Ukwelimtupu00
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 289
- 416
Abdul pokea simu za madaraka sio kutwa kufanya udalali wa rasimali za ummaMadaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Kama mwananchi aliewachagua..awe na wewe ni miongoni mwa wale wanaomba nafasi ya kuwatumikia wananchi alafu utaki kuwasilikiza baada ya kupigiwa kura? Au unadhani hao viongozi wamejipigia kura?Wapokee simu yake akiwa kama nani? Baba yake angekuwepo angemchapa makofi.
Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Ndiyo mjue tunaongozwa na matapeli tupu, Lucas Mwashambwa njoo hukuMadaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
CCM ni matapeli haswaHapo umesema vyema Mimi hata km namba ngeni ikipiga nikiwa mbali nikikuta missed call nafsi inanisuta lazima nimtafute nimalizane nae
Ni sahihi kabisa,kwa kuwa tunapokuwa tunaelekea kupumzika usiku bongo zetu ni lazima zipitie daily routine zote na kusolve some issues lakini pia kupanga mikakati ya kesho.Hapo umesema vyema Mimi hata km namba ngeni ikipiga nikiwa mbali nikikuta missed call nafsi inanisuta lazima nimtafute nimalizane nae
Wabongo kwa kukariri! Huu msemo wa ''wazee/waliosoma Cuba wataelewa'' umekaririwa na watu wengi na wengi walioukariri ni vilaza wanaoelewa mambo ndivyi sivyo.Wazee tujifunze kuandaa watoto wetu kujitegemea na kuwa na Maisha Bora
Maneno mengine ukisikiliza Kwa makini ni kama kuona watoto wa marais wengine bado Wana power somewhere
Hoja yake ina mambo mengi Sana ndani yake
Wazee wa Cuba watakuwa wameelewa
Kuimba kupoke zana..Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Stivu yeye ndiye kuwadi wao kuwakuwadia mademu wa bongo movie lazima wampokelee.Lakini simu za Stivu Mengele zinapokelewa😌
Angesema hivyo na si kumuingiza baba yake na habari za Mwitongo.Kama mwananchi aliewachagua..awe na wewe ni miongoni mwa wale wanaomba nafasi ya kuwatumikia wananchi alafu utaki kuwasilikiza baada ya kupigiwa kura? Au unadhani hao viongozi wamejipigia kura?
Wabongo kwa kukariri! Huu msemo wa ''wazee/waliosoma Cuba wataelewa'' umekaririwa na watu wengi na wengi walioukariri ni vilaza wanaoelewa mambo ndivyi sivyo.
AIBU ! UNAFIKI !! VIZURI WATAJWE HAO WANAFIKIMadaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Inawezekana anapiga daily na mizinga mingi so wamemchoka. Angempigia mzee wa landrover angeita press kuwaambia watu anashughulikia matatizo ya familia ya hayatiMadaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.