Madansa 3 wa Diamond Platnumz wazamia Marekani kwa Visa za WCB

Madansa 3 wa Diamond Platnumz wazamia Marekani kwa Visa za WCB

We mjinga kwelikweli..!!!

Kwenda Marekani ndio kufumuliwa marinda?

Acha kuingiza uchoko wako kwenye thread zisizo husiana.

Damn Fool...
Yaani lazima wafumuliwe marinda hahaha unachezea unaenda sehemu kijinga. Kwa Diamond naamini walikuwa na maisha mazuri ya kitajiri mno kuzidi huko kwenye kufumuliwa marinda. Wewe ndiye choko usijejua nchi za watu.
 
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.

Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.

Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.

View attachment 2813100
Walitumia Fursa
 
Madansa 3 wa Diamond Platnumz (Hbaajuni, Emma Platnumz na Rama Tosser) wamezamia Marekani kinyemela kwa kutumia Visa za WCB.

Inasemekana mara ya mwisho Diamond Platnumz alivyoenda Marekani aliwakatia Visa za mwaka mmoja mmoja, walivyomaliza kazi na kurudi bongo wakakata ticket za kurudi Marekani kimyakimya.

Diamond Platnumz alienda ubalozi wa Marekani ili kushtaki vijana wawe deported, lakini vijana nao wakajitetea kuwa walikuwa wanafanyishwa shughuli haramu za upunda, na kwa kusema hivyo wanaogopa kurudi bongo kuhofia usalama wao.

View attachment 2813100


Baada kurudi Tanzania wakakata ticket na kurudi kimya kimya, sio Marekani ninayoijua, labda uwe na multiple entry ambayo Diamond hakuwa na sababu ya kuikata, ongea mengine.
 
Inaamana mondi alikuwa hawalipi jamaa hela ya maana mpaka wakimbie au
Madansa wanalipwa hela ndogo sana. Sio kwa Diamond tu hata kina Koffi Olomide na wanamuziki wengine wa DRC hulalamikiwa na madansa. Majuzi madansa wawili wa JB Mpiana walizamia USA ila kwa baraka zote za Mpiana. Aliwaruhusu wabaki. Ni jambo la kawaida kwa wakongo ila kwa Tanzania bado ni ishu ngeni.
 
Yaani lazima wafumuliwe marinda hahaha unachezea unaenda sehemu kijinga. Kwa Diamond naamini walikuwa na maisha mazuri ya kitajiri mno kuzidi huko kwenye kufumuliwa marinda. Wewe ndiye choko usijejua nchi za watu.
Acha negative thoughts, USA inapokea illegal migrants zaidi 1 million,2022-2023 👈 Sasa hawa wote wanaenda kufumuliwa marinda
 
Back
Top Bottom