Madaraka Nyerere: Kiongozi anamsifia Nyerere lakini hapokei simu zetu

Vitu ingine hatuwezi kuelewa.jamaa anaweza kupiga gongo zake huko butiama kilabuni na Akawaambia "naweza kumpigia simu rais saa hii"
Sasa hilo ni jukumu la wapokea SIMU YA Rais.
na wAache kudeka deka Kila siku eti si watoto wa baba wa taifa.
Kafanyeni kazi,.bona makongoro anapiga comedy zake huko maisha yanaendelea.
 
Kwani Madaraka hajui kuwa Mwalimu Nyerere anatumiwa tu na hawa wanaokuja kutembelea mji kama kivutio tu wananchi wawaone kuwa wanayaenzi aliyofanya kiongozi huyo?
Kwani Madaraka haoni matendo ya hawa viongozi yanayo waweka mbali kabisa na Mwalimu?
 
Wabongo kwa kukariri! Huu msemo wa ''wazee/waliosoma Cuba wataelewa'' umekaririwa na watu wengi na wengi walioukariri ni vilaza wanaoelewa mambo ndivyi sivyo.
Na ukimuuliza yeye kaelewa nini huwezi kupata jibu.
Hii ni dalili ya upungufu mkubwa katika elimu yetu kiujumla. Watu hawajui kitu lakini wanajifanya wao ni wajuzi wa mambo kiaina yao pekee mbali ya wengine.
 
uzuri watoto wa Nyerere hawajazaliwa na unafki wala uchawa... Wao nyeupe ni nyeupe damu ni damu na sio blaah blaah
Hawana uchawa na ndio kinachowagharimu,

Wakati hawa wa sasa wanataka kusifiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…