babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Vitu ingine hatuwezi kuelewa.jamaa anaweza kupiga gongo zake huko butiama kilabuni na Akawaambia "naweza kumpigia simu rais saa hii"
Sasa hilo ni jukumu la wapokea SIMU YA Rais.
na wAache kudeka deka Kila siku eti si watoto wa baba wa taifa.
Kafanyeni kazi,.bona makongoro anapiga comedy zake huko maisha yanaendelea.
Sasa hilo ni jukumu la wapokea SIMU YA Rais.
na wAache kudeka deka Kila siku eti si watoto wa baba wa taifa.
Kafanyeni kazi,.bona makongoro anapiga comedy zake huko maisha yanaendelea.