Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Madam zangu muige Tabia za mke wa Deepond

Kama kweli huyo mke yupo ni mpumbavu. Ni aina ya wale wanawake wanaoamukizwa magonjwa ya zinaa ndoani na kupigwa na waume zao kuwa wao ndio wamecheat mpaka kuleta magonjwa ndani ya nyumba. Vile vile ni aina ya wale wanawake wanaofiwa na waume zao kwa magonjwa makubwa na kuishia kulaumiwa na ndugu wa mume kwani nini hajaanza kufa yeye huku akiitwa muuaji
Numbisa

Umeongea maneno mazito kiasi kwamba naona nikiongeza chochote nitaharibu au kuondoa radha nzima ya maneno yako.

Asante Kwa maoni yako
 
Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?

Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".

Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
[emoji257][emoji257][emoji257][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3531][emoji3531][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Unasema nini wewe?
Yaani nimwamini mwanaume na private parts zangu halafu niogope kushika na kukagua simu yake?

Kwa kifupi wanaume acheni umalaya na sio eti "mwanamke mjinga huvunja ndoa yake na blah blah".

Hamna upendo na heshima kama anazini nje ya ndoa. Upendo hapo upo wapi? Heshima ipo wapi? Echeni uzinzi na kutafuta visingizio vya ajabu.
Mwanaume ni mnyama kama ilivyo dume la simba, impala, fisi, mbwa koko, mbuzi n.k hivyo lazima amiliki pride ya wanawake. Sisi sio njiwa..

Kuwa na mwanamke mmoja hizo ni taratibu ziliwekwa ili kuwanufaisha ninyi.
 
Mke wa yule jamaa ni kama hana pa kwenda.....hivyo kuwa zoba inamfaa.....mi simu yako siangaiki nayo ila nikiona viashiria vya dharau zilizopitiliza ndoa navunja hata kama ilifungwa Kwa mnyororo
Na kwamaelezo ya jamaa Mara kadhaa anatenda kosa yeye ila kibao anageuziwa mwanamke Na vikao vya familia juu,..kifupi siku huyo mwanamke akichoka tutashuhudia mauaji .
 
Shukran mkuu,
MamaG Japo nae ana mapungufu yake ya kibinadamu ila Sijawahi kujutia kuoa.

Kwenye kile chama Cha wakataa ndoa Mimi sipo kabisa, wife hanipi stress.

siwez kumlaumu stress najitaftia mwnyw kwa kina mamaJ kwa minyeg yangu[emoji4]
 
Shukran mkuu,
MamaG Japo nae ana mapungufu yake ya kibinadamu ila Sijawahi kujutia kuoa.

Kwenye kile chama Cha wakataa ndoa Mimi sipo kabisa, wife hanipi stress.

siwez kumlaumu stress najitaftia mwnyw kwa kina mamaJ kwa minyeg yangu[emoji4]
At least umekuwa mkweli
 
Back
Top Bottom