Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na obviously ni uzushi ila watanzania ndo wanayoyapendaKumbe watu wa kwny Apu ya dada Wa Taifa mnapata udaku mwingi sana...angekua hapost watu kugeuzwa ningejiunga nipate exclusive...ila hayo ya kuchafua hali ya hewa ya sodoma yananikwaza sipendi kuangalia...
Ujinga kabisa, nyie ndiyo watanzania mnaletea taifa hasara. Hakupaswa kazaliwa kabisa. Unampongeza mtunkwenda kufumuliwa marinda! Una akilo kweli. Watafanya kazi gani huko???Kwanini unapenda kufikiria vitu vya hovyo? Unajuaje kama waliuza vitu vyao wapate nauli? Mimi ninawapongeza vijana kwa kujilipua. Na ninawaombea mafanikio
Wewe una uhakika gani anaenda kufumuliwa marinda? Au kwasababu wewe unafumuliwa ndo unadhani kila mtu anafumuliwa?Ujinga kabisa, nyie ndiyo watanzania mnaletea taifa hasara. Hakupaswa kazaliwa kabisa. Unampongeza mtunkwenda kufumuliwa marinda! Una akilo kweli. Watafanya kazi gani huko???
huyo salaam sk mbona huwa namuona kama ni wa sengeremaAngel Nyigu nae namuonaga huko Norway
Pale wcb kuna watu lama Salaam wana maujanja na connections za kumpeleka mbongo Marekani.
We ulizamia Canada kwa mgongo wa nani? Na kwanini hukuzamia Iran au Iraq.Mradi kisharipoti awaache wajitafutie maisha kivyao. Asifatilie habari zao.
Marinda lazima yawahusu, unaenda nchi za watu kazi yako kutunisha misuli huna hata elimu wala lugha yao huijui, lazima uishi kwa hisani ya rindazWewe una uhakika gani anaenda kufumuliwa marinda? Au kwasababu wewe unafumuliwa ndo unadhani kila mtu anafumuliwa?
Aisee yaani hao marinda yatakoma. Watafanya kazi gani? Yaani kama walikuwa na uwezo wa kujikatia ticket kwa hela ya Diamond maana yake wanakipato kizuri kuzidi wamarekani wengi.
Acha mawazo potofu.Marinda lazima yawahusu, unaenda nchi za watu kazi yako kutunisha misuli huna hata elimu wala lugha yao huijui, lazima uishi kwa hisani ya rindaz
Hizo ni story ingekua kweli domo angekamatwa chapMadansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.
Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.
Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.
View attachment 2813100
Usiwadanganye hao lazima marinda yafumuliwewatafanya kazi zile za undertable na zinalipa tuu vziuri, pia wakisha kaa kwa muda wanaweza fanya mchakato wa kupata uraiya kupitia zile prosess kama za kuoa au anaweza zaa na mtanzania dem amabaye keshapata grcard huko maisha yakaendelea vizuri. Inshot wanejiongeza vzuri.
Mi sikuzamia, nilienda. Wenye kuzamia ni raia wa Tanzania kama wewe, mimini raia wa Tanganyika, sina tofauti na raia yeyote wa Canada au Uingereza.We ulizamia Canada kwa mgongo wa nani? Na kwanini hukuzamia Iran au Iraq.
Tanganyika kuikoloni Zanzibar.Hivi Zanzibar revolution ilikuwa inahusu nini?
Hakika.Huyo jamaa kwenye picha anafanana na picha za miaka iliyopita za nguli wa hip hop wa huko Marekani, LL Cool J.
Hivi wale mabondia mpaka leo HAIJULIKANI?Safi sana vijana msisite kuwatafuta wale mabondia mpaka leo hatujui wapo mitaa gani
Si leo tu, huwa unanisoma kwa uoga tu.Bibi leo umeandika point.