Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .