Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Kwahiyo unataka kusema huenda wife wa mwamba nae ana mambo yake ndio maana Hana time?

Nakataa coz mwanamke akifall in love sehemu nyingine au akinogeshwa huko lazima atajulikana Tu coz atakuwa na dharau na vurugu mingi mingi
Wife wangu namjua vzur,
Afu kwasababu namcheat Sana Kuna MDA namchunguza Sana, hajawahi kua na wazo hata la kunicheat[emoji4]
 
Shukran mkuu,
MamaG Japo nae ana mapungufu yake ya kibinadamu ila Sijawahi kujutia kuoa.

Kwenye kile chama Cha wakataa ndoa Mimi sipo kabisa, wife hanipi stress.

siwez kumlaumu stress najitaftia mwnyw kwa kina mamaJ kwa minyeg yangu[emoji4]

Wanasema mwanaume akikosa matatizo ndani ya nyumba yake basi huyatafuta nje,hongera kwa kuwa muwazi leo

Story nyingine lini ya mama j??
 
Wakataa ndoa kuna muda wana point, imagine mtu umeolewa na mtu kama huyo jamaa unayemzunguzia, kwanini usikatae ndoa na kukimbia, na kuja kutuletea uzi humu? hakuna ndoa hapo ni mtu mmoja ameamua kumsindikiza mwenzie aishi maisha yake.

Anachofanyiwa huyo dada ni unyanyasaji wa kihisia, ni vile tu hana pa kwenda.

Ngoja nikusanue mleta mada, Ukiwa na mume ambaye ni rafiki yako, haihitaji akuambie nani amepiga simu saa nane usiku, Simu ikiita mida ambayo "siyo" unaanza kuguess atakuwa fulani, au ni fulani, au ni fulani, na katika assumption moja ujue kuna jibu sahihi. Haihitaji mtu akuambie mlinzi kapiga simu, akipiga simu mlinzi utajua tu!

Nataka kusemaje? Kama unapendwa kweli, Unakuwa unamjua mumeo na ratiba zake bila ya kumfatilia nyuma nyuma au kushika simu yake.
 
Hapana Shaka yoyote wengi wetu humu ndani tunajua harakati za DeepPond na mama j, ni mastory ambayo Yana vituko na burudani na mafunzo ndani yake, binafsi huwa sikosi kumsoma huyu mwamba.

Lakini wote tunakubaliana humu jukwaani kwamba Hakika kama mkewe angekuwa mtu WA kufuatilia Simu ya mumewe bilashaka ndoa yake ingekuwa chali siku nyingi Sana.

Lakini mwanamke huyu amechagua kutojihusisha na mambo hayo na ndio maana pamoja na vurugu zote za mama j bado ndoa Yao iko salama na Maisha yanaendelea kama kawaida.

Kwa mfano kisa cha juzi mwamba baada ya kupigwa sound na mama j ikabidi nae ampige sound wife kuwa mlinzi ofisini kanipigia Simu huenda kuna shida, kama wife angekuwa mfuatiliaji basi angeenda ofisini Kwa mwamba na kumuuliza mlinzi mume wangu alikuja Jana saa nane usiku,kulikuwa kuna shida gani? Bilashaka mlinzi angeshangaa na kustaajabu na hapo wife angejua kuna tatizo sehemu.

Lakini amechagua kumwamini mumewe na ndio maana mpaka Leo wako pamoja na Hana presha zisizo na sababu.

Hata mama yangu pia si mtu WA kuchunguza Simu za Mzee wangu,maana kama angekuwa ana chunguza Bilashaka angelipata la kulipata,coz wakati bado nipo home siku moja mdogo wangu yale mambo ya kumwekea vocha mshua, sijui aliwaza nini na kwenda kwenye text za mshua daah sio poa,itoshe kusema ni Noma,ndo akanitonya bro kuna text flani flani humu.

So point yangu ni kwamba mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe Kwa mikono yake,maadam mumeo anakuheshimu na kukupenda na hajakuletea sababu zozote za kukufanya uwe na mashaka,basi usitafute mashaka katika Simu yake,kwani ukiyataka utayapata Tu!

Kaa mbali na Simu yake Kwa mustakabali wa ndoa Yako.

Ni hayo Tu!
Yan mimi naichunguza simu ya mume wangu mpaka amezoea yan nukisikia tu msg nasoma kabla ya yeye kusoma🤣😂😂😂 sema tu ndo hana makando kando hayo, kila mtu kuna vitu Mungu kamzidishia na kumpunguzia huyu naona mambo ya madem hana
 
Hapana Shaka yoyote wengi wetu humu ndani tunajua harakati za DeepPond na mama j, ni mastory ambayo Yana vituko na burudani na mafunzo ndani yake, binafsi huwa sikosi kumsoma huyu mwamba.

Lakini wote tunakubaliana humu jukwaani kwamba Hakika kama mkewe angekuwa mtu WA kufuatilia Simu ya mumewe bilashaka ndoa yake ingekuwa chali siku nyingi Sana.

Lakini mwanamke huyu amechagua kutojihusisha na mambo hayo na ndio maana pamoja na vurugu zote za mama j bado ndoa Yao iko salama na Maisha yanaendelea kama kawaida.

Kwa mfano kisa cha juzi mwamba baada ya kupigwa sound na mama j ikabidi nae ampige sound wife kuwa mlinzi ofisini kanipigia Simu huenda kuna shida, kama wife angekuwa mfuatiliaji basi angeenda ofisini Kwa mwamba na kumuuliza mlinzi mume wangu alikuja Jana saa nane usiku,kulikuwa kuna shida gani? Bilashaka mlinzi angeshangaa na kustaajabu na hapo wife angejua kuna tatizo sehemu.

Lakini amechagua kumwamini mumewe na ndio maana mpaka Leo wako pamoja na Hana presha zisizo na sababu.

Hata mama yangu pia si mtu WA kuchunguza Simu za Mzee wangu,maana kama angekuwa ana chunguza Bilashaka angelipata la kulipata,coz wakati bado nipo home siku moja mdogo wangu yale mambo ya kumwekea vocha mshua, sijui aliwaza nini na kwenda kwenye text za mshua daah sio poa,itoshe kusema ni Noma,ndo akanitonya bro kuna text flani flani humu.

So point yangu ni kwamba mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake mwenyewe Kwa mikono yake,maadam mumeo anakuheshimu na kukupenda na hajakuletea sababu zozote za kukufanya uwe na mashaka,basi usitafute mashaka katika Simu yake,kwani ukiyataka utayapata Tu!

Kaa mbali na Simu yake Kwa mustakabali wa ndoa Yako.

Ni hayo Tu!
Dah hata mimi maza angekua ni mtu wa kufatilia simu ya mzee ndoa ingeshadondoka kitambo. Dingi ni mzinzi kisenge yan hata simtetei🤣
Kuna kipindi nishawahi mrukia hewani mchepuko wake unaoomba omba ela mara zote unalia shida tu Kila wakati.
Nikamwambia oya acha mambo ya kishenge kudate na baba zako acha kudanga tafuta size yako olewa tulia. Sijui kama ashawahi mwambia mzee ila naona kimya mpaka leo. Ni miaka imepita Sasa
 
Back
Top Bottom