Madame B, Nimeingia dodoma, Njoo Malaika Lounge Ukutane na Mangi

Mangi unatuangusha wale tuliofikiria umepunguza bata ukiwa unajipanga na kujinoa kwa ajili ya kurekebisha makossa ya awali.
Mkuu,
Hii ilikuwa ndani ya bajeti,
Huwa natenga kiasi kila mwezi kwq ajili ya likizo. Na Hii ilikuwa likizo yangu...

Kwahiyo sijatumia nje ya bajeti, likizo imeisha na chenchi imebaki.

Siwezi kukuangusha mkuu,
Mwaka huu nakuhaidi makubwaa....

Heri ya Mwaka mpya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku moja jiandae,,, mimi bata langu ni 'king size'[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi beer zikijaa mezani si mood inakata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahsante Chief, nimefarijika kusikia unataja kitu bajeti. Ufanikiwe katika mipango yako MKUU.
Uwe na mwaka wenye mafanikio na baraka zote kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…