Bishanga......alilipiwaga na mume wangu wa awali Ruhazwe JR.
Unadhanai ana uwezo huo!!!!!:tape::tape:
Heeee unaota?
Kama vile nishaona kuna mdada anajiita Mrs Bishanga au nilikuwa naota tu...?
Ungeanza wewe ingependezaje...
Bishanga......alilipiwaga na mume wangu wa awali Ruhazwe JR.
Unadhanai ana uwezo huo!!!!!:tape::tape:
haaaa unamaanisha maligendi wameingia mitini?
Habari ndo hiyoooooooo.............
Sijui nimkope nani daah ishakuwa kero.
Ungeanza wewe ingependezaje...
Kama vile nishaona kuna mdada anajiita Mrs Bishanga au nilikuwa naota tu...?
This is my real name, what is up here?
kwamba hapa una mwenzio, haupo peke yako.....