Mbona umesema walienda wakarudiWalienda kwa mgongo wa WCB kama kampuni.
WCB ni kama wadhamini wao...
Ukimdhamini mtu Visa kisha akazamia ni wajibu wako kuripoti, pia itaathiri kuwaombea wengine visa next time..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umesema walienda wakarudiWalienda kwa mgongo wa WCB kama kampuni.
WCB ni kama wadhamini wao...
Ukimdhamini mtu Visa kisha akazamia ni wajibu wako kuripoti, pia itaathiri kuwaombea wengine visa next time..
Wakipost tu YouTube, wanalipwa pesa ya kuweza kukimu maisha Yao?Watu wamekazana kufumuliwa hao sio madansa wakwanza kwenda nje,,sasa hiv mziki wetu umekua watu wanaeza kwenda kufundisha Kucheza au kupost video zao YouTube wakapiga hela maisha yakaenda pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulaya including marekani ukiwa huna kazi unakuwa omba omba, sehemu pekee ambayo unaweza onewa huruma ni kuwa shoga, yaani watakuwa wanaenda club za mashoga huko ndiyo marinda yanahusika