshima na wenye nazo wanaruhusiwa kutumia neno Dr. Kama kishangilio na PhD kama sifa.
Sasa kwanini Mama Samia Anajiita Dr hii Haifa hapo udsm wanagawa PhD za mchongoHawaruhusiwi kutumia neno PhD baada ya majina yao, na hili hata TCU walihalitolea ufafanuzi, waweza kuwa mpumbavu wa first order. Wanachoruhusiwa ni kutumia neno Dr. kabla ya majina yao, kwenye nyaraka zozotewatakazotumia.
Msome tena jamaa Usikurupuke, Amesema wanaweza kutumia initial ya DR kabla ya majina yao ila hawaruhusiwi kutumia Neneo PhD baada ya majina yaoSasa kwanini Mama Samia Anajiita Dr hii Haifa hapo udsm wanagawa PhD za mchongo
Kumbe Bi Tozo hayana ya kwake?Wasalaam
Madam Speaker ameshauri watu wakasome, wasinunue PhD nitaweka video.
Nchi hii ina vitu ya ajabu sana wanataka kuchezea mpaka taaluma bila haya.
Wakasome, narudia, wakasome
Bi tozo kaleta mapinduzi ya democracy, umoja wa kitaifa na amani. Hakuna plea bargain, usabaya au umakondaKumbe Bi Tozo hayana ya kwake?
Ni dakitari wa heshimaHata Mama Samia na yeye sio dokta
HakikaNi makosa kama watatumia neno PhD baada ya majina yao, ila wanaruhusiwa kutumia neno Dr. kabla ya majina yao. Kwa nchi zingine wanatakiwa kuandika neno Dr.hc kuwatofautisha na Daktari wa filosofi (PhD). Ninajua ninachoakiandika mkuu, naomba ninikuu hili neno "Honorary degrees acknowledge individuals for outstanding achievements and contributions to society." Tatizo hapa kwetu anapewa mtu yeyote tu.