General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
- Thread starter
- #101
Mkuu,Mangi unatuangusha wale tuliofikiria umepunguza bata ukiwa unajipanga na kujinoa kwa ajili ya kurekebisha makossa ya awali.
Hii ilikuwa ndani ya bajeti,
Huwa natenga kiasi kila mwezi kwq ajili ya likizo. Na Hii ilikuwa likizo yangu...
Kwahiyo sijatumia nje ya bajeti, likizo imeisha na chenchi imebaki.
Siwezi kukuangusha mkuu,
Mwaka huu nakuhaidi makubwaa....
Heri ya Mwaka mpya!
Sent using Jamii Forums mobile app