Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Mimi sitaki kuwa mmojawapo ya yeyote hapo kudeal na deeppond inataka combination ya mcharuko na wife kwa pamoja, sasa nani anaweza hiyo
Daah umetisha Sana madam

Kwahiyo kudili na jamaa inabidi uwe mke unayejielewa na wakati huo ujitoe ufahamu/ uwe mcharuko ,kweli hapo kazi IPO.

Asante Kwa maoni yako
 
😂😂😂 Huyu anatushaurije ma FBI?yaani mama J kajimilikisha kiulainiii kabisa! Hapana jamani tuendelee na u FBI wetu,au unasemaje my wangu?
🤣🤣🤣 Mama j ni Noma kafika home Kwa mwamba hlf kudhibitisha kwamba alifika akaandika na Jina lake pale kabisa kwenye tofali.

Yaani muwe Tu ma FBI maana wakina mama j wako wengi Sana kwakweli
 
Mwanaume ni mnyama kama ilivyo dume la simba, impala, fisi, mbwa koko, mbuzi n.k hivyo lazima amiliki pride ya wanawake. Sisi sio njiwa..

Kuwa na mwanamke mmoja hizo ni taratibu ziliwekwa ili kuwanufaisha ninyi.
Chief

Kula 🤛🤛 umeongea kweli
 
🤣🤣🤣 Mama j ni Noma kafika home Kwa mwamba hlf kudhibitisha kwamba alifika akaandika na Jina lake pale kabisa kwenye tofali.

Yaani muwe Tu ma FBI maana wakina mama j wako wengi Sana kwakweli
Yaani DP acheni adate jamani mama J ana mapenzi ya ki teenager 😅
 
Mke wa yule jamaa ni kama hana pa kwenda.....hivyo kuwa zoba inamfaa.....mi simu yako siangaiki nayo ila nikiona viashiria vya dharau zilizopitiliza ndoa navunja hata kama ilifungwa Kwa mnyororo
BROWN suger Una mikwala wewe hatar

Haya bhana
 
Halafu huenda hajui kusoma si alisemaga alimwokota uswahilini huko,manzese sijui kwenye ule uswaz haswa hadi mamake hakupenda auoe
Duuh hili ndio nalisikia Leo Mimi
Ukweli bilashaka anaujua mwamba
 
Shukran mkuu,
MamaG Japo nae ana mapungufu yake ya kibinadamu ila Sijawahi kujutia kuoa.

Kwenye kile chama Cha wakataa ndoa Mimi sipo kabisa, wife hanipi stress.

siwez kumlaumu stress najitaftia mwnyw kwa kina mamaJ kwa minyeg yangu[emoji4]
Chief

Asante Sana Kwa kuwa muwazi Kwa kushea nasi Jambo hili,naamini tutaendelea kupata harakati za mama j kadri siku zinavyokwenda mbele

Ila mama j alinifurahisha jambo moja,ili kudhibitisha kwamba alitimba home kwako basi akaandika na Jina lake kwenye tofali kama ushahidi

Sasa je kapajuaje kwako hapo ndo nilitaka kujua,kama hujawahi mpeleka basi huyo ni mafya mzuri tu
 
Wife wangu namjua vzur,
Afu kwasababu namcheat Sana Kuna MDA namchunguza Sana, hajawahi kua na wazo hata la kunicheat[emoji4]
Hongera kwako chief Kwa kupata wife Bora kabisa
 
Wakataa ndoa kuna muda wana point, imagine mtu umeolewa na mtu kama huyo jamaa unayemzunguzia, kwanini usikatae ndoa na kukimbia, na kuja kutuletea uzi humu? hakuna ndoa hapo ni mtu mmoja ameamua kumsindikiza mwenzie aishi maisha yake.

Anachofanyiwa huyo dada ni unyanyasaji wa kihisia, ni vile tu hana pa kwenda.

Ngoja nikusanue mleta mada, Ukiwa na mume ambaye ni rafiki yako, haihitaji akuambie nani amepiga simu saa nane usiku, Simu ikiita mida ambayo "siyo" unaanza kuguess atakuwa fulani, au ni fulani, au ni fulani, na katika assumption moja ujue kuna jibu sahihi. Haihitaji mtu akuambie mlinzi kapiga simu, akipiga simu mlinzi utajua tu!

Nataka kusemaje? Kama unapendwa kweli, Unakuwa unamjua mumeo na ratiba zake bila ya kumfatilia nyuma nyuma au kushika simu yake.
Madam

Kweli umenisanua vizuri Tu na umetupa ujumbe mmoja matata Sana bhana

Asante Sana Kwa maoni yako
 
Yan mimi naichunguza simu ya mume wangu mpaka amezoea yan nukisikia tu msg nasoma kabla ya yeye kusoma🤣😂😂😂 sema tu ndo hana makando kando hayo, kila mtu kuna vitu Mungu kamzidishia na kumpunguzia huyu naona mambo ya madem hana
baby zu

Umetisha Sana kwahiyo wewe kama ndio secretary wake 😂😂😂

Anyways kama Baba watoto Hana makando kando basi ni Jambo zuri na endelea kumuombea aendelee kuwa hivyo hivyo
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nacheka kama mazuri,hivi unaujua uchungu wa mume wewe
Madam

Siwezi jua coz Mimi ni mwanaume

Lkn lipi Bora kutochunguza chunguza na kuwa na Amani au uchunguze halafu upate uchungu WA mume ambao umeutaka Kwa kujitakia?
 
Dah hata mimi maza angekua ni mtu wa kufatilia simu ya mzee ndoa ingeshadondoka kitambo. Dingi ni mzinzi kisenge yan hata simtetei🤣
Kuna kipindi nishawahi mrukia hewani mchepuko wake unaoomba omba ela mara zote unalia shida tu Kila wakati.
Nikamwambia oya acha mambo ya kishenge kudate na baba zako acha kudanga tafuta size yako olewa tulia. Sijui kama ashawahi mwambia mzee ila naona kimya mpaka leo. Ni miaka imepita Sasa
Kweli chief

Haya mambo yapo Sana katika jamii zetu,kiukweli binafsi naamini kabisa Amani ya kweli ni kuamua kumwamini mtu pasina Shaka yoyote endapo hajakuletea mashaka hayo.

Na kuhusu hiyo ishi ya kumchana Mchepuko WA mshua,naamini kabisa hata kama alimwambia mdingi,Kwa aibu itabidi dingi akaushe Tu kiaina.
Lakini hongera Kwa ushujaa huo ulio ufanya
 
Back
Top Bottom