Madame B, mbona husomeki...?

Mzee-kijana Mtambuzi we acha tu.
Hawa waume zangu nuksi kweli............wananipenda wanione tu ninavyowawapeti peti jukwaani, lakini kunilipia pesa hawataki.
Sasa nitafanya mpango wakuwaacha wote, mmoja baada ya mwingine.

kwani sh ngapi wife..
jambo dogo hilo nitakulipia wewe na pia tafuta msshoga zako watatu niwape ofa hiyo na wao.
 
Last edited by a moderator:
huyo mtu uliyemmesheni hapa akija mi mbioooooooo
simooooooooooo

Alaaaaaa.................kumbe unaangalia wa kuwaletea jeuri eeeee!!!!!
Hahahaha......... huyooooo!!!!!!!!!!
 
Annual Membership Subscriptions

JF Bronze Member 20,000 - 99,000

JF Gold Member 100,000 - 249,000

JF Platinum Member 250,000 - 490,000

JF Tanzanite Member 500,000 - Na zaidi...


Mkuu mambo? Nakumbuka kuna kashortcut alikotuambia MOD baada ya kuona hii watu wameshindwa kulipa....Ngoja nisake ile message..
 
poa kweli mjini hakuna ushogaaaa
shemeji Remote tukutane pm loooo

Naona yale ya juzi na jana hayajakukuna barabara,.......unakuja na huku kuchezea waume za watu.
Haya.
πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:πŸ˜›ainkiller:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…