Madame B, mbona husomeki...?

Madame B, mbona husomeki...?

Mzee-kijana Mtambuzi we acha tu.
Hawa waume zangu nuksi kweli............wananipenda wanione tu ninavyowawapeti peti jukwaani, lakini kunilipia pesa hawataki.
Sasa nitafanya mpango wakuwaacha wote, mmoja baada ya mwingine.

kwani sh ngapi wife..
jambo dogo hilo nitakulipia wewe na pia tafuta msshoga zako watatu niwape ofa hiyo na wao.
 
Last edited by a moderator:

amu
mwenzio Bishanga ana utepe wa TANZANITE,
tanzanite.png
avatar11167_3.gif


Chezea tajiri la ukwee wewe
Bishanga......alilipiwaga na mume wangu wa awali Ruhazwe JR.
Unadhanai ana uwezo huo!!!!!:tape::tape:
 
Last edited by a moderator:
Annual Membership Subscriptions

JF Bronze Member 20,000 - 99,000

JF Gold Member 100,000 - 249,000

JF Platinum Member 250,000 - 490,000

JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...

attachment.php

Mkuu mambo? Nakumbuka kuna kashortcut alikotuambia MOD baada ya kuona hii watu wameshindwa kulipa....Ngoja nisake ile message..
 
poa kweli mjini hakuna ushogaaaa
shemeji Remote tukutane pm loooo

Naona yale ya juzi na jana hayajakukuna barabara,.......unakuja na huku kuchezea waume za watu.
Haya.
😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:
 
Back
Top Bottom