Madaraka matamu ukiwa nayo; Uhuru Kenyatta na Familia yake wana pesa ila hawana amani. Wanapitishwa pagumu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Siyo kila tajiri ataishi milele kwa furaha na utajiri wake

Siyo kila mwenye madaraka ataendelea kuishi kwa furaha baada ya kuacha madaraka.

Kikwete alipomwachia nchi Hayati Magufuli matosa waliandamana na wale wote waliokuwa wafuasi yake.

Uhuru ameachia madaraka sasa hivi familia yake inanyanyasika na kudhalilika. Walizoea kuishi na walinzi sasa hivi ulinzi aueleweki. Hii baada ya Rutto kuamua kutumia madaraka yake aliyopewa.

Hapa kwetu tunalo la kujifunza; viongozi wetu wasitegemea kuna undugu kwenye biashara ya siasa.

Tujifunze kujisimamia.
 
Viongozi wajifunze kuwa madaraka siyo kila kitu kila wakati
 
Ruto aje ajifunze kwa CCM jinsi wanavyokula bila kugombana, ila wanasifiana huku wakibeua shibe na kutuambia tuhamie Burundi. JPM alikuwa mchoyo......
 
Siasa za Africa ni mchezo mchafu sababu ya wahuni waliojiingiza huko.
 
Ruto hana muda mrefu. Anagombana na kila mtu. Ni hatari sana!
 
Wala hakuna pagumu hasa kwa wakenya walivyo hapatakua na utulivu kbs!! Ni bongo tu ndio ingekua na ugumu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…