Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Hapana Shaka yoyote wengi wetu humu ndani tunajua harakati za DeepPond na mama j, ni mastory ambayo Yana vituko na burudani na mafunzo ndani yake, binafsi huwa sikosi kumsoma huyu mwamba.

Lakini wote tunakubaliana humu jukwaani kwamba Hakika kama mkewe angekuwa mtu WA kufuatilia Simu ya mumewe bilashaka ndoa yake ingekuwa chali siku nyingi Sana.

Lakini mwanamke huyu amechagua kutojihusisha na mambo hayo na ndio maana pamoja na vurugu zote za mama j bado ndoa Yao iko salama na Maisha yanaendelea kama kawaida.

Kwa mfano kisa cha juzi mwamba baada ya kupigwa sound na mama j ikabidi nae ampige sound wife kuwa mlinzi ofisini kanipigia Simu huenda kuna shida, kama wife angekuwa mfuatiliaji basi angeenda ofisini Kwa mwamba na kumuuliza mlinzi mume wangu alikuja Jana saa nane usiku,kulikuwa kuna shida gani? Bilashaka mlinzi angeshangaa na kustaajabu na hapo wife angejua kuna tatizo sehemu.

Lakini amechagua kumwamini mumewe na ndio maana mpaka Leo wako pamoja na Hana presha zisizo na sababu.

Hata mama yangu pia si mtu WA kuchunguza Simu za Mzee wangu,maana kama angekuwa ana chunguza Bilashaka angelipata la kulipata,coz wakati bado nipo home siku moja mdogo wangu yale mambo ya kumwekea vocha mshua, sijui aliwaza nini na kwenda kwenye text za mshua daah sio poa,itoshe kusema ni Noma,ndo akanitonya bro kuna text flani flani humu.

So point yangu ni kwamba mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe Kwa mikono yake,maadam mumeo anakuheshimu na kukupenda na hajakuletea sababu zozote za kukufanya uwe na mashaka,basi usitafute mashaka katika Simu yake,kwani ukiyataka utayapata Tu!

Kaa mbali na Simu yake Kwa mustakabali wa ndoa Yako.

Ni hayo Tu!
 
Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?

Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".

Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
 
Hapana Shaka yoyote wengi wetu humu ndani tunajua harakati za DeepPond na mama j, ni mastory ambayo Yana vituko na burudani na mafunzo ndani yake, binafsi huwa sikosi kumsoma huyu mwamba.

Lakini wote tunakubaliana humu jukwaani kwamba Hakika kama mkewe angekuwa mtu WA kufuatilia Simu ya mumewe bilashaka ndoa yake ingekuwa chali siku nyingi Sana.

Lakini mwanamke huyu amechagua kutojihusisha na mambo hayo na ndio maana pamoja na vurugu zote za mama j bado ndoa Yao iko salama na Maisha yanaendelea kama kawaida.

Kwa mfano kisa cha juzi mwamba baada ya kupigwa sound na mama j ikabidi nae ampige sound wife kuwa mlinzi ofisini kanipigia Simu huenda kuna shida, kama wife angekuwa mfuatiliaji basi angeenda ofisini Kwa mwamba na kumuuliza mlinzi mume wangu alikuja Jana saa nane usiku,kulikuwa kuna shida gani? Bilashaka mlinzi angeshangaa na kustaajabu na hapo wife angejua kuna tatizo sehemu.

Lakini amechagua kumwamini mumewe na ndio maana mpaka Leo wako pamoja na Hana presha zisizo na sababu.

Hata mama yangu pia si mtu WA kuchunguza Simu za Mzee wangu,maana kama angekuwa ana chunguza Bilashaka angelipata la kulipata,coz wakati bado nipo home siku moja mdogo wangu yale mambo ya kumwekea vocha mshua, sijui aliwaza nini na kwenda kwenye text za mshua daah sio poa,itoshe kusema ni Noma,ndo akanitonya bro kuna text flani flani humu.

So point yangu ni kwamba mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe Kwa mikono yake,maadam mumeo anakuheshimu na kukupenda na hajakuletea sababu zozote za kukufanya uwe na mashaka,basi usitafute mashaka katika Simu yake,kwani ukiyataka utayapata Tu!

Kaa mbali na Simu yake Kwa mustakabali wa ndoa Yako.

Ni hayo Tu!
Siwez jisumbua na simu ya mtu kanunua kwa pesa zake.
 
Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?

Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".

Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
Madam

Kwanza naomba nieleweke sibariki uzinzi wala uchepukaji Ila point yangu kubwa ni kwamba,mifarakano mingi hutokana na haya mambo ya kufuatiliana kwenye simu na si vinginevyo.

So kwanini tutafute fitina katika ndoa zetu bila sababu ya msingi?
 
Kwahiyo unataka kusema huenda wife wa mwamba nae ana mambo yake ndio maana Hana time?

Nakataa coz mwanamke akifall in love sehemu nyingine au akinogeshwa huko lazima atajulikana Tu coz atakuwa na dharau na vurugu mingi mingi
Ulio andika ni kweli ila wapo Wanawake wanasaliti na wenza wao hawajui tena wapo wengi kuliko unavyo dhani mkuu.
 
Back
Top Bottom