babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kwani Madaraka hajui kuwa Mwalimu Nyerere anatumiwa tu na hawa wanaokuja kutembelea mji kama kivutio tu wananchi wawaone kuwa wanayaenzi aliyofanya kiongozi huyo?Madaraka Nyerere ambaye ni mtoto wa hayati Mwalimu Julius Nyerere amesema anasikitishwa na baadhi ya viongozi wanaokwenda kutembelea mji wa Baba wa Taifa na kutoa kauli mbalimbali za kumsifu mwalimu, lakini wakiondoka hawapokei tena simu zake.
Madaraka amesema si kila simu anayopiga ni simu ya kulia shida, bali kuna wakati anapiga simu kwa ajili ya mipango ya kuendelea kuyasema mazuri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.
Madaraka anakosea. Apitishie habari zake kwa mwenzake Abdul; hapo mambo yatakwenda haraka.Mama pokea simu ya Madaraka
Na ukimuuliza yeye kaelewa nini huwezi kupata jibu.Wabongo kwa kukariri! Huu msemo wa ''wazee/waliosoma Cuba wataelewa'' umekaririwa na watu wengi na wengi walioukariri ni vilaza wanaoelewa mambo ndivyi sivyo.
Hawana uchawa na ndio kinachowagharimu,uzuri watoto wa Nyerere hawajazaliwa na unafki wala uchawa... Wao nyeupe ni nyeupe damu ni damu na sio blaah blaah
🤣 🤣 🤣Abdul pokea simu za madaraka sio kutwa kufanya udalali wa rasimali za umma
🤣 🤣 🤣Mtu mmoja yule nilimpigia simu,kafukuzwa kazi na Magufuli,nataka nimpe pole,hataki kujibu simu.