Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam

Kwanza naomba nieleweke sibariki uzinzi wala uchepukaji Ila point yangu kubwa ni kwamba,mifarakano mingi hutokana na haya mambo ya kufuatiliana kwenye simu na si vinginevyo.

So kwanini tutafute fitina katika ndoa zetu bila sababu ya msingi?
Hapo solution sio kuacha kushika simu solution ni kuacha uasherati na kuwa mwaminifu kwenye ndoa.

Yaani nisishike simu ya mume wangu kisa naepusha mifarakano? WTF? Acha ije kuliko nikakumbatia bomu la gono na UKIMWI.

Yaani mimi simu nashika ni yeye aache uzinzi. Na hata akichepuka achepuke kwa mateso sio achepuke kwa furaha na uhuru kama vile ni haki yake.
 
Hapo solution sio kuacha kushika simu solution ni kuacha uasherati na kuwa mwaminifu kwenye ndoa.

Yaani nisishike simu ya mume wangu kisa naepusha mifarakano? WTF? Acha ije kuliko nikakumbatia bomu la gono na UKIMWI.

Yaani mimi simu nashika ni yeye aache uzinzi. Na hata akichepuka achepuke kwa mateso sio achepuke kwa furaha kama vile ni haki yake.
Hapo kwenye kuchepuka kwa mateso kwa kweli sio tuleteane Ukimwi na mwengineyo
 
Ata mke itakua kuna mahali anaenda zake kujiiba. Pale na mahusiano ya watu wawili wivu lazima uwepo.

Sema ni story za jf si mbaya
Chief

Ni kweli wivu unahusika lkn nikwambie kitu,kuna wengine wameamua kuwa tofauti na watu wengine katika jamii,yaani wameamua kutoishi na mashaka hivyo wameamua kutojihusisha na kufuatiliana ili mapenzi na ndo ziendelee kuwepo Tu
 
Hapo solution sio kuacha kushika simu solution ni kuacha uasherati na kuwa mwaminifu kwenye ndoa.

Yaani nisishike simu ya mume wangu kisa naepusha mifarakano? WTF? Acha ije kuliko nikakumbatia bomu la gono na UKIMWI.

Yaani mimi simu nashika ni yeye aache uzinzi. Na hata akichepuka achepuke kwa mateso sio achepuke kwa furaha na uhuru kama vile ni haki yake.
😅😅😅 Kwahiyo unachopinga wewe ni yeye kujiachia Kwa Amani kana kwamba anaishi peke yake,Ila lazima umtie kashikashi awe na presha Kwa kuhofia kuwa unaweza kucheki Simu yake.

Unaweza kuwa sahihi lkn Kwa upande mwingine unamfundisha kujipanga vizuri kwamba akirudi home awe ameclear meseji zake na call history kabla hajarudi home,siku moja Niko Kwa basi nikamuona mwamba yupo busy anafuta meseji ndio hayo ninayo zungumzia hapa
 
Hapo kwenye kuchepuka kwa mateso kwa kweli sio tuleteane Ukimwi na mwengineyo
Yes dear.
Yaani mpenzi wako hatakiwi kuchepuka kwa uhuru anatakiwa kama anachepuka achepuke kwa kujiiba na kwa kuteseka na roho kuwa juu juu haswa. Mpaka mwisho wa siku aone mbona kama anateseka sana aamue kuacha.

Kwakweli mimi simpi huo uhuru wa kuchepuka huku anajiachia. Na asali sana nisimkamate maana mimi sina huruma nitalipiza tu.
 
Yes dear.
Yaani mpenzi wako hatakiwi kuchepuka kwa uhuru anatakiwa kama anachepuka achepuke kwa kujiiba na kwa kuteseka na roho kuwa juu juu haswa. Mpaka mwisho wa siku aone mbona kama anateseka sana aamue kuacha.

Kwakweli mimi simpi huo uhuru wa kuchepuka huku anajiachia. Na asali sana nisimkamate maana mimi sina huruma nitalipiza tu.
Hannah

Sasa huoni huko kulipiza na wewe unakuwa kama yeye Tu hlf Kwa mwanamke inakuwa mbaya zaidi ujue

Au wewe mwenyewe unasemaje?
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Kwahiyo unachopinga wewe ni yeye kujiachia Kwa Amani kana kwamba anaishi peke yake,Ila lazima umtie kashikashi awe na presha Kwa kuhofia kuwa unaweza kucheki Simu yake.

Unaweza kuwa sahihi lkn Kwa upande mwingine unamfundisha kujipanga vizuri kwamba akirudi home awe ameclear meseji zake na call history kabla hajarudi home,siku moja Niko Kwa basi nikamuona mwamba yupo busy anafuta meseji ndio hayo ninayo zungumzia hapa

Eeeh bora afanye hivyo kuliko kujiachia kama vile ameoa fala asiyejitambua. Afute kila kitu kabisa na sio aje afiche fiche simu .

Yaani anatakiwa ajue mke wake mimi sio mjinga. Na kama anacheat atumie akili maana hajaoa Idiot.
 
Eeeh bora afanye hivyo kuliko kujiachia kama vile ameoa fala asiyejitambua. Afute kila kitu kabisa na sio aje afiche fiche simu .

Yaani anatakiwa ajue mke wake mimi sio mjinga. Na kama anacheat atumie akili maana hajaoa Idiot.
Nimekusoma madam wangu,asante kwa maoni yako na mtazamo wako
 
Hannah

Sasa huoni huko kulipiza na wewe unakuwa kama yeye Tu hlf Kwa mwanamke inakuwa mbaya zaidi ujue

Au wewe mwenyewe unasemaje?

Tatizo lenu wanaume mnajiona special sana. Kinachowapa uhalali wa kucheat na kumnyima mwanamke uhalali wa kucheat ni nini?
Kwanini kwa mwanamke iwe mbaya zaidi na kwa mwanaume isiwe mbaya zaidi?
 
Kama kweli huyo mke yupo ni mpumbavu. Ni aina ya wale wanawake wanaoambukizwa magonjwa ya zinaa ndoani na kupigwa na waume zao kuwa wao ndio wamecheat mpaka kuleta magonjwa ndani ya nyumba. Vile vile ni aina ya wale wanawake wanaofiwa na waume zao kwa magonjwa makubwa na kuishia kulaumiwa na ndugu wa mume kwani nini hajaanza kufa yeye huku akiitwa muuaji
 
Tatizo lenu wanaume mnajiona special sana. Kinachowapa uhalali wa kucheat na kumnyima mwanamke uhalali wa kucheat ni nini?
Kwanini kwa mwanamke iwe mbaya zaidi na kwa mwanaume isiwe mbaya zaidi?
Iko hivi madam

Mwanamke ni miliki ya mume au sio,ndiyo amekuoa na uangalizi wako uko mikononi mwake,kwahiyo ana mamlaka na wewe kwakuwa ndio mkewe.

Sasa kitendo cha wewe kuchepuka wakati huo huo ni milki ya mume ambaye ana haki zote,hiyo inakuwa haijakaa Sawa.

Lakini pili mwanaume ameumbiwa tamaa Tu lkn mapenzi yake bado yapo kwako,tatizo nyie mkichepuka mnahama kabisa na kumuona huyo mume si lolote wala chochote.
 
Iko hivi madam

Mwanamke ni miliki ya mume au sio,ndiyo amekuoa na uangalizi wako uko mikononi mwake,kwahiyo ana mamlaka na wewe kwakuwa ndio mkewe.

Sasa kitendo cha wewe kuchepuka wakati huo huo ni milki ya mume ambaye ana haki zote,hiyo inakuwa haijakaa Sawa.

Lakini pili mwanaume ameumbiwa tamaa Tu lkn mapenzi yake bado yapo kwako,tatizo nyie mkichepuka mnahama kabisa na kumuona huyo mume si lolote wala chochote.
Mkuu acha niishie hapa nisiendelee zaidi.
Ila kikubwa acheni uhuni.
Acheni uzinzi.
 
Back
Top Bottom